Hivi nyie watu mnaishije kama Homo-Erectus?
Hicho kitabu mnachotaka kutoa kopi ni mali ya mtunzi na huo mnaotaka kufanya ni wizi. Cha msingi ni kuwasiliana na mtunzi (mwenye haki miliki) ili awaambie namna ya kukipata au awape idhini ya kukinakili.
Na wewe unayetaka kutengeneza movie, hilo linaweza kukupa hasara, wasiliana na mwenye story yake kwanza
Nadhani mwandishi alikuwa ni John Msimbe Simon Simbamwene. Kama nakumbuka vizuri.Halafu kuna kitabu kilikuwa kinaitwa tuanze lini? sikumbuki mwandishi je kunayeyote anakijua?
Nadhani mwandishi alikuwa ni John Msimbe Simon Simbamwene. Kama nakumbuka vizuri.
Hivi hawa waandishi wanaendaga wapi? Kulikuwa na Hammie Rajab mwandishi wa SANDA YA JAMBAZI nadhani aliandika pia JOTO LA FEDHA.
Rukia mtoto kindakindakiJina Christina nalikumbuka. Hivi hakukuwa na toleo zaidi ya moja ya vitabu vya Panga la Shaba? Nahisi kama niliona viwili tofauti. Umenikumbusha igizo la Tausi. Nadhani lilivuma kama ilivyokuwa kwa Tamthilia ya La Mujer De Mi Vida ya Barbarita. Namkumbuka mke wa Kasri, nadhani alikuwa anaitwa Zuri. Nilikuwa nawapenda Kasri, Rehema, Dama, Sitti, Mponda (wa kwanza), Kibibi , Joto na Ondieki. Nimemsahau jina binti aliyekuwa anajiita "Mtoto kindakindaki", alikuwa matata sana!! Mganga Sangoma alikuwa anapaza sauti ya "Waungwana!!! Ndiyo nawasikia waungwana!"
Halafu kuna kitabu kilikuwa kinaitwa tuanze lini? sikumbuki mwandishi je kunayeyote anakijua?
Tuanze Lini kiliandikwa na Kajubi D Mukajanga. Ni story ya wivu wa mapenzi uliosababisha jambazi John Botefo na mdogo wake Charlie kupanga mauaji ya kutisha
huyo dada aliitwa suzy au christina???
Haha hongera mkuuAsante mkuu Bishop, nadhani pia kwa kuwa kitabu chenyewe kilikuwa kwa style ya comics inachangia kumbukumbu kutofutika kirahisi. Unakuwa na mental picture ya characters wote mpaka wale maafande wawili mmoja mfupiii na kofia yake inayofunika nusu ya uso.
Mrejesho umeshatengeneza hiyo cinema.?Actually, kusudio langu la kukitaka kitabu hicho ni kuona ikiwa kina uzito ule ule nilioupata nilipokisoma utotoni (nadhani nilisomewa maana kwa wakati huo very likely nilikuwa sijui kusoma... sina kumbukumbu nzuri). Kama stori yake itakuwa ina uzito huo nakusudia kutengenezea sinema hasa kama imagination na level nayoikusudia inaweza kutekelezeka (kutengenezeka) hapa Tanzania.
Kuna baadhi ya hadithi na simulizi za Tanzania ambazo ni excellent kwa kutengeneza sinema kuliko kuwa na themes zile zile ambazo kwa sasa zinalalamikiwa sana. Asante Bishop.
pita pita ubngo terminal wale wauzaji wa vitabu wanavyo mie nilipata pale ninanvyo ingawa printing yake sio nzuri sanaMIMI NAVITAFUTA SANA VITABU VYA WILLY GAMBA VYOTE ANZIA NJAMA,KIKOSI CHA KISASI,HOFU....VILITUNGWA MUSIBBA,NITAVIPATA WAPI KWA GHARAMA YEYOTE ILE WADAU,NI E MAIL hapa ruttajunior@yahoo.com
Aende Posta Mpya pale Azikiwepita pita ubngo terminal wale wauzaji wa vitabu wanavyo mie nilipata pale ninanvyo ingawa printing yake sio nzuri sana