Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadhalia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu. yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma,kimitazamo, kiimani, kimwili, mausihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia. unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

Biblia
 
View attachment 153768
THINK BIG ni miongoni mwa vitabu vilivyowahi kunivutia. Story yake inaonyesha jinsi ambavyo Hakuna Mtu ambaye hana uwezo. Kutoka Kuwa mtu wa mwisho darasani hadi kuwa daktari bingwa duniani mwenye kuheshimiwa. Prinsciples za kawaida tu ambazo zilitumiwa na mama asiyejua elimu. akifanya kazi kama HOUSEGIRL kwenye nyumba za matajiri aliwawezesha vijana wake wawili mmoja kuwa Engineer na mwingine kuwa Daktari bingwa duniani. Aisee! Huyu BEN CARSON kwa ku-duplicate issues anajitahidi kwa kweli mpaka najuta kununua hiki kitabu cha THINK BIG Kwa sababu alichokiandika kwenye kitabu chake cha GIFTED HANDS (mikono itendayo maajabu) hakina tofauti na kilichoandikwa humu kwenye think big ishu ni zilezile labda hizo copy nyingine za BIG PICTURE na TAKE THE RISK

Kizur sana hichi kitabu,doctor ben carson n noma
 
How to stop worrying and start living & Love without fear
 
Vyoote tupa kule Biblia Takatifu na QuruaniTukufu ndio Alfa na Omega kwenye maisha ya mwanadamu kama hutaki utakuwa pepo sio mtu.
Tatizo lako mkuu unafikiri kuwa dini duniani ni ukristo na uislamu tu...
 
"The way of a superior man" na "sexual reflexiology"

Best book for a man, mtazamo wangu juu ya maisha ya kila siku umebadirika, kamwe siwezi lalamika eti maisha magumu, au yupi ananifaa maishani, kwa nini wanawake wako hivi, kwa nini watu duniani wako hivi walivyo, n.k.

Yote ya yote, kusoma vitabu ni raha hamna mfano, maana wakati mwingine, nnatumia kitabu kufichia hela ndogo ndogo hapa nyumbani.
 
Vizuri sana mkuu.
Karibu sasa hivi tupo kwenye changamoto ya kusoma vitabu 500 ndani ya miaka mitano.
Safi sana, hii ni rahisi tu,
Uikweza kusoma vitabu viwili tu kwa wiki unakuwa umekaribia kabisa kufikisha vitabu 500 kwa miaka mitano, I am also trying it!
 
mbona mimi nimejiunga lakini nikiingia nashindwa kwanini inakuwa hv makilita
 
Nice thread. Think big helped me to study hard in my secondary school.
 
mi sijabadilishwa maisha na kitabu bali vitabu nilivyosoma vya kitaaluma shuleni. kwa kitabu kilichonigusa sana na riwaya fulani inaitwa native son. dah!
 
Back
Top Bottom