Kitabu cha Judith Listowel "The Making of Tanganyika"

Kitabu cha Judith Listowel "The Making of Tanganyika"

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KITABU CHA JUDITH LISTOWEL ''THE MAKING OF TANGANYIKA.''

No photo description available.

1573508699078.png

Katika vitabu vyote vilivyopata kuandikwa kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya TANU, kitabu kilichokaribu na ukweli ni hiki kitabu cha Lady Judith Listowel.

Siku chache zilizopita hapa Majlis nilieleza historia ya kitabu hiki na mwandishi wake.

Siku chache zilizopita nilitembelewa na rafiki yangu mmoja kutoka Ulaya na yeye ni mfuatiliaji sana ya niandikayo basi katika mazungumzo akaniuliza kuhusu kitabu cha Judith Listowel na akataka kujua atakipataje hapa nyumbani.

Nikamfahamisha kuwa atakipata Zanzibar na hili kwake liikawa jambo lenye ugumu maana alikuwa anarejea Ulaya.

Nikamshauri ajaribu Amazon.

Naam juzi kanirushia picha ya kitabu keshakipata kutoka Amazon tena, ''original print,'' ya 1965.

Nimeona nanyi wanaBarza mkitie machoni hiki kitabu adimu.

R&eid=ARCZ7DggR1n5v07gHSc7RRpKHhAP4PG2VThRHoWxMFg1HYS8C63TCHwbV7ePnjWy1dUQB1eI7ozQ3_D2
 
KITABU CHA JUDITH LISTOWEL ''THE MAKING OF TANGANYIKA.''

No photo description available.

View attachment 1260962

Katika vitabu vyote vilivyopata kuandikwa kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya TANU, kitabu kilichokaribu na ukweli ni hiki kitabu cha Lady Judith Listowel.

Siku chache zilizopita hapa Majlis nilieleza historia ya kitabu hiki na mwandishi wake.

Siku chache zilizopita nilitembelewa na rafiki yangu mmoja kutoka Ulaya na yeye ni mfuatiliaji sana ya niandikayo basi katika mazungumzo akaniuliza kuhusu kitabu cha Judith Listowel na akataka kujua atakipataje hapa nyumbani.

Nikamfahamisha kuwa atakipata Zanzibar na hili kwake liikawa jambo lenye ugumu maana alikuwa anarejea Ulaya.

Nikamshauri ajaribu Amazon.

Naam juzi kanirushia picha ya kitabu keshakipata kutoka Amazon tena, ''original print,'' ya 1965.

Nimeona nanyi wanaBarza mkitie machoni hiki kitabu adimu.

R&eid=ARCZ7DggR1n5v07gHSc7RRpKHhAP4PG2VThRHoWxMFg1HYS8C63TCHwbV7ePnjWy1dUQB1eI7ozQ3_D2
Asante sana mkuu. Hakika historia inatukumbusha tulipotoka na tunapoelekea. Mkataa kwao ni mtumwa
 
Back
Top Bottom