Nyie sio ndio waandishi vilaza mnao badilisha historia na kudanganya watanzania kwa kuandika vitu vya uongo kutunga kwa maslahi ya dini yenu ya kibaguzi na chama chenu cha wapumbavu............sasa ole wako tusome tukute dosari au uongo wowote kwenye historia........ndio utajua kuwa sio wote wanaosoma walizaliwa miaka ya tisini na elfu mbili.Take care........
Nyie sio ndio waandishi vilaza mnao badilisha historia na kudanganya watanzania kwa kuandika vitu vya uongo kutunga kwa maslahi ya dini yenu ya kibaguzi na chama chenu cha wapumbavu............sasa ole wako tusome tukute dosari au uongo wowote kwenye historia........ndio utajua kuwa sio wote wanaosoma walizaliwa miaka ya tisini na elfu mbili.Take care........
Kinapatikana wapi na bei kiasi gani?Waheshimwa, nafurahi kutangaza kitabu kipya kuhusu Mwalimu Nyerere na siasa za miaka ya kwanza baada ya uhuru. Kwa bahati mbaya hardcover inayopatikana sasa ni gharama sana, lakini nategemea softcover itakuja kwa bei nafuu.
View attachment 237275
Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960-1964-
(Rochester, 2015)
Building a Peaceful Nation (Paul Bjerk) 9781580465052 - Boydell & Brewer