THE WHITE ELEPHANT
Member
- Jan 15, 2012
- 93
- 13
Vipo kwa wauzaji wa vitabu... E. Musiba (Willy Gamba) na Ben Mtobwa (Joram Kiango)
kabla ya umauti wao walishaanza kuvichapa upya vitabu vyao na kuviingiza tena kwenye soko.
Naamini ukiwafuata wauzaji wa vitabu utavipata bila shaka, vinginevyo nitaulizia halafu nitakujulisha
through email yako...
Hebu tuvute kumbukumbu ya ile issue kwa ufupi...
Suzzy baada ya kutafuta cheo kazini kwa muda mrefu bila mafanikio anadokezwa na shoga yake juu ya mganga makini Panga la Shaba(PLS) ambae ......................
Asante mkuu Bishop, nadhani pia kwa kuwa kitabu chenyewe kilikuwa kwa style ya comics inachangia kumbukumbu kutofutika kirahisi. Unakuwa na mental picture ya characters wote mpaka wale maafande wawili mmoja mfupiii na kofia yake inayofunika nusu ya uso.
Aisee asante kwa kutukumbusha. Binafsi nachokumbuka ni dada fulani kuolewa na Panga la Shaba baada ya kuwekewa dawa ya kumpumbaza, kisha baadaye PLS kukamatwa na polisi.... nilishapoteza kumbukumbu. Thanks.
Mkuu unastahili pongezi kwa namna ya pekee sana.
Umerudisha kumbukumbu za wengi hapa hasa nadhani pia 3D amekata kiu yake japo kwa 45%.
Kuna kitu umekizungumza hapo katika jibu lako kwa Bishop, "lugha ya picha"
huo ni ufanisi wa hali ya juu wa kifasihi ambacho fanani yeyote lazi awe nacho, kama ukichek wakina Musiba na Mtobwa (may their soul s RIP) walifanikiwa sana katika kuwaumba Joram Kiango na Willy Gamba,
kitu hichi kimekuwa adimu sana kwa waandishi wetu tena, japo natambua uwepo wa vipaji vingi vikubwa sana.
3D bado kuna nafasi ya kutuonyesha ambacho hatujawahi kukiona,
ntakuwa pale!
Huyo dada alikuwa anaitwa Christina na hata kitabu hicho cha michoro kilikuwa kinaitwa Christina.
Mtunzi ni marehemu Mashaka Y Mapunda na mchoraji wake ni John Kaduma.
Mchawi Panga la Shaba ndiye aliyeigwa na wakenya kwenye igizo la Tausi akiitwa Sangoma ambaye pia alimuoa mwanamke aliyekwenda kufuata tiba. huyo mama alikuwa mke wa mzee kasri
I'd be interested to read it too...Worry not. Ngoja Bishop atufanyie michongo.
Jamani kuna mwandishi wa Zanzibar Shafi Adam Shafi, ila kuna mwenzie alikuwa ana mpelelezi anaitwa Bwana Msa, kwakweli nimetafuta sana vitabu alivyotumika huyu local sleuth bwana Msa, kama kisima cha giningi..kosa la bwana Msa na vinginevyo...
Naombeni sana kwa mwenye kujua aniPM pia mimi nacollect vitabu vya zamani vya waandishi wetu mahiri, naombeni msaada,mkuki nanyota publishers wana stock ndogo na kwingineko sijapata
Tafadhalini mwenye kujua anisaidie nimetafuta sana, ila not Shigongo books please.
Hivi vitabu huyu mtu anavyo, alinionesha wakati akitafuta
moja ya hadithi ambayo alitaka nimuandikie script ya filamu
ili aangalie uwezekano wa kutengeneza movie...
Hebu tuvute kumbukumbu ya ile issue kwa ufupi...
Suzzy baada ya kutafuta cheo kazini kwa muda mrefu bila mafanikio anadokezwa na shoga yake juu ya mganga makini Panga la Shaba(PLS) ambae anaweza kumtatulia tatizo hilo. Suzzy akiwa na company ya rafiki yake wanafunga safari kwenda bush huku akimdanganya mumewe kuwa ana safari ya kikazi na kumwacha mwanae mdogo akiwa na babaye.
Huko kujijini PLS anapatata ugeni na kama kawaida yake anaandaa mkakati wa kumpata mtoto Suzzy. Safari ya pili ya Suzzy kumuona mganga anaamua kwenda bila shoga yake na hapo ndipo PLB anaamua kuweka "limbwata" kali katika msosi hivyo kumfanya Sussy kusahau kila kitu na kujikuta akianza maisha mapya. Suzzy mwanamke mrembo mwenye maisha mazuri anachakaa (anafulia) kiasi cha kupoteza mvuto na mwonekano wa awali na anajifungua mtoto ambae ni "photocopy ya Panga la Shaba". Ufudu mtoto wa PLS, mwenye ujuzi wa kukamata panya ambao ndio kitoweo kikubwa katika familia ya PLS anakuwa kivutio kwa utundu wake na pilika za hapa na pale ikiwamo kujifunza uchawi wa mzee wake.
Huko town baada ya miaka kadhaa ya kupotea kwa Suzzy mumewe anapata taarifa kutoka kwa rafikiye Suzzy juu ya uwezekano wa mganga tapeli Panga la Shaba kuwa ndo mwizi wao. Mumewe kwa kushirikiana na maafande "wenye hasira" pamoja na rafikiye Suzzy wanadondoka huko bush mafichoni kwa mzee PLS. Baada ya kuwasili "timbwili" kali linaibuka ambapo maafande wanatembeza kichapo kikali na kufanikiwa kumkamata mganga huyo fuska na tapeli na anafikishwa mahakamani.
Katika hitimisho ambalo ni la kusikitisha sana Suzzy akiwa kachakaa na kuchoka vibaya (choka mbaya) anamkana mumewe na kumg'ang'ania mchawi Panga la shaba kuwa ndiye mumewe halali hivyo wanaachiwa huru na kurudi mafichoni huku mumewe akilia machozi. Katika safari yao ya kurudi bush Ufudu anaonyesha mbwembwe kwa kukimbiza panya vichakani huku fedhuli PLS akitabasamu tukio linaloashiria kwamba hakimu/jaji hakufanikiwa kufurukuta juu ya ndumba za mchawi huyo.
Aisee mkuu 3D, ukitengeneza movie yake utakuwa umefanya jambo la maana.
umenikumbusha mbali sanaaaa! niliacha mdogo wangu akaungua na pasi. niliambiwa nimuangalie mtoto, mie nipo bussy nasoma panga la shaba! mtoto akaungua na pasi, nilichapwa na mama na baba kwa kunichangia, sitasahau katika maisha yangu, kipondo kile!Hebu tuvute kumbukumbu ya ile issue kwa ufupi...
Suzzy baada ya kutafuta cheo kazini kwa muda mrefu bila mafanikio anadokezwa na shoga yake juu ya mganga makini Panga la Shaba(PLS) ambae anaweza kumtatulia tatizo hilo. Suzzy akiwa na company ya rafiki yake wanafunga safari kwenda bush huku akimdanganya mumewe kuwa ana safari ya kikazi na kumwacha mwanae mdogo akiwa na babaye.
Huko kujijini PLS anapatata ugeni na kama kawaida yake anaandaa mkakati wa kumpata mtoto Suzzy. Safari ya pili ya Suzzy kumuona mganga anaamua kwenda bila shoga yake na hapo ndipo PLB anaamua kuweka "limbwata" kali katika msosi hivyo kumfanya Sussy kusahau kila kitu na kujikuta akianza maisha mapya. Suzzy mwanamke mrembo mwenye maisha mazuri anachakaa (anafulia) kiasi cha kupoteza mvuto na mwonekano wa awali na anajifungua mtoto ambae ni "photocopy ya Panga la Shaba". Ufudu mtoto wa PLS, mwenye ujuzi wa kukamata panya ambao ndio kitoweo kikubwa katika familia ya PLS anakuwa kivutio kwa utundu wake na pilika za hapa na pale ikiwamo kujifunza uchawi wa mzee wake.
Huko town baada ya miaka kadhaa ya kupotea kwa Suzzy mumewe anapata taarifa kutoka kwa rafikiye Suzzy juu ya uwezekano wa mganga tapeli Panga la Shaba kuwa ndo mwizi wao. Mumewe kwa kushirikiana na maafande "wenye hasira" pamoja na rafikiye Suzzy wanadondoka huko bush mafichoni kwa mzee PLS. Baada ya kuwasili "timbwili" kali linaibuka ambapo maafande wanatembeza kichapo kikali na kufanikiwa kumkamata mganga huyo fuska na tapeli na anafikishwa mahakamani.
Katika hitimisho ambalo ni la kusikitisha sana Suzzy akiwa kachakaa na kuchoka vibaya (choka mbaya) anamkana mumewe na kumg'ang'ania mchawi Panga la shaba kuwa ndiye mumewe halali hivyo wanaachiwa huru na kurudi mafichoni huku mumewe akilia machozi. Katika safari yao ya kurudi bush Ufudu anaonyesha mbwembwe kwa kukimbiza panya vichakani huku fedhuli PLS akitabasamu tukio linaloashiria kwamba hakimu/jaji hakufanikiwa kufurukuta juu ya ndumba za mchawi huyo.
Aisee mkuu 3D, ukitengeneza movie yake utakuwa umefanya jambo la maana.
Hebu tuvute kumbukumbu ya ile issue kwa ufupi...
Suzzy baada ya kutafuta cheo kazini kwa muda mrefu bila mafanikio anadokezwa na shoga yake juu ya mganga makini Panga la Shaba(PLS) ambae anaweza kumtatulia tatizo hilo. Suzzy akiwa na company ya rafiki yake wanafunga safari kwenda bush huku akimdanganya mumewe kuwa ana safari ya kikazi na kumwacha mwanae mdogo akiwa na babaye.
Huko kujijini PLS anapatata ugeni na kama kawaida yake anaandaa mkakati wa kumpata mtoto Suzzy. Safari ya pili ya Suzzy kumuona mganga anaamua kwenda bila shoga yake na hapo ndipo PLB anaamua kuweka "limbwata" kali katika msosi hivyo kumfanya Sussy kusahau kila kitu na kujikuta akianza maisha mapya. Suzzy mwanamke mrembo mwenye maisha mazuri anachakaa (anafulia) kiasi cha kupoteza mvuto na mwonekano wa awali na anajifungua mtoto ambae ni "photocopy ya Panga la Shaba". Ufudu mtoto wa PLS, mwenye ujuzi wa kukamata panya ambao ndio kitoweo kikubwa katika familia ya PLS anakuwa kivutio kwa utundu wake na pilika za hapa na pale ikiwamo kujifunza uchawi wa mzee wake.
Huko town baada ya miaka kadhaa ya kupotea kwa Suzzy mumewe anapata taarifa kutoka kwa rafikiye Suzzy juu ya uwezekano wa mganga tapeli Panga la Shaba kuwa ndo mwizi wao. Mumewe kwa kushirikiana na maafande "wenye hasira" pamoja na rafikiye Suzzy wanadondoka huko bush mafichoni kwa mzee PLS. Baada ya kuwasili "timbwili" kali linaibuka ambapo maafande wanatembeza kichapo kikali na kufanikiwa kumkamata mganga huyo fuska na tapeli na anafikishwa mahakamani.
Katika hitimisho ambalo ni la kusikitisha sana Suzzy akiwa kachakaa na kuchoka vibaya (choka mbaya) anamkana mumewe na kumg'ang'ania mchawi Panga la shaba kuwa ndiye mumewe halali hivyo wanaachiwa huru na kurudi mafichoni huku mumewe akilia machozi. Katika safari yao ya kurudi bush Ufudu anaonyesha mbwembwe kwa kukimbiza panya vichakani huku fedhuli PLS akitabasamu tukio linaloashiria kwamba hakimu/jaji hakufanikiwa kufurukuta juu ya ndumba za mchawi huyo.
Aisee mkuu 3D, ukitengeneza movie yake utakuwa umefanya jambo la maana.
Mgalanjuka ametupa kumbukumbu nzuri. Kuna wakati Tanzania ilikuwa na waandishi waliobobea kama uliowataja. Nimesoma baadhi ya vitabu vya E. Musiba kama Njama na Kikosi cha Kisasi; Ben Mtobwa: Roho ya Paka, Tutarudi na Roho Zetu? Waandishi wengine ni John Msimbe Simon Simbamwene (JOMSSI) aliyeandika Operesheni Sukuma Namba Nane, Kivumbi Uwanjani; pia Mwandishi Faraj Hussein Hassan Katalambullah: Simu ya Kifo, Majarida ya Film Tanzania eg Kesi ya Wakenda etc.
Kwa vipimo vyangu hapajatokea tena mchoraji mahiri kama John Mathias Kaduma aka John Black aka Fogasta aka Baba Jack aka Mohammed Hussein (Mmachinga) akijinadi kutumia mfumo wa Samba Msele (4-4-2 style). Sorry kwa porojo guys!! I just loved this guy. RIP John Kaduma.
Currently najaribu kujifua ili nifikie uwezo naoutaka katika kutengenza film. Huenda ikanichukua muda mrefu kidogo, maybe mwaka na nusu hivi kutokana na majukumu ya hapa na pale, lakini ninajifunza very seriously. Ningependa kama Panga la Shaba anaruka kwa ungo basi iwe hivyo, kama atapanda fisi basi iwe hivyo pia. Tough though!!!
You better be there jouneGwalu.