Kitabu kipi Kimekupendeza na zipi falsafa ulizopenda humo kati ya Mkapa na Mwinyi

Kitabu kipi Kimekupendeza na zipi falsafa ulizopenda humo kati ya Mkapa na Mwinyi

Kitabi kipi kimekuvutia kwa Falsafa zake

  • "Mzee Rukha" Safari ya Maisha yangu

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    5

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
cover_preview.jpeg
cover_preview (1).jpeg
 
Mstaafu Kikwete aandike pia kitabu maana ni Mzee pia,

Asijesahau kuwa,Kuna kupoteza kumbukumbu, aandike mapema.
 
Kitabu cha mkapa ni kizuri ingawa kaleta janja janja za kisiasa kutaka kujiona yeye ndio mr clean
 
Kitabu cha mkapa, anaelezea jinsi, ccm inavyoiba pesa, uchaguzi, ccm ni majizi, harafu utakuta MTU mmoja apeche alolo! Eti anasikitika na kuomboleza mwinyi kafa!
 
Kwanini Afanye hivyo?

Mbali na kitabu kuhusu maisha yake, ana vitabu vingine amewahi kuandika tupate madini?

Waafrika tunakwama sana Kutoandika vitabu.
Alitangaza kuwa kashaandila kitabu cha maisha yake kabla hata ya mwinyi..
Sasa sjui kwanini hakiachii labda pengine bado anahitaji uongozi labda akichukua AU ataandika
 
Back
Top Bottom