Kitabu cha Eric Kabendera ni Ushahidi wa Umbumbumbu wa Waandishi wa Tanzania. Hiyo story ni ya Jombi jambazi wa Mbeya enzi zetu, Lissu jifunze Kitu!

Kitabu cha Eric Kabendera ni Ushahidi wa Umbumbumbu wa Waandishi wa Tanzania. Hiyo story ni ya Jombi jambazi wa Mbeya enzi zetu, Lissu jifunze Kitu!

umenitajia kipagate(i) alikuwa mwamba sana rafiki yangu sana ,nahata polisi alifanikisha kupigwa risasi kipagati nakufa siku yaharusi ambaye alijitongozesha na kipagati akaingia kingi na kuishi na miaka zaidi ya 8 ,kipagati akajisema kwamba yeye polisi hawawezi kumuua kwani roho yake iko kwenye kivuli Cha kisigino...asijue anayemwambia anampeleleza akatoa taarifa ,siku yaharusi polisi walifika na kukamata na kupiga palepale kweli akafa....

Afande mwanamke aliyefanya hayo mpaka Leo yupo na anaduka lake dogo pahala Fulani kihesa FFu ukivuka majembe hua namwangalia (alishastaafu amekuwa bibi)

Natoa mchozi ,kipagati rafiki yangu rest in peace ....niandalie makazi huko uliko na kama JF huko ipo ....nitazikwa na simu mbili Moja itakuwa yako
 
umenitajia kipagate(i) alikuwa mwamba sana rafiki yangu sana ,nahata polisi alifanikisha kupigwa risasi kipagati nakufa siku yaharusi ambaye alijitongozesha na kipagati akaingia kingi na kuishi na miaka zaidi ya 8 ,kipagati akajisema kwamba yeye polisi hawawezi kumuua kwani roho yake iko kwenye kivuli Cha kisigino...asijue anayemwambia anampeleleza akatoa taarifa ,siku yaharusi polisi walifika na kukamata na kupiga palepale kweli akafa....

Afande mwanamke aliyefanya hayo mpaka Leo yupo na anaduka lake dogo pahala Fulani kihesa FFu ukivuka majembe hua namwangalia (alishastaafu amekuwa bibi)

Natoa mchozi ,kipagati rafiki yangu rest in peace ....niandalie makazi huko uliko na kama JF huko ipo ....nitazikwa na simu mbili Moja itakuwa yako
Enzi za akina afande Nsangalufu pale FFU 😂😂
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Ana ushahidi wa Beni kupigwa risasi?
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Ana ushahidi wa beni kupigwa risasi? Tusiropoke, tuwe na utafiti wa kisayansi.
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Magufuli alikuwa shetani kwa hiyo lo lote liliwezekana!
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Kati yako na Lissu nani anatakiwa kujifunza?.Tatizo la nchi yetu wajinga ndio wanajiamini.
 
Muulize mama yako kama mimechoka. Ningechoka ungelizaliwa
Nimesema mara zote sitaki kejeli, matusi. Kama unaona huwezi kujibu hoja pita zako
Miliahidi kuwa 2025 nisiandike hivi. Umenitibua
Mama anahusikaje hapo?.
Ujinga mtupu.
 
Mtu hujasoma kitabu umeshiba dagaa kamba unaamua kukosoa. na najua Kuna kurasa umeisoma kwenye page ya martin masese ambayo ndo inatrend ukaamua kupost uzi uchwara. Coz Hela ya kununua kitabu HUNA.
 

Attachments

  • IMG_20250101_135024.jpg
    IMG_20250101_135024.jpg
    144.6 KB · Views: 3
kulikuwa na wezi sikuhizi wanaiba simu na wamejaa na utapiamlo

Kipagati ,jitu kwelikweli sijui watoto sikuhizi wanazaliwa na utapiamlo ,growth yake na utapiamlo ,kufa na utapiamlo(miili haieleweki)

Mkuu,pia kabendera apingwe kwa hoja
Kabendera anaamini Kila Kitu ni Siasa na Kila mwanachama wa Chadema ni mwanasiasa

Anajidanganya Sana 😃😃

Nilikuwa Kwa Mzee Sigwemisi Siku J J anakabidhiwa Kwa Mangi akiwa Kijana mdogo kabisa, nikacheka sana

Leo ndio KM 😂😂😂😂😂
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Wadau, amani iwe kwenu.

Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Ninasema ni mazingira ya kutatanisha kwa sababu mpaka leo hakuna anayejua ni lini BEN alipotea na katika mazingira yepi. Pia haijajulikana kama Ben amepotea ama yupo busy na majukumu ya kikazi.

Kutokana na kupotea kwa Ben Saanane, baadhi ya wafuasi wa CHADEMA wanaunyooshea vidole vya lawama uongozi wa CHADEMA hususan Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kupitia mijadala mbalimbali wanayoanzisha hasa kwenye kurasa zao za facebook, kwa hakika nimebaini mambo yafuatayo;

1. Julai 2016, Freeman Mbowe alimteua Ben Saanane kuwa Msaidizi wake akimpa cheo cha ‘Executive Assistant’ wa Ofisi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa au kama Malisa Godlisten anavyoita Personal Assistant. Wakati huo huo, Ben Saanane alikuwa na Wadhifa wa Mkuu wa Sera na Utafiti wa CHADEMA kama Gazeti la Tanzania Daima la Desemba 10, 2016 lilivyobainisha.

Kupitia nyadhifa zake hizo, Ben Saanane ameratibu na kusimamia mikakati na Operesheni kadhaa za chama ambazo ni pamoja na Mkakati wa Siri juu ya Zitto Kabwe wa mwaka 2013, Operesheni UKUTA ya Septemba 2016 na Operesheni Kata Funua ambayo utekelezaji wake haujafanyika.

Kwa ujumla, Ben Saanane ni mmoja wa maafisa waandamizi wa CHADEMA ambaye amebahatika kuwa na Siri Kuu za chama. Ni katika siri hizi ndizo zilizoweka rehani maisha ya Ben Saanane.

2. Agosti Mosi 2016, Ben Saanane alipewa jukumu maalum la kumuandama Rais Magufuli kwenye mitandao ya kijamii. Lengo la jukumu hili ni kuuandaa umma uamini kuwa lolote litakalomtokea Ben, watu wataamini kuwa ni kutokana na maandiko yake kwenye mitandao ya kijamii.

3. Wiki ya pili ya Mwezi Novemba 2016, Freeman Mbowe alimuandalia Ben Saanane safari ya kwenda Nchini Afrika ya Kusini ambapo kwa mujibu wa mtu wa karibu na Ben Saanane aitwaye HILDA NEWTON, Safari hiyo ilipaswa kufanyika Novemba 19.

Kabla ya safari hiyo, Ben alipewa na bosi wake (Mbowe) mapumziko ya wiki moja ili akamilishe andiko la Operesheni Kata Funua ambalo lilikuwa katika hatua ya mwisho kukamilika. Pia Mbowe alimpa maelekezo maalum Ben ya kutowasiliana na watu wengine ili apate muda wa kutosha wa kukamilisha andiko hilo.

Aidha, Mbowe alimlipa Ben gharama zote za safari ambapo haikubainishwa ni kiasi gani na haijulikani alipaswa kuwa Afrika ya Kusini kwa siku ngapi na kwa majukumu yepi. Ni katika kipindi hicho ndipo ukimya wa Ben Saanane ulipoanza kuripotiwa.

4. Wakati Ben anaandaliwa kwenda Afrika ya Kusini, Mbowe na baadhi ya viongozi akiwemo John Mrema wakaandaa safari ya kwenda Uingereza. Ni ajabu kwa Mbowe kwenda Uingereza bila ya msaidizi wake wa karibu.

5. Novemba 26, 2016, Hilda Newton alijitokeza kuwajibu wale wote waliokuwa wanamtumia ujumbe kumuuliza alipo Ben Saanane. Katika ujumbe huo ambao aliandika kwenye ukurasa wake wa facebook, Hilda Newton alisema kuwa Ben Saanane yupo Afrika ya kusini na kwamba atarejea siku chache zijazo.

Bado haijafahamika nani alimtuma Hilda kutoa taarifa hiyo ijapokuwa habari za chini ya kapeti zinasema kuwa ni maelekezo kutoka ngazi za juu za CHADEMA. Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA walihoji sana andiko hilo. Familia ya Ben Saanane nayo ilishtushwa na andiko hilo kwani haiingii akilini Ben asafiri bila ya kutoa taarifa kwa familia yake.

6. Familia ya Ben imefanya mawasiliano ya mara kwa mara kwa uongozi wa CHADEMA kupitia Katibu Mkuu Vincent Mashinji. Hata hivyo, walijibiwa kuwa Ben yupo salama na anatekeleza majukumu ya kikazi. Hata hivyo, kadri ziku zilivyosonga, wasiwasi uliwajaa na ndipo Jumanne Desemba 6, 2016 walipoamua kwenda kituo cha Polisi Tabata kutoa taarifa za kupotea kwa Ben. Hadi wakati huo, chama kiliendelea kuwa na msimamo kuwa Ben yupo salama na kwamba wasiwe na wasiwasi.

7. Hadi hivi sasa, hakuna kiongozi yeyote wa CHADEMA aliyetoa taarifa rasmi kwa vyombo vya Habari juu ya ukimya wa Ben Saanane. Je ni kweli kwamba amepotea au yupo kikazi Afrika ya Kusini kama baadhi ya viongozi wa chama hicho walivyonukuliwa?

8. Mwenyekiti wa CHADEMA ambaye Ben ndiye Bosi wake Mkuu mpaka sasa hajatoa tamko lolote. Hii inatia shaka kwani inaeleweka kuwa kwa taratibu za kiofisi, mtu akikosekana kwa muda wa siku saba mfululizo bila ya taarifa zozote lazima aandikiwe barua ya kutaka kujieleza kwa nini asichukuliwe hatua.

Mbowe hajafanya hivyo na hii inatujengea imani kuwa anajua nini kinaendelea. Aidha, licha ya kupata taarifa kuwa msaidizi wake amepotea, Mbowe anaendelea na ziara zake nchini Uingereza kana kwamba hakuna kilichotokea. Hajashtushwa kabisa na kupotea kwa Ben. Anajua dhahiri nini kinaendelea.

9. Jitihada za kumtafuta Ben Saanane zinafanywa na ndugu zake tu pamoja na marafiki zake wa karibu. Hii inazua mashaka mengine juu ya mfumo wa uendeshaji wa CHADEMA.

10.Gazeti la Tanzania Daima kwa mara ya kwanza limeandika taarifa juu ya kupotea kwa Ben Saanane Desemba 10, 2016. Hili ni gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA. Ukimya wa gazeti hilo kwa hakika unazua mjadala mwingine.

Nimalizie kwa kuwapongeza wafuasi wote wa CHADEMA wanaoendelea kuunyooshea vidole uongozi wa chama hicho juu ya kadhia hii ya kupotea kwa Ben Saanane. Nawaomba muendelea kuwa na nyoyo za ujasiri ili muhoji bila woga. Usalama wenu ni muhimu kuliko kitu chochote. Hamjui nani atafuata baada ya Ben Saanane.

Mungu mjaalie Ben afya njema huko aliko na aungane na familia yake mapema iwezekanavyo.
image.jpg


"CCM haitotolewa Madarakani na Makapi yaliyotokana na CCM"-Comrade Abdulrahman bin Omar bin Kinaanah Al Habshy.
Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
  • Masikitiko
Reactions:Wakudadisi, JF Member, mliberali and 16 others
 
Kwahiyo haiwezi kuja tena tanzania.......... rais akampiga mu risasi


WHY IDI AMIN MURDERED BISHOP JANANI LUWUM​



View: https://youtu.be/80hmeyLyvb0

Kwa sisi wahenga enzi hizo tuko Shule, tuliaminishwa kuwa Askofu alipigwa nyundo moja ya kichwa na Idd Amin Dada
Hii wengi watatoa ushuhudi kama nao walisikia hivyo
Lakini video clip hapo inasema tofauti ingawa ni mauwaji tu
Kweli tulikuwa tunalishwa kila kitu mara alikuwa anakula maini ya watoto daa
Ukiwa na adui kila neno utamzushia
 
Kwa sisi wahenga enzi hizo tuko Shule, tuliaminishwa kuwa Askofu alipigwa nyundo moja ya kichwa na Idd Amin Dada
Hii wengi watatoa ushuhudi kama nao walisikia hivyo
Lakini video clip hapo inasema tofauti ingawa ni mauwaji tu
Kweli tulikuwa tunalishwa kila kitu mara alikuwa anakula maini ya watoto daa
Ukiwa na adui kila neno utamzushia
Mimi nilikuwa Uganda by those days...........................maiti zilikuwa zinaelea mto Kagera kwa macho yangu naziona. Alipoanza kuwa agressive na Tanzania tukarudi ...
 
Mama anahusikaje hapo?.
Ujinga mtupu.
Ukinitukana nitakuchagulia lolote lile ili ksesho ikuume ukome. matusi. Kama huna hoja skip my thread/post and all will be fine...bado wewe maana umenitukana. Leo nimefunga saa 6 mpaka saa 12.

Have a nice day!
 
Back
Top Bottom