Kitabu cha lawama kwenda kwa Mwendazake Kifungwe sasa. Kiongozi yeyote atakayelaumu tena afunguliwe mashitaka

Kitabu cha lawama kwenda kwa Mwendazake Kifungwe sasa. Kiongozi yeyote atakayelaumu tena afunguliwe mashitaka

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF

Kumekuwa na lundo la viongozi wakitoa lawama nyingi kuzielekeza kwa mwendambinguni ikiwa ni sehemu ya kukwepea majukumu waliopewa wakashindwa kuyatimiza kwa wakati. Kwa sasa kila kukicha tunapata lawama mpya , jambo baya sana tangu JPM aondoke duniani yapata mwaka na miezi, hawa jamaa hawaachi kutoa lawama.

Ifike hatua mwezi huu uwe wa mwisho kwa wanaolalama baada ya kuharibu kuwa walishinikizwa na mwendambingu kufanya madudu au kukwamisha vitu.
 
Yote CCM ni mabovu tupu
Kila anayeharibu idala yake anamsingizia mwendazake. Masikio yamechoshwa

Screenshot_20220513-105744_Chrome.jpg
 
Wana JF

Kumekuwa na lundo la viongozi wakitoa lawama nyingi kuzielekeza kwa mwendambinguni ikiwa ni sehemu ya kukwepea majukumu waliopewa wakashindwa kuyatimiza kwa wakati. Kwa sasa kila kukicha tunapata lawama mpya , jambo baya sana tangu JPM aondoke duniani yapata mwaka na miezi, hawa jamaa hawaachi kutoa lawama.

Ifike hatua mwezi huu uwe wa mwisho kwa wanaolalama baada ya kuharibu kuwa walishinikizwa na mwendambingu kufanya madudu au kukwamisha vitu.
Bado mapema mpaka ipite miaka 10. Baadhi ya athari zina na zita endelea kwa muda.
 
Ni ujinga kulaumu hayati wakati alitoka chama kilekile CCM na watu na sera ni zile zile na waziri mkuu ni yule yule na makamu wa rais ni yule yule ambae sasa ndio rais na wabunge walewale
 
Wana JF

Kumekuwa na lundo la viongozi wakitoa lawama nyingi kuzielekeza kwa mwendambinguni ikiwa ni sehemu ya kukwepea majukumu waliopewa wakashindwa kuyatimiza kwa wakati. Kwa sasa kila kukicha tunapata lawama mpya , jambo baya sana tangu JPM aondoke duniani yapata mwaka na miezi, hawa jamaa hawaachi kutoa lawama.

Ifike hatua mwezi huu uwe wa mwisho kwa wanaolalama baada ya kuharibu kuwa walishinikizwa na mwendambingu kufanya madudu au kukwamisha vitu.
Kafunge kwa Hitler kwanza.
 
Ni ujinga kulaumu hayati wakati alitoka chama kilekile CCM na watu na sera ni zile zile na waziri mkuu ni yule yule na makamu wa rais ni yule yule ambae sasa ndio rais na wabunge walewale
Hawa waliwekwa kama washauri wakageuka wasifiaji taifa likatumbukizwa kuzimu sasa wanaamka na lawama kukwepa lawama au kumsifia mama eti anafungua njia. Mama anavuna hela anashindwa kukopesha wakulima
 
Wana JF

Kumekuwa na lundo la viongozi wakitoa lawama nyingi kuzielekeza kwa mwendambinguni ikiwa ni sehemu ya kukwepea majukumu waliopewa wakashindwa kuyatimiza kwa wakati. Kwa sasa kila kukicha tunapata lawama mpya , jambo baya sana tangu JPM aondoke duniani yapata mwaka na miezi, hawa jamaa hawaachi kutoa lawama.

Ifike hatua mwezi huu uwe wa mwisho kwa wanaolalama baada ya kuharibu kuwa walishinikizwa na mwendambingu kufanya madudu au kukwamisha vitu.
Ok , Peleka muswada huu ukajadiliwe jinsi ya kuwafunga hao wanaomponda na kumsingizia mwendazake.
 
Hawana kitu kingine cha kuwabeba zaidi ya hilo jina lake tu.
 
Tabia ya kuwananga watangulizi wake aliianza mwenyewe wacha sisi tuendeleze
 
ukiona mtu anapondwa sana ujue alikuwa chuma na aliwabana katika ulaji wao!! Karl Marx anasema kukiwa na mgogoro wowote kati ya pande mbili ukitaka kuuelewa Anza kuangalia maslahi ya mlalamikaji yameguswaje!!

hata apondwe vipi aliyoyafanya Mwendazake ni makubwa na yatasimama!! hebu ona mwaka mmoja tu njaa kali wabongo sote! mafuta bei juu kinoma, umeme unazingua, ajira hamna, mikopo halmashauri kusumbua vikundi kuwaambia kujaza makaratasi pesa ya vikundi wanatoa kisha wanachukua wenyewe maofisa!!

Waliomparura Mwendazake nae aliwaparura, waliomkuna mngongoni nae aliwapuliza!ha ha ha!!

Wabongo sote sisi maprofessa ilimlazimu Mwendazake kuongoza kibabe ili kuzuia upembuzi yakinifu zetu za miaka kumi wizi mtupu eti ndo mradi uanze! hazina lete pesa hapa nyie wazungu weka ndege eapoti pale mchezo kwisha! !
 
Back
Top Bottom