paulbjerk
Member
- Mar 7, 2013
- 6
- 1
Waheshimwa, nafurahi kutangaza kitabu kipya kuhusu Mwalimu Nyerere na siasa za miaka ya kwanza baada ya uhuru. Kwa bahati mbaya hardcover inayopatikana sasa ni gharama sana, lakini nategemea softcover itakuja kwa bei nafuu.

Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960-1964-
(Rochester, 2015)
Building a Peaceful Nation (Paul Bjerk) 9781580465052 - Boydell & Brewer

Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960-1964-
(Rochester, 2015)
Building a Peaceful Nation (Paul Bjerk) 9781580465052 - Boydell & Brewer