Digital Ticha
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 110
- 169
Google utapata soft copy yake.Naomba msaada wa kitabu cha The art of war by sun tzu full book
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google utapata soft copy yake.Naomba msaada wa kitabu cha The art of war by sun tzu full book
Duuh mkuu Katzung vipi hukuielewa ama nini. Ila Lippincott series of books ni reader friendly.lippincott illustrated reviews pharmacology
Nauomba kitabu cha miradi bubuMiradi Bubu ya Wazalendo cha Prof Gabriel Ruhumbika,wallah hiki kitabu ni kizuri sana sana sana.Sitakisahau.
Malimba ya MAJALIWA cha Mzee Ngoswe EEdwin Semzaba.
Think and Grow Rich kimenijengea hali ya kupenda kuthubutu katika kuendea maendeleo au kahangaika kusaka mkate
Vyote nimevigusa hivyo na kina Rang and DaleDuuh mkuu Katzung vipi hukuielewa ama nini. Ila Lippincott series of books ni reader friendly.
Duuh kitabu mwanzo mwisho ni maelezo tu nilikiona jau nikawa nagusa flash cards.Vyote nimevigusa hivyo na kina Rang and Dale
Naomba unitumie soft copy pls,Hili kitabu Ni kizuri sana,kimeyabadilisha Sana maisha yangu.
Ulikipata hiki mkuuNaomba msaada wa kitabu cha The art of war by sun tzu full book
Nnavyo vya kiswahili unataka kipi..!?ila hivyo vitabu ni special kwa wanaojua kingereza pekee au mana vingi vipo kwa lugha io
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Please naomba nitumie soft copy kwenye isayanehemia10@gmail.comThe science of getting Rich
Ukikipata ni tag mkuu(NAHJUL BALAGHA)The path of eloquence
THE BOOK THAT HAS NO DOUBT IN ITThe holly Quran
Rich Dad poor dadVitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.
Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.
Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.
Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.
=========
Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Unacho Cha kiSwahili m nnacho Cha kiingereza Ila natamani ningepata Cha kiswahiliKimenipa maujanja flani ambayo naimani kubwa mtu akiyazingatia lazima atakuwa vyedi Sana kinaitwa mtu tajiri zaidi Babylon (The Richest Man in Babylon)
Naweza kukipata miradi bubu ya wazalendoMiradi Bubu ya Wazalendo cha Prof Gabriel Ruhumbika,wallah hiki kitabu ni kizuri sana sana sana.Sitakisahau.
Malimba ya MAJALIWA cha Mzee Ngoswe EEdwin Semzaba.
Think and Grow Rich kimenijengea hali ya kupenda kuthubutu katika kuendea maendeleo au kahangaika kusaka mkate