BUSARA ZA MZEE,Kimeandikwa na Fr.Titus Amigu aliyekuwa Gombera wa Seminari Kuu ya Peramiho.Kitabu bomba sana hicho kimegusia kila nyanja ya Maisha,Hakuna jambo ktk maisha haya ambalo hajalizungumzia.
My list.
1.the bible.
2. Art of war by San zsu.
3.1984 by george Orwell.
4. The prince by nicollo Machiavelli.
4. War and peace by Leo Tolstoy.
5. The illiad by homer.
6. David Copperfield by Charles Dickens.
7. The negro by w.b.de bois.
8. Beyond good and evil by Nietzsche.
9. The world is flat.
10. The republic by Plato.
11. The origin of species
1Biblia takatifu
2.unyoya wa kipanga azizi 3.Bibi Myombekele na Bugonoka, juzuu ya pili by anicet kiteleza.
4.This is Living and other stories na
5. Umma wa komuna ya watu wa Peking,jinsi walivyofanikiwa chini ya Mao Tse Tung
Miradi Bubu ya Wazalendo cha Prof Gabriel Ruhumbika,wallah hiki kitabu ni kizuri sana sana sana.Sitakisahau.
Malimba ya MAJALIWA cha Mzee Ngoswe EEdwin Semzaba.
Think and Grow Rich kimenijengea hali ya kupenda kuthubutu katika kuendea maendeleo au kahangaika kusaka mkate
BUSARA ZA MZEE,Kimeandikwa na Fr.Titus Amigu aliyekuwa Gombera wa Seminari Kuu ya Peramiho.Kitabu bomba sana hicho kimegusia kila nyanja ya Maisha,Hakuna jambo ktk maisha haya ambalo hajalizungumzia.