Kitabu Kipya Kuhusu Siasa za 1960-64

Nyie sio ndio waandishi vilaza mnao badilisha historia na kudanganya watanzania kwa kuandika vitu vya uongo kutunga kwa maslahi ya dini yenu ya kibaguzi na chama chenu cha wapumbavu............sasa ole wako tusome tukute dosari au uongo wowote kwenye historia........ndio utajua kuwa sio wote wanaosoma walizaliwa miaka ya tisini na elfu mbili.Take care........
 

We mbona unatishia watu halaf unaongea kwa Jazba, kama na wewe unaijua histoa si uandike kama unadhani ni rahisi?, Sijajua ni kwa nini sisu weusi hupenda sana kukosoa vitu vilivyohangaikiwa na wengine ilihali wenyewe hata uthubutu wa kufanya jambo hata dogo tu hatuna.

Ondoa Jazba mwache aletekitabu tukio
ne halaf mwenye uwezo wa kusahihisha historia naye aandike yake,

"Argue don't shout"
 

kumbe hata kusoma hujasoma..mapovu yameshakutoka......Hata wachambuzi hucriticize baada ya kusoma,si kwa hisia tu..
 
Kinapatikana wapi na bei kiasi gani?
 
Mzee, kitabu kinapatikana kwa Boydell & Brewer. Ukiagiza na offer code MKPC01, ni USD 90.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…