Kitabu cha kumnunulia Kikwete ni: "Dead Aid" by Dambisa Moyo

Kitabu cha kumnunulia Kikwete ni: "Dead Aid" by Dambisa Moyo

Kuna haja ya mzee wetu wa kaya kwenda kujifunza kwa rais Lee wa Singapore ambaye aliandika kitabu kuhusu hatua ambayo nchi kama zetu zinaweza kuchukua ili kupiga hatua kubwa
 
hicho kitabu sijakisoma na wala sina nia ya kukisoma kwa ajili akina mapya, huyu dada anachofanya ni ku promote kitabu chake at expense of africans...
nimemuona mara ya kwanza kwenye hard talk click na u watch interview yake

na kila ninavyomuona kwenye interview zingine ndio nazidi kuuona unafiki wake
western leader wanatumia kitabu chake kwa ajili kimeandikwa na mwafrika kwa kuwachapa viongozi wa kiafrica

watu kama kina mo Ibrahim walikuja kuinvest africa na kuondoa negative zilizokuwa attached na africa yeye anarudisha negative into africa wakati wenzake wamefanya kazi kuindoa
amefanya kama africa nzima ionekane ina sleep, dream and eat aid.....

ameacha kazi G.sucks badala ya kurudi kwao zambia akaweke yale anayoyasema into practise amekuwa akizunguka na kupromote kitabu chake na kutaka watu wachangie kwenye NGO yake....
hajui reality ya africa kwa ajili hata huko zambia alitoka from a privellage family na tokea amalize oxford amekuwa nje tu na kukataa kurudi na kwenda kusaidia kwao, she is not patriotic at all lakini anajidai patriotic ili auze kitabu chake
 
Kwanza mzee wetu wa kaya mo Vasco Dagama wa Tanzania, hawezi kupenda hicho kitabu cha uchumi labda Paul Kagame ndio anaonekana katika mstari mzuri
 
Bill Clinton aliwaambia WaRwanda kuwa:

"Kama mkikaa mezani na kuongea, hakuna uhakika kama mtakubaliana, ila msipokaa hiyo ni asilimia 100 kuwa hamtapatana..."

Hakuna anayesema tukimpa asome atabadilika. Ila kutokufanya hivyo ni asilimia mia moja kuwa ataendelea kwenda kufungua hotel za Kempinski na huku akidanganywa kwenda kufungua madaraja ambayo hayajaisha bado.

Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Labda hiki kitabu chaweza kuwa ndiyo tundu letu bovu!!!!!

Sikonge:

Maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Lakini watanzania ni diversity community yenye diversity needs. Kwa kusoma jina lako nina uhakika umetoka Tabora. Tabora ina wakina Lipumba, Sitta, Kapuya na wengine wengi. Lakini hawa sehemu kubwa ya maisha yao wamefanya kazi DSM, je ni nani atakayejenga kwao?
 
asome vitabu na atazurura saa ngapi?.Unajuaa nini haina hata haja ya kusoma vitabu kuleta maendeleo afunue macho tu na kugelezea nchi nyengine then a paste ketu (copy and paste) inatosha na tanzania yenye neema ingewezekana.
 
Back
Top Bottom