Kitabu cha Kabendera kinajadiliwa kabla hakijasomwa

Kitabu cha Kabendera kinajadiliwa kabla hakijasomwa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Watu wamesikia tu Kabendera kaandika kitabu wanaanza kukijadili.
Nadhani ingekuwa bora kusubiri wakisome kwanza hicho kitabu.
Sasa hivi Serikali itakuwa inafikiria ichukue hatua gani kuhusu hicho kitabu.
Mpaka hapo,watu wawe na subira.
Vinginevyo katika kuzungumza maneno mengi bila kuwa na habari kamili yanaweza kutokea mambo ambayo hatutaki yatokee.
Hakuna jambo.
Hili ni jambo ambalo tumelijadili hapa JF miezi michache baada ya Magufuli kuingia Ikulu:
Kwamba:Je CCM ilimchagis Magufuli bila kufahamu Magufuli ni mtu wa namba gani?
Tukafikia uamuzi kwamba Magufuli alikuwa anafamika sana na CCM wamemchagua kwa makusudi isipokuwa labda sasa hivi everyone has been taken by surprise with all the Stalinism that is happening.
Nimekutana na Magufuli siku moja.
Nikamwambia nimekusikia unasema unataka kuwachapa viboko makandarasi wajeuri.
Akasema,"Yale mambo nimesema nilikuwa natania tu."
Nikamwambia ulikuwa unatania vipi,wewe umesema unataka kuwachapa viboko wakandarasi wajeuri. Acha,Bwana.
Akasema," Okay, I will be more careful in the future."
Ilikuwa rahisi kuongea naye namba hivyo kwa sababu wakati ule alikuwa Waziri.
Sasa sijui kwa nini huyu Eric Kabendera analalamika kwamba ameteswa,kwa sababu even in our most holy book, the Blessed Holy Bible imeandikwa kwamba watu wajeuri lazima wachapwe viboko.
I do not know the exact page where it is written,but it is there.
 
Mwandosya alisema wazi Magufuli hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
 
Watu wamesikia tu Kabendera kaandika kitabu wanaanza kukijadili.
Nadhani ingekuwa bora kusubiri wakisome kwanza hicho kitabu.
Sasa hivi Serikali itakuwa inafikiria ichukue hatua gani kuhusu hicho kitabu.
Mpaka hapo,watu wawe na subira.
Vinginevyo katika kuzungumza maneno mengi bila kuwa na habari kamili yanaweza kutokea mambo ambayo hatutaki yatokee.
Hakuna jambo.
Hili ni jambo ambalo tumelijadili hapa JF miezi michache baada ya Magufuli kuingia Ikulu:
Kwamba:Je CCM ilimchagis Magufuli bila kufahamu Magufuli ni mtu wa namba gani?
Tukafikia uamuzi kwamba Magufuli alikuwa anafamika sana na CCM wamemchagua kwa makusudi isipokuwa labda sasa hivi everyone has been taken by surprise with all the Stalinism that is happening.
Nimekutana na Magufuli siku moja.
Nikamwambia nimekusikia unasema unataka kuwachapa viboko makandarasi wajeuri.
Akasema,"Yale mambo nimesema nilikuwa natania tu."
Nikamwambia ulikuwa unatania vipi,wewe umesema unataka kuwachapa viboko wakandarasi wajeuri. Acha,Bwana.
Akasema," Okay, I will be more careful in the future."
Ilikuwa rahisi kuongea naye namba hivyo kwa sababu wakati ule alikuwa Waziri.
Sasa sijui kwa nini huyu Eric Kabendera analalamika kwamba ameteswa,kwa sababu even in our most holy book, the Blessed Holy Bible imeandikwa kwamba watu wajeuri lazima wachapwe viboko.
I do not know the exact page where it is written,but it is there.
Kabendera na yeye anatania tu.Atakuwa more careful in the future.
 
Tum
Watu wamesikia tu Kabendera kaandika kitabu wanaanza kukijadili.
Nadhani ingekuwa bora kusubiri wakisome kwanza hicho kitabu.
Sasa hivi Serikali itakuwa inafikiria ichukue hatua gani kuhusu hicho kitabu.
Mpaka hapo,watu wawe na subira.
Vinginevyo katika kuzungumza maneno mengi bila kuwa na habari kamili yanaweza kutokea mambo ambayo hatutaki yatokee.
Hakuna jambo.
Hili ni jambo ambalo tumelijadili hapa JF miezi michache baada ya Magufuli kuingia Ikulu:
Kwamba:Je CCM ilimchagis Magufuli bila kufahamu Magufuli ni mtu wa namba gani?
Tukafikia uamuzi kwamba Magufuli alikuwa anafamika sana na CCM wamemchagua kwa makusudi isipokuwa labda sasa hivi everyone has been taken by surprise with all the Stalinism that is happening.
Nimekutana na Magufuli siku moja.
Nikamwambia nimekusikia unasema unataka kuwachapa viboko makandarasi wajeuri.
Akasema,"Yale mambo nimesema nilikuwa natania tu."
Nikamwambia ulikuwa unatania vipi,wewe umesema unataka kuwachapa viboko wakandarasi wajeuri. Acha,Bwana.
Akasema," Okay, I will be more careful in the future."
Ilikuwa rahisi kuongea naye namba hivyo kwa sababu wakati ule alikuwa Waziri.
Sasa sijui kwa nini huyu Eric Kabendera analalamika kwamba ameteswa,kwa sababu even in our most holy book, the Blessed Holy Bible imeandikwa kwamba watu wajeuri lazima wachapwe viboko.
I do not know the exac1)1t page where it is written,but it is there.
Tumeona nukuu kadhaa ila mbili au tatu muhimu kabla ya kusoma
1) Mauaji ya Ben Saanane
2) Alikuwa mvuta bangi tangu seninari.
3) kutaka kumbaka makamu.
Mwisho mtu mwenye heart pacemaker anawezaje kuwa na sarakasi za hovyo kiasi hicho.
 
sasa unasoma vipi udaku na uswahili mtupu umejaa mle maada kama mshua alienda na pajama kwa makamu wake akitaka mbunye huoni kwamba ni uswahili tu. Hapa waswahili kwa waswahili wamekutana wakapeana umbeo/udaku na kuchapisha kitu kiitwe kitabu walakini sifa ya kuitwa kitabu hakina. Ni kwa ajiri ya wajinga tu
 
Tum

Tumeona nukuu kadhaa ila mbili au tatu muhimu kabla ya kusoma
1) Mauaji ya Ben Saanane
2) Alikuwa mvuta bangi tangu seninari.
3) kutaka kumbaka makamu.
Mwisho mtu mwenye heart pacemaker anawezaje kuwa na sarakasi za hovyo kiasi hicho.
Inawezezeka kabisa kuwa na sarakasi za hovyo maana kumbuka alisema yeye ni kichaa.
Na kichaa kutaka kubaka si ajabu hata kidogo kama kuna anyeshangaa basi huenda naye hana akili timamu na pengine ana ukichaa wa aina fulani
 
Watu wamesikia tu Kabendera kaandika kitabu wanaanza kukijadili.
Nadhani ingekuwa bora kusubiri wakisome kwanza hicho kitabu.
Sasa hivi Serikali itakuwa inafikiria ichukue hatua gani kuhusu hicho kitabu.
Mpaka hapo,watu wawe na subira.
Vinginevyo katika kuzungumza maneno mengi bila kuwa na habari kamili yanaweza kutokea mambo ambayo hatutaki yatokee.
Hakuna jambo.
Hili ni jambo ambalo tumelijadili hapa JF miezi michache baada ya Magufuli kuingia Ikulu:
Kwamba:Je CCM ilimchagis Magufuli bila kufahamu Magufuli ni mtu wa namba gani?
Tukafikia uamuzi kwamba Magufuli alikuwa anafamika sana na CCM wamemchagua kwa makusudi isipokuwa labda sasa hivi everyone has been taken by surprise with all the Stalinism that is happening.
Nimekutana na Magufuli siku moja.
Nikamwambia nimekusikia unasema unataka kuwachapa viboko makandarasi wajeuri.
Akasema,"Yale mambo nimesema nilikuwa natania tu."
Nikamwambia ulikuwa unatania vipi,wewe umesema unataka kuwachapa viboko wakandarasi wajeuri. Acha,Bwana.
Akasema," Okay, I will be more careful in the future."
Ilikuwa rahisi kuongea naye namba hivyo kwa sababu wakati ule alikuwa Waziri.
Sasa sijui kwa nini huyu Eric Kabendera analalamika kwamba ameteswa,kwa sababu even in our most holy book, the Blessed Holy Bible imeandikwa kwamba watu wajeuri lazima wachapwe viboko.
I do not know the exact page where it is written,but it is there.
Serikali ununue nakala zote tugawiwe wananchi wote tule Raha duniani
 
Watu wamesikia tu Kabendera kaandika kitabu wanaanza kukijadili.
Nadhani ingekuwa bora kusubiri wakisome kwanza hicho kitabu.
Sasa hivi Serikali itakuwa inafikiria ichukue hatua gani kuhusu hicho kitabu.
Mpaka hapo,watu wawe na subira.
Vinginevyo katika kuzungumza maneno mengi bila kuwa na habari kamili yanaweza kutokea mambo ambayo hatutaki yatokee.
Hakuna jambo.
Hili ni jambo ambalo tumelijadili hapa JF miezi michache baada ya Magufuli kuingia Ikulu:
Kwamba:Je CCM ilimchagis Magufuli bila kufahamu Magufuli ni mtu wa namba gani?
Tukafikia uamuzi kwamba Magufuli alikuwa anafamika sana na CCM wamemchagua kwa makusudi isipokuwa labda sasa hivi everyone has been taken by surprise with all the Stalinism that is happening.
Nimekutana na Magufuli siku moja.
Nikamwambia nimekusikia unasema unataka kuwachapa viboko makandarasi wajeuri.
Akasema,"Yale mambo nimesema nilikuwa natania tu."
Nikamwambia ulikuwa unatania vipi,wewe umesema unataka kuwachapa viboko wakandarasi wajeuri. Acha,Bwana.
Akasema," Okay, I will be more careful in the future."
Ilikuwa rahisi kuongea naye namba hivyo kwa sababu wakati ule alikuwa Waziri.
Sasa sijui kwa nini huyu Eric Kabendera analalamika kwamba ameteswa,kwa sababu even in our most holy book, the Blessed Holy Bible imeandikwa kwamba watu wajeuri lazima wachapwe viboko.
I do not know the exact page where it is written,but it is there.
So you say democratic candidate was monster
 
Back
Top Bottom