Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ni hazina. Tunafeli sana. Vitabu hivi kwenye maktaba za nje ukisearch vimejaa tele. Maktaba zetu hata catalog ya mtandaoni hawana!Kitabu kikali sana pia kuna kitabu cha Machimbo ya mfalme suleiman na Mohammed mtepevu kuvipata ni noma.Kuna Ammi yangu anaitwa Abdallah Msaka Njia alikuwa Bakita alikuwa navo vote.
Una shilingi ngapi vijana tuingie kazini kukisaka?Niliwahi kuja na uzi humu wa kitafuta vitabu vya Alfu lela ulela matoleo ya zamani. Vilitoka vitabu vinne. Nilipata toleo la 2,3 na 4. Bado la 1 sijapata. Kama unalo naomba kupata scanned copy yake.
View attachment 2310275
Kinapatikana wapi mkuu?Mbona kupo kwa soft copy japo huwezi kukidownload? Mi natafuta hekaya za abunuwasi orijino version
20,000Una shilingi ngapi vijana tuingie kazini kukisaka?
Kuna app ilikuwa inaitwa maktaba kilikuwemo humo sijui kama bado ipo activeKinapatikana wapi mkuu?
Ni app yetu. Tumeweka hivyo 2,3 na 4. Hiki cha kwanza ndiyo shida. App kwa sasa ili leta shida. Mwezi huu wa nane tunategemea itakaa sawa.Kuna app ilikuwa inaitwa maktaba kilikuwemo humo sijui kama bado ipo active
OkayNi app yetu. Tumeweka hivyo 2,3 na 4. Hiki cha kwanza ndiyo shida. App kwa sasa ili leta shida. Mwezi huu wa nane tunategemea itakaa sawa.
Hiki ni sample tu. Na ni toleo jipya.hiki hapa