Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

The Da Vinc Code by Dan Brown; Gone With The Wind by Margareth Mitchell; Kwa heri ukoloni kwa heri uhuru by Harith Ghassan.
 
11219660_577214839085310_4327090677069386777_n.jpg
 
Paradise farm by Samuel Kahiga.
Hiki kitabu kilinipa hamu na ndoto za kumiliki mashamba na kuishi mashambani.

Kama una mtoto wa kike (au wakiume really) pls soma Anne Frank The Diary Of A Young Girl by Anne Frank.
Ni true story. Ni Diary aliyokuwa akiandika msichana Myahudi Anne Frank (14yrs old) wakati wamejificha na familia yake na nyingine, wakati wa Holocaust.
 
48 laws of power

mkuu the boss, nimekuelewa sana. hii kitu ni hatari. coutiers wamexpand my brain in all angles. japokuwa sijasoma laws zote. kitabu hiki kinafaa sana kwetu sisi tunaoishi ktk ulimwengu wa fitna na husda
 
The Trouble with Nigeria, Das Kapital Vol. III, Communist Manifesto, The Man Died, The Fate of a Cockroach, The Great Expectations
 
Biblia Takatifu ndiyo mwisho wa mambo yote,kila kilichopo duniani kimeandikwa humo.
 
Think like a man ,Act like a lady
 

Attachments

  • 1437364752380.jpg
    1437364752380.jpg
    12.7 KB · Views: 424
Back
Top Bottom