Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

 
Hiki kitabu nimekielew[emoji106]
 
Mwenye kitabu cha mzee mwinyi akiweke hapa tupate mawili matatu.
 
Mkuu naomba nisaidie soft copy yake/attach file. Mungu akubariki🙏
 
Mkikoment muweke na pdf ya kitabu kabisa ili twende sawa
 
HABARI WAKUU.
vitabu viko vingi, lakini katika maisha yangu ya kazi za kijamii, nimesoma vitabu vya tafiti za mitazamo ya watu wa dini hususan waislamu na wakristo, na nimefikia hitimisho kuwa moja ya vitabu hivyo vizuri ni hiki kilichoko katika mtandao wa Amazon ambacho toleo lake la kiswahili linapatikana Masomo bookshop Zanzibar. Bila kujali title yake kinafaa zaidi kusomwa na WASIOKUWA WAISLAMU. Tazama link hii chini: Amazon.com pia tazama attachment
 

Attachments

Mkuu naweza pata vitabu vyote alivyoandika donald trump?
u
 
Mashairi,posti za Facebook na jamifourm,BBC news,nukuu kibao ,mapicha picha google mfano ajali hunipa tahadhari barabarani .

Kwa kweli topic nyingi zimenibadilshia life yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…