Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 87
Bill Clinton aliwaambia WaRwanda kuwa:
"Kama mkikaa mezani na kuongea, hakuna uhakika kama mtakubaliana, ila msipokaa hiyo ni asilimia 100 kuwa hamtapatana..."
Hakuna anayesema tukimpa asome atabadilika. Ila kutokufanya hivyo ni asilimia mia moja kuwa ataendelea kwenda kufungua hotel za Kempinski na huku akidanganywa kwenda kufungua madaraja ambayo hayajaisha bado.
Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Labda hiki kitabu chaweza kuwa ndiyo tundu letu bovu!!!!!