Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mnaweza pita pia maktaba app, kuna vitabu vingi sana vya kiswahili vya bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
title: ATOMIC HABITSVitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.
Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.
Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.
Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.
=========
Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Ni kitabu nachokipenda sana,huwa napenda kukisoma,so kitafuteni.THE POWER OF SUBCONSCIOUS MIND cha Dr Joseph Murphy
TRY THIS !mkuu mimi nipo katika blog yako na tuna burudika na baadhi ya vitabu vyako. naweza pata hichi kitabu cha FEAR IN BONGOLAND(burundi refugees in urban tanzania ) by MARC SOMMERS. nakihitaji sana sana
Ni miongoni mwa vitabu bora sana kuwahi kuandikwaThe power of your subconscious mind. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Unaweza ukatafuta English course ya miezi mitatu tu....kama upo Dar tutafutaneNatamani sana kusoma vitabu ila sijui kiingereza nifanyaje
Boss vyote vipo vilivyotafsiriwaNatamani sana kusoma vitabu ila sijui kiingereza nifanyaje
Niliwahi kukusoma pia ni kizur sana kwa kweliNi kitabu nachokipenda sana,huwa napenda kukisoma,so kitafuteni.THE POWER OF SUBCONSCIOUS MIND cha Dr Joseph Murphy
Ingia google andika jina la kitabu kisha mbele yake andika pdf kisha search then download. Kwa staili hii nimeshadownload vitabu zaidi ya 20 ndani ya siku hizi mbili tu.Habarin, hamna mwenye site za kudownload kwa mfumo hata wa pdf?
Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
Og chifIngia google andika jina la kitabu kisha mbele yake andika pdf kisha search then download. Kwa staili hii nimeshadownload vitabu zaidi ya 20 ndani ya siku hizi mbili tu.
SIMU YA KIFOVitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.
Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.
Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.
Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.
=========
Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako