Kitabu cha “Mmomonyoko wa Maadili, Nani Alaumiwe” chazinduliwa

Kitabu cha “Mmomonyoko wa Maadili, Nani Alaumiwe” chazinduliwa

Dkt. Gwajima D

Minister
Joined
Nov 28, 2015
Posts
966
Reaction score
6,019
DSM, 3 Julai, 2024.
_________________

Mhe. Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu wa JMT🇹🇿 na Waziri wa Nishati, amezindua kitabu cha "Mmomonyoko wa Maadili, Nani alaumiwe" kilichoandikwa na Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Mhe. Dkt. Abubakar Zuberi.

Uzinduzi huo umefanyika Julai 03, 2024 jijini Dar ES Salaam, Kinondoni kwenye makao makuu ya BAKWATA.

Tafadhali tembelea Makao Makuu ya BAKWATA au wasiliana nao ujipatie nakala yako Ili, ikusaidie wewe na familia yako kupata mawaidha na maarifa ya kupambana kudhibiti mmomonyoko wa maadili janga ambalo hivi sasa linatishia maendeleo na ustawi wa jamii hasa watoto na vijana.


Picha ni matukio mbalimbali katika uzinduzi huo.

@maendeleoyajamii

IMG-20240703-WA0026.jpg
IMG-20240703-WA0024.jpg
IMG-20240703-WA0048.jpg
 
2025 ugombee urais, nakukubali sana Mheshimiwa 😎
 
Strange, ngoja tukisome tuone hayo maadili yanayozungumziwa ni maadili gani.
 
Hivi maadili gani hayo ambayo yamemomonyoka?

Kila kizazi huja na mambo yake, hawa wazee wasidhani watoto wa miaka ya 2000 wanaweza kuishi kwa code za 1960. Haiwezekani.

Kwanza ni wanafiki wakubwa, wanjifanya maadili yamemomonyoka wakati wao ndo wako busy kusifia misambwanda ya mabinti kwenye ibada zao. Utasikia 'Rehema za Allah sheikh wangu' - Sheikh Kipozeo.
😄
 
CCM wanasemaje kuhusu mmonyoko huo wa maadili..
 
Hivi maadili gani hayo ambayo yamemomonyoka?

Kila kizazi huja na mambo yake, hawa wazee wasidhani watoto wa miaka ya 2000 wanaweza kuishi kwa code za 1960. Haiwezekani.

Kwanza ni wanafiki wakubwa, wanjifanya maadili yamemomonyoka wakati wao ndo wako busy kusifia misambwanda ya mabinti kwenye ibada zao. Utasikia 'Rehema za Allah sheikh wangu' - Sheikh Kipozeo.
nyama nyama za allah shekhe wangu
 
Tengenezeni ajira ,vyama vya siasa vimechangia ,viongozi wakubwa wanamchangia,shule za Tanzania zimechangia
 
Mashallah Mh. Waziri umependeza na hiyo hijab. Ni jambo zuri, maana kweli maadili yameporomoka sana. Tutajitahidi kukisoma. Ahsante...
 
tunazaa tukiwa wadogo,tunalea watoto wenyewe,,na hao watoto ndo hawa wanaoharibu maadili,, Mungu saidia vizazi vyetu

kitabu kigawiwe bureeeeee
 
Mhe.. Dkt. Gwajima D asante sana kwa kutushirikisha hili maana ndio nimepata taarifa hii ya uzinduzi wa hicho kitabu kutoka kwako.

Wa kwanza wa kulaumiwa ni serikali.

Wapili mzazi wa mwalimu

Kati ya vitu vinavyomomonyoa na kuaribu maadili kwa watoto na vijana

Ni utandawazi

Tv zetu na wasanii wetu na wasanii wa mataifa mengine wamekuwa viongozi katika kuaribu maadili

Mheshimiwa wewe upo ofisini nyumbani umeacha watoto na wajukuu waangalia tv kuna nyimbo za wasanii wetu zenye maneno yenye ukakasi kuna sinema pia zinazohamasisha ulevi, ngono na ujeuri.

Kwa namna hiyo kwanini maadili yasiporomoke.

1717180799298.jpg
 
Serikali imechangia kwa 99% katika kuchochea mmomonyoko wa maadali Tanzania
1. BASATA hukumu yao inawangoja, wamechochea sana mabinti kutembea nusu utupu huku mitaani, nyimbo chafu, video hazina maadili kabisa

2. Wazazi walaumiwe, wewe kama mzazi unakubalije kuona mwanao anavaa mavazi yasiyo na staha? Vitoto vinamaliza la saba huku mbinga vijijini then vinaenda huko jijini dar kwenye u-house girl, vikitoka huko vimevaa visuruali na wazazi wanaona sawa tu eti ametoka mjini.

3. Mloganzila, nawahakikishieni jehanam inawangoja wote, endeleni tu kuleta mitambo ya kuongeza matako
4. N.k

Naomba sheria itungwe na iwe kwenye katiba, marufuku mwanamke/mwanamme kuvaa mavazi yasiyo na heshima, atakaye kengeuka faini laki 5 na viboko juu
 
kuna kijana huko mbeya alikuwa anachana picha tu ya rais wa inchi..yaani alikuwa anachana karatasi yenye picha ya rais...kijana huyo ametafutwa kwa gharama kubwa sana na magari ya polisi eti hana nidhamu!!.

kama Yesu alitukanwa na kutemewa mate na wala hakuwafanya kitu binadamu...itakuwaje wewe mtenda dhambi uwe busy kunyamazisha watu wasikuseme?

Wasichane karatasi zenye picha za watu kisa wewe unataka uonekane mtakatifu wakati watu wanajua wewe ni mtenda dhambi mkubwa hapa!!. Huu si mmomonyoko wa maadili kwa waliokabidhiwa wadhfa wa kutuongoza siye?
 
Hiki kitabu unaweza shangaa wasinunue hata ccm mmoja kama wakinunua labda wanamsampoti Mwiguru kilipe kodi. Sababu ni hii.

Uwezi kutaka Kila mtu kuwa unavyotaka Wakati ulipo watu walikuweka wanatamka watu wanavotaka.

Uwezi kupata nguvu ya kitabu chako Sababu ulipo hawana nguvu na matendo yao kama ulivyo andika.

Ungeanza kukemea ili la sativa tungeunga mkono maaana waliofanya wamekosa maadili nao ni polisi na viongozi wenu wa ccm
 
DSM, 3 Julai, 2024.
_________________

Mhe. Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu wa JMT🇹🇿 na Waziri wa Nishati, amezindua kitabu cha "Mmomonyoko wa Maadili, Nani alaumiwe" kilichoandikwa na Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Mhe. Dkt. Abubakar Zuberi.

Uzinduzi huo umefanyika Julai 03, 2024 jijini Dar ES Salaam, Kinondoni kwenye makao makuu ya BAKWATA.

Tafadhali tembelea Makao Makuu ya BAKWATA au wasiliana nao ujipatie nakala yako Ili, ikusaidie wewe na familia yako kupata mawaidha na maarifa ya kupambana kudhibiti mmomonyoko wa maadili janga ambalo hivi sasa linatishia maendeleo na ustawi wa jamii hasa watoto na vijana.


Picha ni matukio mbalimbali katika uzinduzi huo.

@maendeleoyajamii

Ifikie hatua hawa mbwa bakwata waondelewe!
 
DSM, 3 Julai, 2024.
_________________

Mhe. Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu wa JMT🇹🇿 na Waziri wa Nishati, amezindua kitabu cha "Mmomonyoko wa Maadili, Nani alaumiwe" kilichoandikwa na Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Mhe. Dkt. Abubakar Zuberi.

Uzinduzi huo umefanyika Julai 03, 2024 jijini Dar ES Salaam, Kinondoni kwenye makao makuu ya BAKWATA.

Tafadhali tembelea Makao Makuu ya BAKWATA au wasiliana nao ujipatie nakala yako Ili, ikusaidie wewe na familia yako kupata mawaidha na maarifa ya kupambana kudhibiti mmomonyoko wa maadili janga ambalo hivi sasa linatishia maendeleo na ustawi wa jamii hasa watoto na vijana.


Picha ni matukio mbalimbali katika uzinduzi huo.

@maendeleoyajamii

Waziri hili la binadamu kubaka umeliona au Bado
 
Hiki kitabu unaweza shangaa wasinunue hata ccm mmoja kama wakinunua labda wanamsampoti Mwiguru kilipe kodi. Sababu ni hii.

Uwezi kutaka Kila mtu kuwa unavyotaka Wakati ulipo watu walikuweka wanatamka watu wanavotaka.

Uwezi kupata nguvu ya kitabu chako Sababu ulipo hawana nguvu na matendo yao kama ulivyo andika.

Ungeanza kukemea ili la sativa tungeunga mkono maaana waliofanya wamekosa maadili nao ni polisi na viongozi wenu wa ccm
Sasa ccm wanaingiaje hapo ????
 
Back
Top Bottom