Kitabu Cha Maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete

Kitabu Cha Maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete

kaka Mohamed Said sijaona tanzia ya nguli Mohamed Rajabu,naisubiri.

JamiiForums





Buriani Ahmed Rajab​

Moderation1Subscribe
•••
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

BURIANI MWALIMU AHMED RAJAB ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI

1738791544490.jpeg


Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab?
Najiuliza.

Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia na Mtaalamu wa Kifaransa nilipomjulia Ahmed Rajab au nianze Heathrow London siku Ahmed Rajab alipokuja kunipokea?

Au nianze BBC aliponichukua na kunijulisha kwa watangazaji nguli wa Idhaa ya Kiswahili BBC, Bush House?

Au nianzie tukiwa tunatembea kwa miguu tukitokea kwenye treni za chini ya ardhi stesheni ya Charring Cross tunaelekea BBC Holborn?

Nianzie wapi mimi kumueleza kaka na mwalimu wangu Ahmed Rajab?
Nianzie kwenye ofisi za Africa Events au kwenye ofisi yake ya Africa Analysis iliyokuwa Barbican?

Miaka mingi sana imepita toka siku ya kwanza tuonane nyumbani kwa kwa Ahmed Maulid Masaki sote tulipoalikwa kwa chakula cha usiku.

Ahmed alikuja na rafiki yake, sasa marehemu Ali Said.
Ali Said tukijuana kabla na alikuwa akiishi Masaki kama mimi.

Kabla sijasonga mbele nataka msomaji wangu nikudokeze kuhusu hawa watu watatu niliowataja hapo juu.

Hapana hawa siyo, ‘’The Three Musketeers,’’ katika kitabu cha Alexander Dumas.

Hawa miaka ile walikuwa vijana wa Kizanzibari waliokuwa wanaijua dunia na hadhi na heshima ya nchi yao Zanzibar.

Nilikuwa kila nikizungumzanao mimi nakuwa darasani nasomeshwa.

Nilimjua Ahmed Rajab hapo nyumbani kwa Ahmed Maulid lakini nilikuwa nikimsoma sana katika Africa Events na Africa Now majarida yaliyokuwa yakichapwa London.

Makala za Ahmed Rajab zilituvutia vijana wengi wa wakati ule hasa baadhi yetu tuliokuwa tunaanza uandishi.

Ahmed Rajab alikuwa mwalimu wetu wa masafa marefu.

Mwaka wa 1991 nilikuwa na safari ya likizo nakwenda Glasgow, Scotland kumtembelea kaka yangu Prof. Mgone.

Yeye akisomesha University of Glasgow.

Nikamwambia rafiki yangu Ahmed Maulid kuwa nakwenda Uingereza na ningependa siku kama mbili tatu nikae London kisha niendelee na safari yangu kwenda Glasgow kwa kaka yangu lakini tatizo sina mwenyeji London nami ni mshamba sijafika Ulaya.

‘’Ahmed atakupokea nitamtaarifu.’’
Ahmed Maulid huyo.

‘’Hakuna shida atakupokea.’’
Sikuwa namjua Ahmed Rajab kwa kiasi hicho.

Nimemuona kwa muda mfupi nyumbani kwa somo yake Ahmed mwenzie na kidogo nikawa na wasiwasi.

Nimefika Heathrow watu wa Immigration wakanizuia kuingia tatizo lilikuwa pasi yangu imeingia nchi nyingi wanataka maelezo kote huko nakwenda kufanya nini?

Wametaka pia kujua nimekuja na fedha kiasi gani?
Fedha zangu mfukoni zilikuwa kidogo.

Vipi nitajikimu? Wanataka maelezo ya kueleweka.

Fedha nilikuwa nazo ndani ya Uingereza lakini kwa hali ya nyakati zile naogopa kueleza kuwa nina fedha Uingereza.

Huu ulikuwa wakati wa utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dola moja kuwanayo inaweza kukusababishia matatizo makubwa.

Ahmed Rajab kasubiri hadi abiria wa mwisho katoka.
Hajaniona.

Kawaendea wasafiri wenzangu tumepanda sote ndege kutokea Cairo kama wameniona ndani ya ndege.
Wakamueleza Ahmed Rajab kuwa nimezuiwa Immigration.

Miaka ile tunaingia Uingereza bila visa sasa kipi kitawafanya Uhamiaji wanidake?
Madawa ya kulevya. Hili ndilo jibu la haraka.

Mara Ahmed Rajab anasikia jina lake linatajwa kwenye kipaza sauti anataarifiwa kuwa mgeni wake aliyekuja kumpokea atatoka punde asubiri.

Baada ya kusalimiana Ahmed akaniuliza, ‘’Kulikoni Mohamed mbona umetutia wasiwasi?’’
Rafiki yangu Mohamed Maharage Juma na yeye alikuwa kaja Heathrow kunipokea.

Wakati ule bado alikuwa hajawa Balozi.

Nikawaeleza kuwa walidhani mimi ‘’Mzungu wa Unga’’ na wanasema nilionyesha dalili hizo kwa kusema kuwa nimekuja Uingereza likizo na walipopekua mzigo wangu wakakuta navaa nguo nzuri nzuri za mitindo na vitu vingine vinavyogharimu fedha nyingi.

Fikra waliyokuwanayo Waingereza kuhusu sisi ni kuwa tulikuwa watu wa dhiki kubwa.
Lakini kilichoniokoa ni pale waliposoma shajara yangu.

Waliyosoma yaliwashangaza.
Wakataka kujua kiwango cha elimu yangu.

Hapo ndipo wakaamini kuwa nchi zote zile nilizokuwa nimeingia na kutoka nilifika kwa ajili ya kazi.

Ahmed Rajab akanipangia nyumba Finsbury Park na kunilipia, jirani ya klabu ya mpira ya Arsenal na siku hiyo usiku alipokuwa ananipeleka kupumzika tulikuta vurugu kubwa mtaani kwa sababu Arsenal ilikuwa imeshinda kikombe.

Ahmed Rajab akanikirimu mwisho wa kunikirimu akanijulisha kwa watangazaji wa BBC na watu wengi maarufu katika duru za Watanzania hasa jamii ya Kizanzibari London: Abdulrahman Babu, Mohamed Abubakar, Aisha Yahya, Mohamed Mlamali Adam, Chama Omari Matata, Ali Saleh, Ali Attas, Ali Adnan (huyu siku zote akinyoa kipara), Suluma Kassim kwa kuwataja wachache.

Ahmed Rajab akanichukua kwenye Uradi maarufu uliokuwa ukisomwa nyumbani kwa Msomi Bingwa na Sheikh Mohamed Abubakar.

Ahmed Rajab akanipeleka kwingi kwenye ofisi za majarida maarufu ya London yanayoandika habari za Afrika na kunikutanisha na waandishi wake.

Halikadhalika akiniingiza katika mikutano mingi ambayo yeye alialikwa na akinijulisha kama mwandishi kutoka Tanzania.

Katika hawa namkumbuka Anver Versi wa New African ambae alikuja kuchapa makala zangu nyingi na katika hizo moja ilipata kuwa ‘’Makala ya Mwezi’’makala maalum iliyochapwa na picha ya mwandishi na kupewa kifuta jasho.

Ahmed Rajab akanifikisha hadi kwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mzee Nelville Halmes (sina hakika ya ‘’spelling’’ ya jina lake) akanifanyia mahojiano ya kazi.

Hiki ni kisa kirefu.
Hakika sikujua kama nilikuwa katika kutihaniwa.

Hadi leo nina picha niko ndani ya studio za BBC Glasgow, Scotland nasoma kipindi nilichoandika mwenyewe, ‘’Barua Kutoka Glasgow.’’

Kipindi hiki nilikuwa naeleza kijiji cha Blantyre Scotland ambacho kiligeuzwa kuwa Makumbusho ya David Livingstone.

Blantyre ndiko alikozaliwa Dr. David Livingstone.

Kote tunakata mitaa ya London kwa miguu au ndani ya treni Ahmed Rajab ananisomesha mambo sikupata kuyajua kamwe.

Ilikuwa tukiwa ofisini kwake Barbican kwenye ofisi za Africa Analysis ndipo hapo mimi nilipokuwa napata darsa kubwa.

Huwezi kuchoka kumsikiliza Ahmed Rajab.

Ilikuwa katika ofisi hii siku aliponipa kazi ya kuandika kuhusu, ‘’Ukimwi na Ukame Afrika,’’ kwa ajili ya gazeti moja ndipo baada ya kusoma makala ile akaniambia kuwa nilikuwa na kipaji kikubwa cha uandishi na yeye angeweza kunipatia kazi katika gazeti lolote pale London.

‘’Lakini Mohamed lazima ujifunze kutumia computer huku watu hawaandiki kwa kalamu.’’
Wakati huo nilikuwa siijui computer.

Yapo mengi.

Mara ya mwisho kukutana na Ahmed Rajab ilikuwa Zanzibar mwaka wa 2023 katika uzinduzi wa kitabu cha Khamis Abdulla Ameir ambacho yeye aliandika dibaji na mimi ndiye nilikipitia mtandaoni na hadharani Zanzibar.

Mimi na mwalimu wangu sote tukakizungumza kitabu hiki: ‘’Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?’’

Ahmed Rajab Allah atamlipa kwa wema wake na roho safi isiyokuwa na khiyana.

Hata bila ya kumuomba alikuwa akijua tu kuwa mimi nimepewa kazi ya kukipitia kitabu fulani kuhusu Zanzibar basi ataniandikia au kunipigia simu kunifundisha kuhusu mwandishi mwenyewe ni nani, yukoje na atanieleza yale ambayo nisingeweza kuyapata kokote.

Mara kwa mara nilikuwa kila akinipigia simu nitamuuliza kuhusu kitabu alichokuwa akiandika cha maisha ya Abdallah Kassim Hanga.

Yapo mengi ambayo ni vigumu kuyaeleza yote hapa.
Kasema msemaji, ‘’Ahmed Rajab kaondoka na kalamu yake."

Mwenyezi Mungu ampokee ndugu yetu amsamehe na amtie Firdaus.
Amin.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit
  • Thanks
  • Nzuri
Reactions:bagamoyo, and 100 others, Rammyq and 10 others
[IMG alt="Gwappo Mwakatobe"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/575/575655.jpg?1715867605[/IMG]

Gwappo Mwakatobe

JF-Expert Member​

BURIANI MWALIMU AHMED RAJABU ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI

View attachment 3226446

Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab?
Najiuliza.

Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia na Mtaalamu wa Kifaransa nilipomjulia Ahmed Rajab au nianze Heathrow London siku Ahmed Rajab alipokuja kunipokea?

Au nianze BBC aliponichukua na kunijulisha kwa watangazaji nguli wa Idhaa ya Kiswahili BBC, Bush House?

Au nianzie tukiwa tunatembea kwa miguu tukitokea kwenye treni za chini ya ardhi stesheni ya Charring Cross tunaelekea BBC Holborn?

Nianzie wapi mimi kumueleza kaka na mwalimu wangu Ahmed Rajab?
Nianzie kwenye ofisi za Africa Events au kwenye ofisi yake ya Africa Analysis iliyokuwa Barbican?

Miaka mingi sana imepita toka siku ya kwanza tuonane nyumbani kwa kwa Ahmed Maulid Masaki sote tulipoalikwa kwa chakula cha usiku.

Ahmed alikuja na rafiki yake, sasa marehemu Ali Said.
Ali Said tukijuana kabla na alikuwa akiishi Masaki kama mimi.

Kabla sijasonga mbele nataka msomaji wangu nikudokeze kuhusu hawa watu watatu niliowataja hapo juu.

Hapana hawa siyo, ‘’The Three Musketeers,’’ katika kitabu cha Alexander Dumas.

Hawa miaka ile walikuwa vijana wa Kizanzibari waliokuwa wanaijua dunia na hadhi na heshima ya nchi yao Zanzibar.

Nilikuwa kila nikizungumzanao mimi nakuwa darasani nasomeshwa.

Nilimjua Ahmed Rajab hapo nyumbani kwa Ahmed Maulid lakini nilikuwa nikimsoma sana katika Africa Events na Africa Now majarida yaliyokuwa yakichapwa London.

Makala za Ahmed Rajab zilituvutia vijana wengi wa wakati ule hasa baadhi yetu tuliokuwa tunaanza uandishi.

Ahmed Rajab alikuwa mwalimu wetu wa masafa marefu.

Mwaka wa 1991 nilikuwa na safari ya likizo nakwenda Glasgow, Scotland kumtembelea kaka yangu Prof. Mgone.

Yeye akisomesha University of Glasgow.

Nikamwambia rafiki yangu Ahmed Maulid kuwa nakwenda Uingereza na ningependa siku kama mbili tatu nikae London kisha niendelee na safari yangu kwenda Glasgow kwa kaka yangu lakini tatizo sina mwenyeji London nami ni mshamba sijafika Ulaya.

‘’Ahmed atakupokea nitamtaarifu.’’
Ahmed Maulid huyo.

‘’Hakuna shida atakupokea.’’
Sikuwa namjua Ahmed Rajab kwa kiasi hicho.

Nimemuona kwa muda mfupi nyumbani kwa somo yake Ahmed mwenzie na kidogo nikawa na wasiwasi.

Nimefika Heathrow watu wa Immigration wakanizuia kuingia tatizo lilikuwa pasi yangu imeingia nchi nyingi wanataka maelezo kote huko nakwenda kufanya nini?

Wametaka pia kujua nimekuja na fedha kiasi gani?
Fedha zangu mfukoni zilikuwa kidogo.

Vipi nitajikimu? Wanataka maelezo ya kueleweka.

Fedha nilikuwa nazo ndani ya Uingereza lakini kwa hali ya nyakati zile naogopa kueleza kuwa nina fedha Uingereza.

Huu ulikuwa wakati wa utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dola moja kuwanayo inaweza kukusababishia matatizo makubwa.

Ahmed Rajab kasubiri hadi abiria wa mwisho katoka.
Hajaniona.

Kawaendea wasafiri wenzangu tumepanda sote ndege kutokea Cairo kama wameniona ndani ya ndege.
Wakamueleza Ahmed Rajab kuwa nimezuiwa Immigration.

Miaka ile tunaingia Uingereza bila visa sasa kipi kitawafanya Uhamiaji wanidake?
Madawa ya kulevya. Hili ndilo jibu la haraka.

Mara Ahmed Rajab anasikia jina lake linatajwa kwenye kipaza sauti anataarifiwa kuwa mgeni wake aliyekuja kumpokea atatoka punde asubiri.

Baada ya kusalimiana Ahmed akaniuliza, ‘’Kulikoni Mohamed mbona umetutia wasiwasi?’’
Rafiki yangu Mohamed Maharage Juma na yeye alikuwa kaja Heathrow kunipokea.

Wakati ule bado alikuwa hajawa Balozi.

Nikawaeleza kuwa walidhani mimi ‘’Mzungu wa Unga’’ na wanasema nilionyesha dalili hizo kwa kusema kuwa nimekuja Uingereza likizo na walipopekua mzigo wangu wakakuta navaa nguo nzuri nzuri za mitindo na vitu vingine vinavyogharimu fedha nyingi.

Fikra waliyokuwanayo Waingereza kuhusu sisi ni kuwa tulikuwa watu wa dhiki kubwa.
Lakini kilichoniokoa ni pale waliposoma shajara yangu.

Waliyosoma yaliwashangaza.
Wakataka kujua kiwango cha elimu yangu.

Hapo ndipo wakaamini kuwa nchi zote zile nilizokuwa nimeingia na kutoka nilifika kwa ajili ya kazi.

Ahmed Rajab akanipangia nyumba Finsbury Park na kunilipia, jirani ya klabu ya mpira ya Arsenal na siku hiyo usiku alipokuwa ananipeleka kupumzika tulikuta vurugu kubwa mtaani kwa sababu Arsenal ilikuwa imeshinda kikombe.

Ahmed Rajab akanikirimu mwisho wa kunikirimu akanijulisha kwa watangazaji wa BBC na watu wengi maarufu katika duru za Watanzania hasa jamii ya Kizanzibari London: Abdulrahman Babu, Mohamed Abubakar, Aisha Yahya, Mohamed Mlamali Adam, Chama Omari Matata, Ali Saleh, Ali Attas, Ali Adnan (huyu siku zote akinyoa kipara), Suluma Kassim kwa kuwataja wachache.

Ahmed Rajab akanichukua kwenye Uradi maarufu uliokuwa ukisomwa nyumbani kwa Msomi Bingwa na Sheikh Mohamed Abubakar.

Ahmed Rajab akanipeleka kwingi kwenye ofisi za majarida maarufu ya London yanayoandika habari za Afrika na kunikutanisha na waandishi wake.

Halikadhalika akiniingiza katika mikutano mingi ambayo yeye alialikwa na akinijulisha kama mwandishi kutoka Tanzania.

Katika hawa namkumbuka Anver Versi wa New African ambae alikuja kuchapa makala zangu nyingi na katika hizo moja ilipata kuwa ‘’Makala ya Mwezi’’makala maalum iliyochapwa na picha ya mwandishi na kupewa kifuta jasho.

Ahmed Rajab akanifikisha hadi kwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mzee Nelville Halmes (sina hakika ya ‘’spelling’’ ya jina lake) akanifanyia mahojiano ya kazi.

Hiki ni kisa kirefu.
Hakika sikujua kama nilikuwa katika kutihaniwa.

Hadi leo nina picha niko ndani ya studio za BBC Glasgow, Scotland nasoma kipindi nilichoandika mwenyewe, ‘’Barua Kutoka Glasgow.’’

Kipindi hiki nilikuwa naeleza kijiji cha Blantyre Scotland ambacho kiligeuzwa kuwa Makumbusho ya David Livingstone.

Blantyre ndiko alikozaliwa Dr. David Livingstone.

Kote tunakata mitaa ya London kwa miguu au ndani ya treni Ahmed Rajab ananisomesha mambo sikupata kuyajua kamwe.

Ilikuwa tukiwa ofisini kwake Barbican kwenye ofisi za Africa Analysis ndipo hapo mimi nilipokuwa napata darsa kubwa.

Huwezi kuchoka kumsikiliza Ahmed Rajab.

Ilikuwa katika ofisi hii siku aliponipa kazi ya kuandika kuhusu, ‘’Ukimwi na Ukame Afrika,’’ kwa ajili ya gazeti moja ndipo baada ya kusoma makala ile akaniambia kuwa nilikuwa na kipaji kikubwa cha uandishi na yeye angeweza kunipatia kazi katika gazeti lolote pale London.

‘’Lakini Mohamed lazima ujifunze kutumia computer huku watu hawaandiki kwa kalamu.’’
Wakati huo nilikuwa siijui computer.

Yapo mengi.

Mara ya mwisho kukutana na Ahmed Rajab ilikuwa Zanzibar mwaka wa 2023 katika uzinduzi wa kitabu cha Khamis Abdulla Ameir ambacho yeye aliandika dibaji na mimi ndiye nilikipitia mtandaoni na hadharani Zanzibar.

Mimi na mwalimu wangu sote tukakizungumza kitabu hiki: ‘’Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?’’

Ahmed Rajab Allah atamlipa kwa wema wake na roho safi isiyokuwa na khiyana.

Hata bila ya kumuomba alikuwa akijua tu kuwa mimi nimepewa kazi ya kukipitia kitabu fulani kuhusu Zanzibar basi ataniandikia au kunipigia simu kunifundisha kuhusu mwandishi mwenyewe ni nani, yukoje na atanieleza yale ambayo nisingeweza kuyapata kokote.

Mara kwa mara nilikuwa kila akinipigia simu nitamuuliza kuhusu kitabu alichokuwa akiandika cha maisha ya Abdallah Kassim Hanga.

Yapo mengi ambayo ni vigumu kuyaeleza yote hapa.
Kasema msemaji, ‘’Ahmed Rajab kaondoka na kalamu yake."

Mwenyezi Mungu ampokee ndugu yetu amsamehe na amtie Firdaus.
Amin.
Click to expand...
Hakika tumepoteza mwalimu wa pekee na mchambuzi mahiri wa masuala mbalimbali duniani kote. Mara kadhaa tulikuwa tukichambua pamoja naye kupitia Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle - DW), kwenye kipindi cha maoni ya meza ya duara.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others, Masanja, IGWE and 2 others
[IMG alt="Gwappo Mwakatobe"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/575/575655.jpg?1715867605[/IMG]

Gwappo Mwakatobe

JF-Expert Member​

Hakika tumepoteza mwalimu wa pekee na mchambuzi mahiri wa masuala mbalimbali duniani kote. Mara kadhaa tulikuwa tukichambua pamoja naye kupitia Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle - DW), kwenye kipindi cha maoni ya meza ya duara.
Kama utakuwa na makala yake yoyote tafadhali usisite kunigawia niendelee kujifunza toka kwake.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others and Masanja
[IMG alt="Teknocrat"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/514/514083.jpg?1539983512[/IMG]

Teknocrat

JF-Expert Member​

Kama najiona vile nashuka Charring Cross, halafu nasikia ujumbe..."Mind the Gap"

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others
H

His Eminence

Senior Member​

BURIANI MWALIMU AHMED RAJAB ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI

View attachment 3226446

Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab?
Najiuliza.

Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia na Mtaalamu wa Kifaransa nilipomjulia Ahmed Rajab au nianze Heathrow London siku Ahmed Rajab alipokuja kunipokea?

Au nianze BBC aliponichukua na kunijulisha kwa watangazaji nguli wa Idhaa ya Kiswahili BBC, Bush House?

Au nianzie tukiwa tunatembea kwa miguu tukitokea kwenye treni za chini ya ardhi stesheni ya Charring Cross tunaelekea BBC Holborn?

Nianzie wapi mimi kumueleza kaka na mwalimu wangu Ahmed Rajab?
Nianzie kwenye ofisi za Africa Events au kwenye ofisi yake ya Africa Analysis iliyokuwa Barbican?

Miaka mingi sana imepita toka siku ya kwanza tuonane nyumbani kwa kwa Ahmed Maulid Masaki sote tulipoalikwa kwa chakula cha usiku.

Ahmed alikuja na rafiki yake, sasa marehemu Ali Said.
Ali Said tukijuana kabla na alikuwa akiishi Masaki kama mimi.

Kabla sijasonga mbele nataka msomaji wangu nikudokeze kuhusu hawa watu watatu niliowataja hapo juu.

Hapana hawa siyo, ‘’The Three Musketeers,’’ katika kitabu cha Alexander Dumas.

Hawa miaka ile walikuwa vijana wa Kizanzibari waliokuwa wanaijua dunia na hadhi na heshima ya nchi yao Zanzibar.

Nilikuwa kila nikizungumzanao mimi nakuwa darasani nasomeshwa.

Nilimjua Ahmed Rajab hapo nyumbani kwa Ahmed Maulid lakini nilikuwa nikimsoma sana katika Africa Events na Africa Now majarida yaliyokuwa yakichapwa London.

Makala za Ahmed Rajab zilituvutia vijana wengi wa wakati ule hasa baadhi yetu tuliokuwa tunaanza uandishi.

Ahmed Rajab alikuwa mwalimu wetu wa masafa marefu.

Mwaka wa 1991 nilikuwa na safari ya likizo nakwenda Glasgow, Scotland kumtembelea kaka yangu Prof. Mgone.

Yeye akisomesha University of Glasgow.

Nikamwambia rafiki yangu Ahmed Maulid kuwa nakwenda Uingereza na ningependa siku kama mbili tatu nikae London kisha niendelee na safari yangu kwenda Glasgow kwa kaka yangu lakini tatizo sina mwenyeji London nami ni mshamba sijafika Ulaya.

‘’Ahmed atakupokea nitamtaarifu.’’
Ahmed Maulid huyo.

‘’Hakuna shida atakupokea.’’
Sikuwa namjua Ahmed Rajab kwa kiasi hicho.

Nimemuona kwa muda mfupi nyumbani kwa somo yake Ahmed mwenzie na kidogo nikawa na wasiwasi.

Nimefika Heathrow watu wa Immigration wakanizuia kuingia tatizo lilikuwa pasi yangu imeingia nchi nyingi wanataka maelezo kote huko nakwenda kufanya nini?

Wametaka pia kujua nimekuja na fedha kiasi gani?
Fedha zangu mfukoni zilikuwa kidogo.

Vipi nitajikimu? Wanataka maelezo ya kueleweka.

Fedha nilikuwa nazo ndani ya Uingereza lakini kwa hali ya nyakati zile naogopa kueleza kuwa nina fedha Uingereza.

Huu ulikuwa wakati wa utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dola moja kuwanayo inaweza kukusababishia matatizo makubwa.

Ahmed Rajab kasubiri hadi abiria wa mwisho katoka.
Hajaniona.

Kawaendea wasafiri wenzangu tumepanda sote ndege kutokea Cairo kama wameniona ndani ya ndege.
Wakamueleza Ahmed Rajab kuwa nimezuiwa Immigration.

Miaka ile tunaingia Uingereza bila visa sasa kipi kitawafanya Uhamiaji wanidake?
Madawa ya kulevya. Hili ndilo jibu la haraka.

Mara Ahmed Rajab anasikia jina lake linatajwa kwenye kipaza sauti anataarifiwa kuwa mgeni wake aliyekuja kumpokea atatoka punde asubiri.

Baada ya kusalimiana Ahmed akaniuliza, ‘’Kulikoni Mohamed mbona umetutia wasiwasi?’’
Rafiki yangu Mohamed Maharage Juma na yeye alikuwa kaja Heathrow kunipokea.

Wakati ule bado alikuwa hajawa Balozi.

Nikawaeleza kuwa walidhani mimi ‘’Mzungu wa Unga’’ na wanasema nilionyesha dalili hizo kwa kusema kuwa nimekuja Uingereza likizo na walipopekua mzigo wangu wakakuta navaa nguo nzuri nzuri za mitindo na vitu vingine vinavyogharimu fedha nyingi.

Fikra waliyokuwanayo Waingereza kuhusu sisi ni kuwa tulikuwa watu wa dhiki kubwa.
Lakini kilichoniokoa ni pale waliposoma shajara yangu.

Waliyosoma yaliwashangaza.
Wakataka kujua kiwango cha elimu yangu.

Hapo ndipo wakaamini kuwa nchi zote zile nilizokuwa nimeingia na kutoka nilifika kwa ajili ya kazi.

Ahmed Rajab akanipangia nyumba Finsbury Park na kunilipia, jirani ya klabu ya mpira ya Arsenal na siku hiyo usiku alipokuwa ananipeleka kupumzika tulikuta vurugu kubwa mtaani kwa sababu Arsenal ilikuwa imeshinda kikombe.

Ahmed Rajab akanikirimu mwisho wa kunikirimu akanijulisha kwa watangazaji wa BBC na watu wengi maarufu katika duru za Watanzania hasa jamii ya Kizanzibari London: Abdulrahman Babu, Mohamed Abubakar, Aisha Yahya, Mohamed Mlamali Adam, Chama Omari Matata, Ali Saleh, Ali Attas, Ali Adnan (huyu siku zote akinyoa kipara), Suluma Kassim kwa kuwataja wachache.

Ahmed Rajab akanichukua kwenye Uradi maarufu uliokuwa ukisomwa nyumbani kwa Msomi Bingwa na Sheikh Mohamed Abubakar.

Ahmed Rajab akanipeleka kwingi kwenye ofisi za majarida maarufu ya London yanayoandika habari za Afrika na kunikutanisha na waandishi wake.

Halikadhalika akiniingiza katika mikutano mingi ambayo yeye alialikwa na akinijulisha kama mwandishi kutoka Tanzania.

Katika hawa namkumbuka Anver Versi wa New African ambae alikuja kuchapa makala zangu nyingi na katika hizo moja ilipata kuwa ‘’Makala ya Mwezi’’makala maalum iliyochapwa na picha ya mwandishi na kupewa kifuta jasho.

Ahmed Rajab akanifikisha hadi kwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mzee Nelville Halmes (sina hakika ya ‘’spelling’’ ya jina lake) akanifanyia mahojiano ya kazi.

Hiki ni kisa kirefu.
Hakika sikujua kama nilikuwa katika kutihaniwa.

Hadi leo nina picha niko ndani ya studio za BBC Glasgow, Scotland nasoma kipindi nilichoandika mwenyewe, ‘’Barua Kutoka Glasgow.’’

Kipindi hiki nilikuwa naeleza kijiji cha Blantyre Scotland ambacho kiligeuzwa kuwa Makumbusho ya David Livingstone.

Blantyre ndiko alikozaliwa Dr. David Livingstone.

Kote tunakata mitaa ya London kwa miguu au ndani ya treni Ahmed Rajab ananisomesha mambo sikupata kuyajua kamwe.

Ilikuwa tukiwa ofisini kwake Barbican kwenye ofisi za Africa Analysis ndipo hapo mimi nilipokuwa napata darsa kubwa.

Huwezi kuchoka kumsikiliza Ahmed Rajab.

Ilikuwa katika ofisi hii siku aliponipa kazi ya kuandika kuhusu, ‘’Ukimwi na Ukame Afrika,’’ kwa ajili ya gazeti moja ndipo baada ya kusoma makala ile akaniambia kuwa nilikuwa na kipaji kikubwa cha uandishi na yeye angeweza kunipatia kazi katika gazeti lolote pale London.

‘’Lakini Mohamed lazima ujifunze kutumia computer huku watu hawaandiki kwa kalamu.’’
Wakati huo nilikuwa siijui computer.

Yapo mengi.

Mara ya mwisho kukutana na Ahmed Rajab ilikuwa Zanzibar mwaka wa 2023 katika uzinduzi wa kitabu cha Khamis Abdulla Ameir ambacho yeye aliandika dibaji na mimi ndiye nilikipitia mtandaoni na hadharani Zanzibar.

Mimi na mwalimu wangu sote tukakizungumza kitabu hiki: ‘’Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?’’

Ahmed Rajab Allah atamlipa kwa wema wake na roho safi isiyokuwa na khiyana.

Hata bila ya kumuomba alikuwa akijua tu kuwa mimi nimepewa kazi ya kukipitia kitabu fulani kuhusu Zanzibar basi ataniandikia au kunipigia simu kunifundisha kuhusu mwandishi mwenyewe ni nani, yukoje na atanieleza yale ambayo nisingeweza kuyapata kokote.

Mara kwa mara nilikuwa kila akinipigia simu nitamuuliza kuhusu kitabu alichokuwa akiandika cha maisha ya Abdallah Kassim Hanga.

Yapo mengi ambayo ni vigumu kuyaeleza yote hapa.
Kasema msemaji, ‘’Ahmed Rajab kaondoka na kalamu yake."

Mwenyezi Mungu ampokee ndugu yetu amsamehe na amtie Firdaus.
Amin.
Click to expand...
Pole sana Mzee wangu.Hakika ameacha alama kubwa ,binafsi nilimfahamu kupitia makala mbalimbali.Baadaye nikaja kumfahamu zaidi kupitia machapisho yako.Nimejifunza mengi.Mzee wetu Ahmed Rahabu Upumzike kwa Amani . Ahsante kwa Maisha yako."Heri Maziwa uliyonyonya na tumbo lililokuzaa".Upumzike wa Amani.🙏

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others, Gwappo Mwakatobe and Al Zagawi
N

njinjo

JF-Expert Member​

Kama najiona vile nashuka Charring Cross, halafu nasikia ujumbe..."Mind the Gap"
Umesehau neno la kumalizia please

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others and Masanja
M

Moise Aimar

JF-Expert Member​

BURIANI MWALIMU AHMED RAJAB ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI

View attachment 3226446

Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab?
Najiuliza.

Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia na Mtaalamu wa Kifaransa nilipomjulia Ahmed Rajab au nianze Heathrow London siku Ahmed Rajab alipokuja kunipokea?

Au nianze BBC aliponichukua na kunijulisha kwa watangazaji nguli wa Idhaa ya Kiswahili BBC, Bush House?

Au nianzie tukiwa tunatembea kwa miguu tukitokea kwenye treni za chini ya ardhi stesheni ya Charring Cross tunaelekea BBC Holborn?

Nianzie wapi mimi kumueleza kaka na mwalimu wangu Ahmed Rajab?
Nianzie kwenye ofisi za Africa Events au kwenye ofisi yake ya Africa Analysis iliyokuwa Barbican?

Miaka mingi sana imepita toka siku ya kwanza tuonane nyumbani kwa kwa Ahmed Maulid Masaki sote tulipoalikwa kwa chakula cha usiku.

Ahmed alikuja na rafiki yake, sasa marehemu Ali Said.
Ali Said tukijuana kabla na alikuwa akiishi Masaki kama mimi.

Kabla sijasonga mbele nataka msomaji wangu nikudokeze kuhusu hawa watu watatu niliowataja hapo juu.

Hapana hawa siyo, ‘’The Three Musketeers,’’ katika kitabu cha Alexander Dumas.

Hawa miaka ile walikuwa vijana wa Kizanzibari waliokuwa wanaijua dunia na hadhi na heshima ya nchi yao Zanzibar.

Nilikuwa kila nikizungumzanao mimi nakuwa darasani nasomeshwa.

Nilimjua Ahmed Rajab hapo nyumbani kwa Ahmed Maulid lakini nilikuwa nikimsoma sana katika Africa Events na Africa Now majarida yaliyokuwa yakichapwa London.

Makala za Ahmed Rajab zilituvutia vijana wengi wa wakati ule hasa baadhi yetu tuliokuwa tunaanza uandishi.

Ahmed Rajab alikuwa mwalimu wetu wa masafa marefu.

Mwaka wa 1991 nilikuwa na safari ya likizo nakwenda Glasgow, Scotland kumtembelea kaka yangu Prof. Mgone.

Yeye akisomesha University of Glasgow.

Nikamwambia rafiki yangu Ahmed Maulid kuwa nakwenda Uingereza na ningependa siku kama mbili tatu nikae London kisha niendelee na safari yangu kwenda Glasgow kwa kaka yangu lakini tatizo sina mwenyeji London nami ni mshamba sijafika Ulaya.

‘’Ahmed atakupokea nitamtaarifu.’’
Ahmed Maulid huyo.

‘’Hakuna shida atakupokea.’’
Sikuwa namjua Ahmed Rajab kwa kiasi hicho.

Nimemuona kwa muda mfupi nyumbani kwa somo yake Ahmed mwenzie na kidogo nikawa na wasiwasi.

Nimefika Heathrow watu wa Immigration wakanizuia kuingia tatizo lilikuwa pasi yangu imeingia nchi nyingi wanataka maelezo kote huko nakwenda kufanya nini?

Wametaka pia kujua nimekuja na fedha kiasi gani?
Fedha zangu mfukoni zilikuwa kidogo.

Vipi nitajikimu? Wanataka maelezo ya kueleweka.

Fedha nilikuwa nazo ndani ya Uingereza lakini kwa hali ya nyakati zile naogopa kueleza kuwa nina fedha Uingereza.

Huu ulikuwa wakati wa utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dola moja kuwanayo inaweza kukusababishia matatizo makubwa.

Ahmed Rajab kasubiri hadi abiria wa mwisho katoka.
Hajaniona.

Kawaendea wasafiri wenzangu tumepanda sote ndege kutokea Cairo kama wameniona ndani ya ndege.
Wakamueleza Ahmed Rajab kuwa nimezuiwa Immigration.

Miaka ile tunaingia Uingereza bila visa sasa kipi kitawafanya Uhamiaji wanidake?
Madawa ya kulevya. Hili ndilo jibu la haraka.

Mara Ahmed Rajab anasikia jina lake linatajwa kwenye kipaza sauti anataarifiwa kuwa mgeni wake aliyekuja kumpokea atatoka punde asubiri.

Baada ya kusalimiana Ahmed akaniuliza, ‘’Kulikoni Mohamed mbona umetutia wasiwasi?’’
Rafiki yangu Mohamed Maharage Juma na yeye alikuwa kaja Heathrow kunipokea.

Wakati ule bado alikuwa hajawa Balozi.

Nikawaeleza kuwa walidhani mimi ‘’Mzungu wa Unga’’ na wanasema nilionyesha dalili hizo kwa kusema kuwa nimekuja Uingereza likizo na walipopekua mzigo wangu wakakuta navaa nguo nzuri nzuri za mitindo na vitu vingine vinavyogharimu fedha nyingi.

Fikra waliyokuwanayo Waingereza kuhusu sisi ni kuwa tulikuwa watu wa dhiki kubwa.
Lakini kilichoniokoa ni pale waliposoma shajara yangu.

Waliyosoma yaliwashangaza.
Wakataka kujua kiwango cha elimu yangu.

Hapo ndipo wakaamini kuwa nchi zote zile nilizokuwa nimeingia na kutoka nilifika kwa ajili ya kazi.

Ahmed Rajab akanipangia nyumba Finsbury Park na kunilipia, jirani ya klabu ya mpira ya Arsenal na siku hiyo usiku alipokuwa ananipeleka kupumzika tulikuta vurugu kubwa mtaani kwa sababu Arsenal ilikuwa imeshinda kikombe.

Ahmed Rajab akanikirimu mwisho wa kunikirimu akanijulisha kwa watangazaji wa BBC na watu wengi maarufu katika duru za Watanzania hasa jamii ya Kizanzibari London: Abdulrahman Babu, Mohamed Abubakar, Aisha Yahya, Mohamed Mlamali Adam, Chama Omari Matata, Ali Saleh, Ali Attas, Ali Adnan (huyu siku zote akinyoa kipara), Suluma Kassim kwa kuwataja wachache.

Ahmed Rajab akanichukua kwenye Uradi maarufu uliokuwa ukisomwa nyumbani kwa Msomi Bingwa na Sheikh Mohamed Abubakar.

Ahmed Rajab akanipeleka kwingi kwenye ofisi za majarida maarufu ya London yanayoandika habari za Afrika na kunikutanisha na waandishi wake.

Halikadhalika akiniingiza katika mikutano mingi ambayo yeye alialikwa na akinijulisha kama mwandishi kutoka Tanzania.

Katika hawa namkumbuka Anver Versi wa New African ambae alikuja kuchapa makala zangu nyingi na katika hizo moja ilipata kuwa ‘’Makala ya Mwezi’’makala maalum iliyochapwa na picha ya mwandishi na kupewa kifuta jasho.

Ahmed Rajab akanifikisha hadi kwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mzee Nelville Halmes (sina hakika ya ‘’spelling’’ ya jina lake) akanifanyia mahojiano ya kazi.

Hiki ni kisa kirefu.
Hakika sikujua kama nilikuwa katika kutihaniwa.

Hadi leo nina picha niko ndani ya studio za BBC Glasgow, Scotland nasoma kipindi nilichoandika mwenyewe, ‘’Barua Kutoka Glasgow.’’

Kipindi hiki nilikuwa naeleza kijiji cha Blantyre Scotland ambacho kiligeuzwa kuwa Makumbusho ya David Livingstone.

Blantyre ndiko alikozaliwa Dr. David Livingstone.

Kote tunakata mitaa ya London kwa miguu au ndani ya treni Ahmed Rajab ananisomesha mambo sikupata kuyajua kamwe.

Ilikuwa tukiwa ofisini kwake Barbican kwenye ofisi za Africa Analysis ndipo hapo mimi nilipokuwa napata darsa kubwa.

Huwezi kuchoka kumsikiliza Ahmed Rajab.

Ilikuwa katika ofisi hii siku aliponipa kazi ya kuandika kuhusu, ‘’Ukimwi na Ukame Afrika,’’ kwa ajili ya gazeti moja ndipo baada ya kusoma makala ile akaniambia kuwa nilikuwa na kipaji kikubwa cha uandishi na yeye angeweza kunipatia kazi katika gazeti lolote pale London.

‘’Lakini Mohamed lazima ujifunze kutumia computer huku watu hawaandiki kwa kalamu.’’
Wakati huo nilikuwa siijui computer.

Yapo mengi.

Mara ya mwisho kukutana na Ahmed Rajab ilikuwa Zanzibar mwaka wa 2023 katika uzinduzi wa kitabu cha Khamis Abdulla Ameir ambacho yeye aliandika dibaji na mimi ndiye nilikipitia mtandaoni na hadharani Zanzibar.

Mimi na mwalimu wangu sote tukakizungumza kitabu hiki: ‘’Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?’’

Ahmed Rajab Allah atamlipa kwa wema wake na roho safi isiyokuwa na khiyana.

Hata bila ya kumuomba alikuwa akijua tu kuwa mimi nimepewa kazi ya kukipitia kitabu fulani kuhusu Zanzibar basi ataniandikia au kunipigia simu kunifundisha kuhusu mwandishi mwenyewe ni nani, yukoje na atanieleza yale ambayo nisingeweza kuyapata kokote.

Mara kwa mara nilikuwa kila akinipigia simu nitamuuliza kuhusu kitabu alichokuwa akiandika cha maisha ya Abdallah Kassim Hanga.

Yapo mengi ambayo ni vigumu kuyaeleza yote hapa.
Kasema msemaji, ‘’Ahmed Rajab kaondoka na kalamu yake."

Mwenyezi Mungu ampokee ndugu yetu amsamehe na amtie Firdaus.
Amin.
Click to expand...
pole sana mzee wangu Hivi Ahmed Rajab alikua anaandika makala kwenye gazeti la Dunia?

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others
W

Wandugu Masanja

JF-Expert Member​

Salaam Sh Mohamed,
Hakika msiba mkubwa umetufika, tupeane pole na kubwa ni kumuombea maghfira na Mwenyeezi Mungu amsamehe makosa yake.
Nilipopata taarifa kuwa Sh Ahmed Rajab amefariki basi mwanzo nilitazama kwenye ukurasa wa Jamii Forum kama hii taarifa ya Kweli, sikuona taarifa nikatia shaka lakini nikamuandikia sahiba wake wa karibu ndio akanihakikishia kuwa Kweli Sh Ahmed amefariki
kubwa ni kumuombea dua
Mwenyeezi Mungu amsamehe makosa yake na sisi tulio hai atupe mwisho mwema

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others
[IMG alt="caryeda"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/557/557556.jpg?1580530884[/IMG]

caryeda

Senior Member​

Sisi vijana ambao hatupendwi kupitwa na DW,BBC na VOA kila siku hakika tutamiss sana uchambuzi wake ila Mzee Mohamed hebu nisaidie tu nikutane na Mohammed Abdulraman na Mohammed Khelefi japo mimi sio mwandishi wa habari ila nikikutana nao na kupiga nao picha tu basi ntakuwa na kumbukumbu nzuri maishani mwangu

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others and Gwappo Mwakatobe
[IMG alt="Alex Fredrick"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/371/371478.jpg?1638513623[/IMG]

Alex Fredrick

JF-Expert Member​

Nilikuwa nkisoma Makala zake kwenye Raia Mwema au Rai Yaani nilikuwa navutiwa na Ile mikogo ya Kiswahili chake maana huwezi kuchoka kusoma Makala zake

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others, Rammyq, Gwappo Mwakatobe and 1 other person
[IMG alt="Chukwu emeka"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/472/472061.jpg?1572718615[/IMG]

Chukwu emeka

JF-Expert Member​

Alikuwa jembe sana,alijua mengi ya mashariki ya kati, Ukanda wa maziwa makuu na duniani kwa ujumla, binafsi nilitumia machapisho yake enzi za shule.R.I.P LEGEND

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others and Gwappo Mwakatobe
[IMG alt="jiwe angavu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/322/322115.jpg?1706336360[/IMG]

jiwe angavu

JF-Expert Member​

Apumzike kwa amani,

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others
K

kina kirefu

JF-Expert Member​

Mod

Mimi,alinifanya raia mwema isikosekane nyumbani na baadae nikamchimba sana

nae na wewe hamjawahi kuwa vijana wake NYERERE kweli nyie

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:and 100 others
[IMG alt="nyiokunda"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/295/295499.jpg?1471530933[/IMG]

nyiokunda

JF-Expert Member​

Alikuwa nguli wa habari na uchambuzi. R.I.P Ahmed Rajabu

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others and Gwappo Mwakatobe
K

Kiduila

JF-Expert Member​

Naam, nilijua Kwa hakika kabisa nitapata kitu kipya ukimueleza Shekh Ahmed, Akhsante sana Shekh Said.

Sijui nani atakae kuelezea wewe Kwa watakaobaki siku Allah akikuchukua! Maana una hazina nyingi, si haba.

Namuomba Allah akupe mwisho mwema, na sisi pia.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:and 100 others, Rammyq and Gwappo Mwakatobe
B

bagamoyo

JF-Expert Member​

BURIANI MWALIMU AHMED RAJAB ULITOSOMESHA WENGI VIJANA KWA KALAMU NA SAUTI

View attachment 3226446

Naanzia wapi kumueleza Ahmed Rajab?
Najiuliza.

Nianze nyumbani kwa rafiki na ndugu yangu Ahmed Maulid Mwanadiplomasia na Mtaalamu wa Kifaransa nilipomjulia Ahmed Rajab au nianze Heathrow London siku Ahmed Rajab alipokuja kunipokea?

Au nianze BBC aliponichukua na kunijulisha kwa watangazaji nguli wa Idhaa ya Kiswahili BBC, Bush House?

Au nianzie tukiwa tunatembea kwa miguu tukitokea kwenye treni za chini ya ardhi stesheni ya Charring Cross tunaelekea BBC Holborn?

Nianzie wapi mimi kumueleza kaka na mwalimu wangu Ahmed Rajab?
Nianzie kwenye ofisi za Africa Events au kwenye ofisi yake ya Africa Analysis iliyokuwa Barbican?

Miaka mingi sana imepita toka siku ya kwanza tuonane nyumbani kwa kwa Ahmed Maulid Masaki sote tulipoalikwa kwa chakula cha usiku.

Ahmed alikuja na rafiki yake, sasa marehemu Ali Said.
Ali Said tukijuana kabla na alikuwa akiishi Masaki kama mimi.

Kabla sijasonga mbele nataka msomaji wangu nikudokeze kuhusu hawa watu watatu niliowataja hapo juu.

Hapana hawa siyo, ‘’The Three Musketeers,’’ katika kitabu cha Alexander Dumas.

Hawa miaka ile walikuwa vijana wa Kizanzibari waliokuwa wanaijua dunia na hadhi na heshima ya nchi yao Zanzibar.

Nilikuwa kila nikizungumzanao mimi nakuwa darasani nasomeshwa.

Nilimjua Ahmed Rajab hapo nyumbani kwa Ahmed Maulid lakini nilikuwa nikimsoma sana katika Africa Events na Africa Now majarida yaliyokuwa yakichapwa London.

Makala za Ahmed Rajab zilituvutia vijana wengi wa wakati ule hasa baadhi yetu tuliokuwa tunaanza uandishi.

Ahmed Rajab alikuwa mwalimu wetu wa masafa marefu.

Mwaka wa 1991 nilikuwa na safari ya likizo nakwenda Glasgow, Scotland kumtembelea kaka yangu Prof. Mgone.

Yeye akisomesha University of Glasgow.

Nikamwambia rafiki yangu Ahmed Maulid kuwa nakwenda Uingereza na ningependa siku kama mbili tatu nikae London kisha niendelee na safari yangu kwenda Glasgow kwa kaka yangu lakini tatizo sina mwenyeji London nami ni mshamba sijafika Ulaya.

‘’Ahmed atakupokea nitamtaarifu.’’
Ahmed Maulid huyo.

‘’Hakuna shida atakupokea.’’
Sikuwa namjua Ahmed Rajab kwa kiasi hicho.

Nimemuona kwa muda mfupi nyumbani kwa somo yake Ahmed mwenzie na kidogo nikawa na wasiwasi.

Nimefika Heathrow watu wa Immigration wakanizuia kuingia tatizo lilikuwa pasi yangu imeingia nchi nyingi wanataka maelezo kote huko nakwenda kufanya nini?

Wametaka pia kujua nimekuja na fedha kiasi gani?
Fedha zangu mfukoni zilikuwa kidogo.

Vipi nitajikimu? Wanataka maelezo ya kueleweka.

Fedha nilikuwa nazo ndani ya Uingereza lakini kwa hali ya nyakati zile naogopa kueleza kuwa nina fedha Uingereza.

Huu ulikuwa wakati wa utawala wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dola moja kuwanayo inaweza kukusababishia matatizo makubwa.

Ahmed Rajab kasubiri hadi abiria wa mwisho katoka.
Hajaniona.

Kawaendea wasafiri wenzangu tumepanda sote ndege kutokea Cairo kama wameniona ndani ya ndege.
Wakamueleza Ahmed Rajab kuwa nimezuiwa Immigration.

Miaka ile tunaingia Uingereza bila visa sasa kipi kitawafanya Uhamiaji wanidake?
Madawa ya kulevya. Hili ndilo jibu la haraka.

Mara Ahmed Rajab anasikia jina lake linatajwa kwenye kipaza sauti anataarifiwa kuwa mgeni wake aliyekuja kumpokea atatoka punde asubiri.

Baada ya kusalimiana Ahmed akaniuliza, ‘’Kulikoni Mohamed mbona umetutia wasiwasi?’’
Rafiki yangu Mohamed Maharage Juma na yeye alikuwa kaja Heathrow kunipokea.

Wakati ule bado alikuwa hajawa Balozi.

Nikawaeleza kuwa walidhani mimi ‘’Mzungu wa Unga’’ na wanasema nilionyesha dalili hizo kwa kusema kuwa nimekuja Uingereza likizo na walipopekua mzigo wangu wakakuta navaa nguo nzuri nzuri za mitindo na vitu vingine vinavyogharimu fedha nyingi.

Fikra waliyokuwanayo Waingereza kuhusu sisi ni kuwa tulikuwa watu wa dhiki kubwa.
Lakini kilichoniokoa ni pale waliposoma shajara yangu.

Waliyosoma yaliwashangaza.
Wakataka kujua kiwango cha elimu yangu.

Hapo ndipo wakaamini kuwa nchi zote zile nilizokuwa nimeingia na kutoka nilifika kwa ajili ya kazi.

Ahmed Rajab akanipangia nyumba Finsbury Park na kunilipia, jirani ya klabu ya mpira ya Arsenal na siku hiyo usiku alipokuwa ananipeleka kupumzika tulikuta vurugu kubwa mtaani kwa sababu Arsenal ilikuwa imeshinda kikombe.

Ahmed Rajab akanikirimu mwisho wa kunikirimu akanijulisha kwa watangazaji wa BBC na watu wengi maarufu katika duru za Watanzania hasa jamii ya Kizanzibari London: Abdulrahman Babu, Mohamed Abubakar, Aisha Yahya, Mohamed Mlamali Adam, Chama Omari Matata, Ali Saleh, Ali Attas, Ali Adnan (huyu siku zote akinyoa kipara), Suluma Kassim kwa kuwataja wachache.

Ahmed Rajab akanichukua kwenye Uradi maarufu uliokuwa ukisomwa nyumbani kwa Msomi Bingwa na Sheikh Mohamed Abubakar.

Ahmed Rajab akanipeleka kwingi kwenye ofisi za majarida maarufu ya London yanayoandika habari za Afrika na kunikutanisha na waandishi wake.

Halikadhalika akiniingiza katika mikutano mingi ambayo yeye alialikwa na akinijulisha kama mwandishi kutoka Tanzania.

Katika hawa namkumbuka Anver Versi wa New African ambae alikuja kuchapa makala zangu nyingi na katika hizo moja ilipata kuwa ‘’Makala ya Mwezi’’makala maalum iliyochapwa na picha ya mwandishi na kupewa kifuta jasho.

Ahmed Rajab akanifikisha hadi kwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mzee Nelville Halmes (sina hakika ya ‘’spelling’’ ya jina lake) akanifanyia mahojiano ya kazi.

Hiki ni kisa kirefu.
Hakika sikujua kama nilikuwa katika kutihaniwa.

Hadi leo nina picha niko ndani ya studio za BBC Glasgow, Scotland nasoma kipindi nilichoandika mwenyewe, ‘’Barua Kutoka Glasgow.’’

Kipindi hiki nilikuwa naeleza kijiji cha Blantyre Scotland ambacho kiligeuzwa kuwa Makumbusho ya David Livingstone.

Blantyre ndiko alikozaliwa Dr. David Livingstone.

Kote tunakata mitaa ya London kwa miguu au ndani ya treni Ahmed Rajab ananisomesha mambo sikupata kuyajua kamwe.

Ilikuwa tukiwa ofisini kwake Barbican kwenye ofisi za Africa Analysis ndipo hapo mimi nilipokuwa napata darsa kubwa.

Huwezi kuchoka kumsikiliza Ahmed Rajab.

Ilikuwa katika ofisi hii siku aliponipa kazi ya kuandika kuhusu, ‘’Ukimwi na Ukame Afrika,’’ kwa ajili ya gazeti moja ndipo baada ya kusoma makala ile akaniambia kuwa nilikuwa na kipaji kikubwa cha uandishi na yeye angeweza kunipatia kazi katika gazeti lolote pale London.

‘’Lakini Mohamed lazima ujifunze kutumia computer huku watu hawaandiki kwa kalamu.’’
Wakati huo nilikuwa siijui computer.

Yapo mengi.

Mara ya mwisho kukutana na Ahmed Rajab ilikuwa Zanzibar mwaka wa 2023 katika uzinduzi wa kitabu cha Khamis Abdulla Ameir ambacho yeye aliandika dibaji na mimi ndiye nilikipitia mtandaoni na hadharani Zanzibar.

Mimi na mwalimu wangu sote tukakizungumza kitabu hiki: ‘’Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?’’

Ahmed Rajab Allah atamlipa kwa wema wake na roho safi isiyokuwa na khiyana.

Hata bila ya kumuomba alikuwa akijua tu kuwa mimi nimepewa kazi ya kukipitia kitabu fulani kuhusu Zanzibar basi ataniandikia au kunipigia simu kunifundisha kuhusu mwandishi mwenyewe ni nani, yukoje na atanieleza yale ambayo nisingeweza kuyapata kokote.

Mara kwa mara nilikuwa kila akinipigia simu nitamuuliza kuhusu kitabu alichokuwa akiandika cha maisha ya Abdallah Kassim Hanga.

Yapo mengi ambayo ni vigumu kuyaeleza yote hapa.
Kasema msemaji, ‘’Ahmed Rajab kaondoka na kalamu yake."

Mwenyezi Mungu ampokee ndugu yetu amsamehe na amtie Firdaus.
Amin.
Click to expand...
Baada ya kusoma makala hii, nimebaini kuwa kizazi cha sasa hatuna waandishi wa habari journalists.

Kuna pengo kubwa (gap) kubwa baina ya waandishi wa sasa katika uwezo wa kujieleza kwa maandishi na hata kwa simulizi kwa kuwa hatusomi.

Nawaza kizazi cha zamani kwa umahiri huu ndiyo kingekuwa kizazi cha sasa tungefaidi sana makala za mfumo wa podcast, uchambuzi wa masuala mbalimbali lakini pamoja na Teknolojia hizi za tehama kuna kitu waandishi wa habari wa sasa hawana hasa waandishi wa Tanzania.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report

BoldItalicMore options…

Inse
Strike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteInsert videoMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts

Write your reply...
Post reply

Attach files

Similar Discussions​

 

Attachments

  • 1739286576617.gif
    1739286576617.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1739286576866.gif
    1739286576866.gif
    42 bytes · Views: 2
Unaongelea kitabu kilichoandikwa na tapeli aliyefukuzwa chuoni baada ya kugundulika alikuwa tapeli aliyejiita msomi wakati ni kihiyo?
Prof Nyang'oro north caroline ndio alipata matatizo lkn sio tapeli futa upuuzi..
Kwa chuo kama north carolina hadi upewe kuongoza department ya African- adrican american studies huwezi kuwa ni kihiyo
 
Nashangaa.
Mbona sioni jina la Rostam Aziz wala la Prof. Kighoma Ali Malima?

Kwa yale ambayo mimi nayajua hata bila utafiti wa kuandika kitabu hawa ni watu muhimu katika maisha ya JK.
Jina la Daudi Mwangosi je?
 
Hapa katajwa Rostam Azizi
Kighoma Ally Malima na
Mawaziri waislam.
Uzi bila harufu ya udini huwa haukamiliki.
Kadhi..
Ndiyo majaaliwa kuwa historia ya Tanganyika inapendeza Uislam na Waislam wanapokuwa sehemu ya historia hiyo.

Angalia mfano huu.

Iliandikwa historia ya uhuru wa Tanganyika na Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Katika historia hiyo Waislam ambao walikuwa mstari wa mbele hawakuwemo.

Nikaandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes (1998).

Kitabu hiki kimependwa sana.
Udini ukoje hapa Kivukoni kufuta historia ya Abdul Sykes na wazalendo mfano wake kama Hamza Mwapachu au Mohamed Said kuwarejesha Waislam kundini?
 
KITABU CHA MAISHA YA JAKAYA MRISHO KIKWETE

Rafiki yangu kanipigia simu kutoka duka la vitabu la Mkuki na Nyota, Samora Avenue ananitaarifu kuwa kipo kitabu cha maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete.

Nimeshtuka tena sana kwani kitabu hiki nimekisubiri kwa hamu kwa miaka toka niliposikia kuwa kinaandikwa kitabu cha maisha yake.

Kitabu hiki kimeandikwa na Julius E. Nyang’oro.

Haraka nimekifungua na kutazama yaliyomo mwanzo wa kitabu kisha nimeruka hadi mwisho wa kitabu kuangalia faharasha.

Nimeangalia mwanzo wa kitabu na kukuta Sura ya Nne inayoeleza alivyogombea Urais wa Tanzania mwaka wa 1995.

Haukupita muda nikawa nimemaliza sura hii lakini sura imeniacha na maswali mengi kupita kiasi.
Naendelea kusoma sura za mbele.

Imekuwaje?
Najiuliza.

Nikarejea tena kwenye faharasha nasoma majina ya wote ambao mwandishi kawataja katika kitabu cha JK.

Nashangaa.
Mbona sioni jina la Rostam Aziz wala la Prof. Kighoma Ali Malima?

Kwa yale ambayo mimi nayajua hata bila utafiti wa kuandika kitabu hawa ni watu muhimu katika maisha ya JK.

Kwa wafatiliaji wa siasa za Tanzania miaka ile ya utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 1995 watatambua kuwa siasa zilikuwa moto sana nchi nzima.

JK hakupita Dodoma na hii ni historia ya peke yake.

JK aliporejea Dodoma 2005 kugombea urais alikuwa na timu kali sana ya vijana maarufu kwa jina la ‘’Wanamtandao.’’

Hawa hawakujitokeza hadharani lakini wakifahamika kwa uwezo wao wa fikra na halikadhalika kwa uwezo wao wa fedha.

Kuwajua hawa ilibidi lazima mtu uwe na sikio lako ardhini, ‘’An ear to the ground.’’
Bila hivi utabakia na jina la ‘’Wanamtandao,’’ peke yake.

Inasemekana Wanamtandao walitanda nchi nzima na wote walikuwa na simu za mkononi kwa mawasiliano ya haraka na ya uhakika.

Mwandishi hajawataja hawa na kwa kukosa kuwataja hawa na vishindo vyao mwandishi katoa ladha katika kitabu cha maisha ya JK.

Kitabu hiki hakijamtaja Rostam Aziz wala Prof. Malima.

Uchaguzi wa 1995 ulikuwa na mambo makubwa yaliyowagusa JK na Prof. Malima ambayo kwa hakika si ya kuachwa kuelezwa katika kitabu hiki.

Kipindi cha wagombea urais wa CCM walipokuwa wanajitayarisha kwenda Dodoma kuchukua fomu magazeti yaliandika kuwa Waislam wanafanya kampeni ya kuchagua Rais Muislam katika Uchaguzi wa 1995.

Kitabu kingenoga sana endapo mwandishi angepita huko na kueleza haya na kutufunulia ni nani walikuwa wahusika wakuu wa propaganda hii na nini ilikuwa nia yao?

Mawaziri Waislam katika Baraza la Mawaziri la Rais Ali Hassan Mwinyi walijikuta katika hali ngumu sana.

Ndani ya Bunge propaganda hii ilishika kasi kiasi wale mawaziri Waislam ambao magazeti yaliwataja kuwa wanaweza kuwa wagombea urais ilibidi wasimame ndani ya Bunge kudai kuwa wao hawana nia ya kugombea urais.

Hapa ndipo anapoingia Prof. Malima.
Prof. Malima alikataa kuorodhesha jina lake.

Jina lake halikuwa katika orodha ya mawaziri Waislam waliosema kuwa hawana nia ya kugombea urais halikadhalika saini yake haikuwako.

JK jina na saini yake vilikuwako.

Yako mengi katika uchaguzi huu ambao endapo mwandishi angeyaandika kitabu hiki cha maisha ya JK kingetia fora.

Lakini juu haya kitabu hiki ni kizuri na si cha kukosa mtu kukisoma.

Msomaji atakifaidi kitabu hiki endapo atahangaisha bongo lake kuangalia siasa za Tanzania zilivyokuwa huko nyuma na kufananisha na hali ilivyo hivi sasa.

Je, kuna kitu viongozi wetu katika ngazi za juu wamejifunza kuwafanya wawe viongozi bora na makini zaidi katika kuuendea Urais wa Tanzania?

Hitimisho

Nilidhani hiki ni kitabu cha JK ambacho nilichokuwa nakisubiri kwa muda mrefu.
Msomaji mmoja kaniandikia kuniambia hiki sicho.

Nakipekua nakuta kitabu kimechapwa 2011.
Kinachonishangaza ni kuwa imekuwaje kitabu hiki sikupata kukisikia miaka yote hadi hii leo?

The book is simply hagiography, not biography, so don't expect much from it.

Umesoma cha Eric Kabendera "In The Name of The President : Memoirs Of A Jailed Journalist" ?

Vipi cha Edward Moringe Sokoine?
 
The book is simply hagiography, not biography, so don't expect much from it.

Umesoma cha Eric Kabendera "In The Name of The President : Memoirs Of A Jailed Journalist" ?

Vipi cha Edward Moringe Sokoine?
Mkuu kiranga kama utakuwa na soft copy ya kitabu cha in the name of the president
 
Back
Top Bottom