Kitabu Cha Mwanafunzi: Jifunze kusoma kwa hatua

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Tanzania

Wafungaji - Tanzania


South Afrika

Wafungaji - South Africa


Egypt


Wafungaji - Egypt


Champions League


Wafungaji - Champions League


 
Hii ligi ya Misri inakuaje timu ina viporo vyote hivyo na ndio tunasema ni kati ya ligi 5 bora Africa
 
Hii ligi ya Misri inakuaje timu ina viporo vyote hivyo na ndio tunasema ni kati ya ligi 5 bora Africa
Ubora wa ligi haupimwi kwa uchache wa viporo japo naelewa point yako viporo mara nyingi huwa vinapelekea upangaji wa matoke ila yoyote kwa yoyote wezetu wametuzid vitu vingi sana kama wanauwezo wakusajili na kuuza wachezaji kwenye ligi kubwa barani ulaya ao sio watu wakujilinganisha nao kabisa tunasafari kubwa sana yakuwafika
 
Hii ligi ya Misri inakuaje timu ina viporo vyote hivyo na ndio tunasema ni kati ya ligi 5 bora Africa
Ahly walikuwa wnashiriki klabu bingwa dunia.. so mechi nyingi za ligi ziliwakuta wakiwa huko.. hata game Yao na Cr belouizdad ilikuwa kiporo sababu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…