Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

Ellon

Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
80
Reaction score
124
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili

1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
 
Fund kwanza uchome ndio madude yatapanda.

Nachomaanisha hapa ni kwamba, ili uwe mkulima hodari inabidi angalau upate kashikashi kidogo ndipo utakomaa kikulima.

Unless otherwise nakushauri kajisomee strategy hizi 3:


1. Supply and Demand
2. BTMM
3. ICT


Baada ya kupitia hizo strategy 3 ndio utapata picha halisi la fx likoje.
 
Fund kwanza uchome ndio madude yatapanda.

Nachomaanisha hapa ni kwamba, ili uwe mkulima hodari inabidi angalau upate kashikashi kidogo ndipo utakomaa kikulima.

Unless otherwise nakushauri kajisomee strategy hizi 3:


1. Supply and Demand
2. BTMM
3. ICT


Baada ya kupitia hizo strategy 3 ndio utapata picha halisi la fx likoje.
Daah that what i want unaweza nitajia pakupata hizi strategies sijui vitabu nk
 
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili
1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
Forex nzima imefafanuliwa Ndani ya kitabu kimoja tu, kinaitwa The Forex Bible

Ukikisoma hicho kitabu hakuna Haja ya kusoma kitabu kingine chochote ili kupata basics

Baada ya kusoma hicho kitabu, tambua ni strategy ipi ambayo ungependa kutumia kisha tafuta vitabu vinavyoelezea hio strategy

Kwa upande wangu Mfano, mimi ni Pure Price Action Trader, Kuna vitabu vizuri viwili vilivyoelezea hii Price Action

Kama wewe ni mvivu na haupendi kusoma, tafuta kitabu kinaitwa The Ultimate Guide to Price Action

Ila,

Kama unataka kuwa master mzuri wa Price Action, basi ni vema ukatafuta kitabu hiki...

...Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy

Hope you find it helpful,

Cheers!!
 
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili
1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
Kama ulisoma kuelewa hivyo vitabu na sio ili mradi umalize, unachotakiwa ni kutengeneza (entry and exit rules/ a strategy) ambazo zinakufaa wewe.
 
Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy has been attached for interested forex traders
 

Attachments

Forex nzima imefafanuliwa Ndani ya kitabu kimoja tu, kinaitwa The Forex Bible

Ukikisoma hicho kitabu hakuna Haja ya kusoma kitabu kingine chochote ili kupata basics

Baada ya kusoma hicho kitabu, tambua ni strategy ipi ambayo ungependa kutumia kisha tafuta vitabu vinavyoelezea hio strategy

Kwa upande wangu Mfano, mimi ni Pure Price Action Trader, Kuna vitabu vizuri viwili vilivyoelezea hii Price Action

Kama wewe ni mvivu na haupendi kusoma, tafuta kitabu kinaitwa The Ultimate Guide to Price Action

Ila,

Kama unataka kuwa master mzuri wa Price Action, basi ni vema ukatafuta kitabu hiki...

...Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy

Hope you find it helpful,

Cheers!!
Muongozo mzuri sana.
 
Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy has been attached for interested forex traders
Humu si masuala ya RS, Trendline na indicators.
 
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili
1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
Kuna Msela anaitwa Timon Weller ana kazi zake tatu
1. 5-day trend training
2. Candlestick Training Series
3. Engulfing Trader Series
Ukizipata kisha ukachanganya na hivi vitabu umesoma itakuwa umepiga hatua.

Best wishes Elion.
 
ikipita miaka 5 tafadhali naomba ulete mrejesho na unitag kwenye huu uzi
 
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili
1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy has been attached for interested forex traders
Forex nzima imefafanuliwa Ndani ya kitabu kimoja tu, kinaitwa The Forex Bible

Ukikisoma hicho kitabu hakuna Haja ya kusoma kitabu kingine chochote ili kupata basics

Baada ya kusoma hicho kitabu, tambua ni strategy ipi ambayo ungependa kutumia kisha tafuta vitabu vinavyoelezea hio strategy

Kwa upande wangu Mfano, mimi ni Pure Price Action Trader, Kuna vitabu vizuri viwili vilivyoelezea hii Price Action

Kama wewe ni mvivu na haupendi kusoma, tafuta kitabu kinaitwa The Ultimate Guide to Price Action

Ila,

Kama unataka kuwa master mzuri wa Price Action, basi ni vema ukatafuta kitabu hiki...

...Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy

Hope you find it helpful,

Cheers!!
Nahitaji hicho kitabu cha The Forex Bible, mwenye nacho anisaidie tafdhali!
 
Fund kwanza uchome ndio madude yatapanda.

Nachomaanisha hapa ni kwamba, ili uwe mkulima hodari inabidi angalau upate kashikashi kidogo ndipo utakomaa kikulima.

Unless otherwise nakushauri kajisomee strategy hizi 3:


1. Supply and Demand
2. BTMM
3. ICT


Baada ya kupitia hizo strategy 3 ndio utapata picha halisi la fx likoje.
SI KWELI.
 
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili

1)Forex Bible
2)Candlestick Bible

Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.

Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.

NB: Sihitaji wale wazee wa Forex sio Kusoma vitabu I know what am doing, I Know my plan.
You have long way to go brother.You are just introduced to fx.
 
Fund kwanza uchome ndio madude yatapanda.

Nachomaanisha hapa ni kwamba, ili uwe mkulima hodari inabidi angalau upate kashikashi kidogo ndipo utakomaa kikulima.

Unless otherwise nakushauri kajisomee strategy hizi 3:


1. Supply and Demand
2. BTMM
3. ICT


Baada ya kupitia hizo strategy 3 ndio utapata picha halisi la fx likoje.
Umetaja strategy njema sana,ICT ilinisaidia sana kwny market structure[emoji106] maana nliingia mazima btmm weee
 
Back
Top Bottom