Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ninahakika watawala hivi sasa wako shocked na yaliyomo katika kitabu cha Mwandishi, Erick Kabendera kilichopewa jina la "IN THE NAME OF PRESIDENT "
Watawala wataanza kuingia hofu kumbe hakuna siri hata wale tuliowaamini na kuwapa kazi ya kusimamia hizi operation ndio wa kwanza kutoa siri kwa watu ambao hakupaswa kujua nini kilitokea.
Watawala wataanza kujiuliza: Kama ya Mwendake yametoka hadharani, ya kwetu hayajatoka au hayatatoka siku tukitoka madarakani?
Watawala kwa sasa wako shocked na wamevurugwa na ndio maana wako kimya hawajui wa-react vipi na itawachukua muda kabla ya kutoa mwongozo wa namna ya kujibu hizi tuhuma.
Ukimya huu unanifanya niamini aliyoyaandika Kabendera yana ukweli hata kama sio yote. Vinginevyo, wangeshatoka hadharani kukanusha na pengine hata kuitaka serikali ya Uingereza imrudishe Kabendera nyumbani aje ajibu tuhuma hizi.
Jiulizeni inakuwaje Bi. Mkubwa nae katajwa katika hiki kitabu kuwa Mwendake alitaka kumfanyia jambo baya ila mpaka sasa hakuna alietoka kukanusha ?Mnafikiri ni hivi hivi tu?
Hivyo, ukimya huu una jambo nyuma yake na si ajabu baada ya muda baadhi ya watu wakaondolewa kwenye nafasi zao na wengine kupotezwa kimya kimya.
Kitabu hiki cha Kabendera, kinaweza kuleta mapinduzi makubwa katika vita hii ya kupinga vitendo vya utekaji na mauji.
Nashawishika kuamini kuwa Kitabu hiki kingetoka mapema, huenda kina Mzee Kibao na wengine waliouwawa au kupotea yasingewakuta yaliyowakuta.
Binafsi, kitabu hiki nakiona ni silaha ya ushindi katika vita ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji hapa nchini.
Tundu Lissu and Erick Kabendera, they both survived assassination attempts not to continue living, but to fulfil God's mission.
Watawala wataanza kuingia hofu kumbe hakuna siri hata wale tuliowaamini na kuwapa kazi ya kusimamia hizi operation ndio wa kwanza kutoa siri kwa watu ambao hakupaswa kujua nini kilitokea.
Watawala wataanza kujiuliza: Kama ya Mwendake yametoka hadharani, ya kwetu hayajatoka au hayatatoka siku tukitoka madarakani?
Watawala kwa sasa wako shocked na wamevurugwa na ndio maana wako kimya hawajui wa-react vipi na itawachukua muda kabla ya kutoa mwongozo wa namna ya kujibu hizi tuhuma.
Ukimya huu unanifanya niamini aliyoyaandika Kabendera yana ukweli hata kama sio yote. Vinginevyo, wangeshatoka hadharani kukanusha na pengine hata kuitaka serikali ya Uingereza imrudishe Kabendera nyumbani aje ajibu tuhuma hizi.
Jiulizeni inakuwaje Bi. Mkubwa nae katajwa katika hiki kitabu kuwa Mwendake alitaka kumfanyia jambo baya ila mpaka sasa hakuna alietoka kukanusha ?Mnafikiri ni hivi hivi tu?
Hivyo, ukimya huu una jambo nyuma yake na si ajabu baada ya muda baadhi ya watu wakaondolewa kwenye nafasi zao na wengine kupotezwa kimya kimya.
Kitabu hiki cha Kabendera, kinaweza kuleta mapinduzi makubwa katika vita hii ya kupinga vitendo vya utekaji na mauji.
Nashawishika kuamini kuwa Kitabu hiki kingetoka mapema, huenda kina Mzee Kibao na wengine waliouwawa au kupotea yasingewakuta yaliyowakuta.
Binafsi, kitabu hiki nakiona ni silaha ya ushindi katika vita ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji hapa nchini.
Tundu Lissu and Erick Kabendera, they both survived assassination attempts not to continue living, but to fulfil God's mission.