Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Nauomba kitabu cha miradi bubu
 
Rich Dad poor dad
 
Kimenipa maujanja flani ambayo naimani kubwa mtu akiyazingatia lazima atakuwa vyedi Sana kinaitwa mtu tajiri zaidi Babylon (The Richest Man in Babylon)
 
Kimenipa maujanja flani ambayo naimani kubwa mtu akiyazingatia lazima atakuwa vyedi Sana kinaitwa mtu tajiri zaidi Babylon (The Richest Man in Babylon)
Unacho Cha kiSwahili m nnacho Cha kiingereza Ila natamani ningepata Cha kiswahili
 
Naweza kukipata miradi bubu ya wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…