Kitabu kipya: Tanzania na propaganda za udini na prof. Ibrahim Noor

Kitabu kipya: Tanzania na propaganda za udini na prof. Ibrahim Noor

Ukiona kilasiku unaungwa mkono na kundi la walewale ulowabraish ujuwe mjinga tu Wewe.

Mpumbavu mwezio ambaye kwake udini ni sera na kila kitu anasahihisha makosa ya speling kichwan umemjaza ujinga na upumbavu kila unapokanyaga nayeye huyo kafika kukusapoti na kuturekibisha uchapaji nakutetea lolote mjinga wewe unaandika.

Wewe kazi yako kupeperusha madai ya udini muda wote unadhani Taifa hili kila mmoja akifanya madai tutaishi? Jifunze kuvumilia, faham kwamba kila mmoja wetu anamadai mjinga wewe.

Wakristu wakifanya kama wewe zezeta watadai yafutayo
-shule zao zamsingi na sekondari
-hospitali zao
-Ardhi zao nk
Vyote hivyo Nyerere aliwapokonya kwafaida yako, mimi na wengine.

Wasambaa watadai milima ya usambaa

Wachaga watadai mlima kilimanjaro

Budha watasema hapa kuchinja ng'ombe maana ni Mungu wao

Wapagani watapinga uapishwaji kwa kutumia biblia na kuruwan

Kila mmoja anamadai kwa ushenzi wako unachochea ilituvurugane, tuuwane alafu utapata nin wewe mtumwa wa chuki na ubaguzi wakidin?

Unataka ushahidi wakitugan yaani imefikia huna Akili kufaham unafanya nini na historia zako?

Mim naamin kabisa utasumbuka mpaka utakufa utaiacha Tanzania nawatanzani wote kwa ujumla wao (waislam,wakristu, iman zingine nawasioamin) wakiwa salama.

Mungu atakuadhibu maana hawezi acha ukafanya uchochezi kiasi hiki damu za watu wasio nahatia zikamwagika.

Unaonesha umekasirika sana hususan baada ya kuelewa kuwa kumbe ulikuwa unajazwa ujinga miaka yote na si ukweli.

Punguza ghadhabu, usome ukweli ukuingie ingawa ni mchungu lakini ndiyo ukweli.

Matusi yako hayaubadilishi ukweli.

Aah, kwa hakika ukweli unauma na wewe unadhihirisha hilo.
 
"Waarabu walifika pwani ya Africa maelfu ya miaka". Walifika wakitokea wapi???
 
WATANZANIA WOTE WA JF!
Huwezi kuipaka rangi historia ya ubaya wa Waarabu na Wazungu!
Hawa WAVAMIZI wa Afrika Walifanya Mabaya sana Afrika!
Waliua,waliiba,walibaka,walilaghai watawala wetu wa kienyeji,walitushusha thamani sana! Halafu mtu anakuja kudai eti! waaarabu ni wenyeji sawa na waafrika (
HII NI SAWA NA MADAI YA PROF. CRONJE alipodai eti makaburu walifika AFRIKA YA KUSINI MUDA ULE ULE WA BANTU WA KIZULU NA KHOISANS walipowasili Eneo hilo)
Shida ninayoiona ni hiii! WAZUNGU wamekuwa radhi kukiri uovu walioutenda afrika na ulaya na kuchukua hatua ya kufanya muafaka. MWARABU hataki kukiri makosa yake anadai yeye hakushiriki biashara ya utumwa,hakufunga watu minyororo( ila haikutoboa nyuma ya ugoko).
Kukataa hakutaweza kuwasafisha Wale waliouonea uafrika na kumtesa Mwafrika! Ni bora wakiri na kutubu kuwa walifanya uonevu usio na sababu kama wenzao wazungu wanavyofanya.

HUWEZI KUWA MWISLAM AU MKRISTO MWAMINIFU USIWE BIAS HATA SIKU MOJA!
HISTORIA YA KWELI ITAANDIKWA BAADAE!
 
Karibu kila jamii hapa duniani imepitia mateso,au imeteswa na jamii nyingine iliyokuwa nanguvu,wamarekani,walikimbi uingereza,wakafika bara america,wakawafukuza wahindi wekundu,
Wa Israel,walichomwa moto,kizazi kizima kilitakiwa kufutwa kabisa kwenye USO wa dunia,
Wa Africa wamepelekwa utumwani,
Je yote tuliyotendewa yanatuzuia kuifikia hari iliyo bora?tutakaa na kulia lia mpaka lini?
Ndugu weusi wenzangu,karne zijazo,watakao kuwa wababe wa dunia,ni wale watakao kuwa na uwezo wa kitekinolojia zaidi,
Kwa MTU mmoja mmoja,inabidi kufanya juhudi kuwa na uwezo wa kiuchumi,there is no future in the past,
Mataifa kama Vietnam,america,Singapore,Qatar,hayakufika hapo yalipo kwa kulia lia,watu wamefanya kazi,
Hebu jiulize ndugu yangu,wewe hapo ulipo,kama umeajriwa au umejiajiri,katika shughuri zako ukiweza kuwapa ajira watu watatu tu,na Mimi hapa nilipo,nikiwawezesha watu watatu,
Maisha ya watu wengi yatakuwa poa sana,tufanye kazi ndugu,hatuna mbadala mwingine,It is either do or die,
We ain't gonner die,we either get rich or we gonner die tryin,
 
Unaonesha umekasirika sana hususan baada ya kuelewa kuwa kumbe ulikuwa unajazwa ujinga miaka yote na si ukweli.

Punguza ghadhabu, usome ukweli ukuingie ingawa ni mchungu lakini ndiyo ukweli.

Matusi yako hayaubadilishi ukweli.

Aah, kwa hakika ukweli unauma na wewe unadhihirisha hilo.


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Madafu,
Katika mambo ambayo mimi binafsi nimekutananayo na hakika yamenisikitisha
ni jinsi jamaa zetu walivyoathirika na propaganda.

Hicho kitabu wala si cha dini lakini kilichomkera ni hilo jina la mwandishi.
Kitabu hicho mathalan kingekuwa na jina la John Esposito asingejali.

Juu hayo ningependa ajue kuwa, "Islam," hivi sasa ni "Field of Enquiry,"
muhimu katika vyuo vingi sana hasa Marekani.

Aingie kwenye Google ataona mengi.

Kitabu changu kimepata umaarufu mkubwa sana katika vyuo vya Marekani
kwa kuwa nilikuja na, Islamic movement in nationalist politics ..." katika
Tanganyika ya 1950s.


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Jembepori,
Kitabu changu "catalogue," katika maktaba zote duniani kipo chini ya "Political History."

Hii ya "malalamiko" ndiyo kwanza naisikia kwako.
mzeee wa porojo



Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Watumwa wengi wanaume walihasiwa walivyofikishwa Uarabuni. Tofauti na hapo population ya weusi ingekua juu kama ilivyo kwa watumwa waliopelekwa mabara mengine. Mkumbusheni hili suala huyu profesa asisahau ktk toleo la pili la kitabu chake.
 
Mzee Mohammed anahoma ya udini

Hata akiandika kitabu lazima biases zitakuwa nyingi

Huyu mzee apuuzwe tu...maradhi ya udini ni hatar

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Waarabu ni Waarabu kwa kuwa wanaongea Kiarabu. Simpo, si rangi, si taifa, si kabila, ni kama kusema "gypsies".

Maana ya Arabiya ni "Caravan" au msafara, hawa walikuwa ni watu wa misafara toka enzi na enzi na lugha yao ndiyo hicho Kiarabu, ndiyo maana kikazagaa sana Mashariki ya kati na barani Afrika, Magharibi ya Asia walienda tu kwa kuwa kulikuwa hakuna kizuizi cha kuwafikisha huko. Kumbuka kuwa mpaka wa asili wa makotinenti ni bahari, na baina ya Afrika na Asia magharibi kulikuwa hakuna mpaka wa bahari mpaka juzi juzi tu ulipochimbwa mfereji wa Suez.

Waarabu, Afrika na Asia Mashariki hawakuja kama wazungu, Waarabu kwingine ndiyo walikwenda, Afrika na Asia ni "wondering ground" ya misafara "Arabiya" (from time immemorial).
pumba!
 
Adolay,
Siku zote nimekuomba ushahidi wa tuhuma zako lakini hujaweza kuleta huo
ushahidi.

Unajitisha wewe mwenyewe na unawatisha watu wengine pasi na sababu.
Kwa faida ya wageni wetu hapa Majlis naweka kazi (baadhi) nilizoandika:


1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG];1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children's book).

3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 17[SUP]th[/SUP] 2003).

13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 4[SUP]th[/SUP] March 2004).

14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004).

15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006).

16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century 1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.

17. Muslim Bible Scholars of Tanzania &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.

18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Visiting Scholar (2011):
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin, Germany

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Tim Choice,
Kisome kwanza kitabu cha Prof. Noor ikiwa utakiona kuwa hakifai
kusomwa Tanzania basi ndipo utoe ushauri wa kupigwa marufuku.

Hata hivyo dunia ya leo ni taabu sana kupiga marufuku kitabu.
Mtandao umebadilisha mengi.

"Mwembechai Killings..." cha Prof. Hamza Njozi kimepigwa marufuku lakini
hapa nilipo nikiingia Google kitabu tayari ninacho.

Hili la kwanza.
La pili serikali utaitwishwa mzigo wasioweza kuihimili.

Zipo shutuma nyingi dhidi yake kutoka kwa Waislam.

Sasa ikija tena kupiga marufuku kitabu hiki kwa kuwa tu kinarekebisha uongo
katika historia serikali itajiweka pabaya katika macho ya Waislam.

Itabidi pia ipige marufuku kitabu cha Abdul Sykes.
Acha kitabu kisomwe na watu wajadili kwa manufaa ya jamii yetu.

Hiyo "serikali tukufu," ni yetu sote.

Kubwa zaidi wazee wetu walijitolea sana katika kupigania uhuru wa nchi hii
ili sote tuwe huru.

Hawakupigania uhuru wa Tanganyika ili tuje kukaliane vichwani.



Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Adolay,
Umeghadhibika na ndiyo maana baada ya kuleta ushahidi niliokuomba umerejea
na tenga la matusi.

Wazee wangu na historia ya Tanganyika...

Unaweza ukaikataa kuwa hiyo siyo historia ya TANU wala si historia ya kupigania
uhuru wa Tanganyika.

Chuo cha TANU Kivukoni waliikataa historia ya akina Abdul Sykes na Sheikh
Hassan bin Amir, Idd Faiz Mafongo na wengineo kuwataja wachache.

Haikuwa kitu.

Kitabu walichoandika bila ya kuwataja wazalendo hawa kipo na kitaendelea
kuwapo na kitasomwa hadi mwisho wa dunia In Sha Allah.

Mimi sikughadhibika kwa nini babu yangu Salum Abdallah hayumo kwenye
historia juu ya mchango na fedha alizotoa kusaidia TANU.

Wengi kama yeye hawakutajwa.
Haijawa neno la watu kutukanana.

Kuwa nina chuki, roho mbaya na wivu huo ni mtazamo wako.

Oxford University Press na wachapaji wengine wananiona ni mwandishi makini na
wananichapa na kuuza vitabu vyangu.

Vyuo Vikuu vingi wananiona ni msomi makini wananialika kwao kuzungumza.

Radio maarufu duniani VOA, BBC na nyiinginezo wanafanya mahojiano na mimi kwa
mada wapendazo...

Sitakujibu kuhusu MoU kwa kuwa haina maana.
Muhimu ni kuwa jitulize punguza hasira.

Hasira ni kitu kibaya kinaharibu chombo kilichokuwa ndani yake.

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Adolay,
Unazidi kupandwa na hamaki na unazidisha matusi.

Narejea pale tulipoanzia mimi na wewe kuwa lete ushahidi wa tuhuma zako
hapa Majlis watu wazione.

Historia hizi si zangu.

Historia hizi ni historia za Afrika na ndiyo maana nikachapwa na Oxford University
Press, New York Dictionary of African Biography.

Historia hizi ni za Afrika ndiyo maana Northwestern University, Chicago
mabingwa wa historia ya Afrika dunia nzima wakanialika chuoni kwao nifanye
mnakasha na wao.

Mungu anaadhibu watu kwa dhambi haadhibu watu kwa kusoma na kusomesha
ilm yenye manufaa.

Damu haiwezi kumwagika kwa kusasahihisha historia iliyokosewa.
Huu mwaka wa 17 toka kitabu cha Abdul Sykes kilipochapwa Uingereza.

Haijawa lolote ila tumekwenda matoleo mawili kitabu cha Kiingereza na toleo
la tatu kitabu cha Kiswahili na kitabu kimejaa madukani tele kinasomwa.

Toleo la nne Kiswahili lipo njiani.
Narudia tena usijitishe bure wala huna sababu ya kuwatisha watu wengine.

Sasa nakuchukua kwa Maalim Faiza.
Mimi nimeliona hilo kosa lakini kwa kukuhurumia nimeliacha.

FaizaFoxy anakusahihisha saa saba mchana ili ujiangalie na upime uwezo wako
kama kweli wewe una makamu ya kupambana na watu katika mnakasha kama
huu.

Unajikwaa kwa kuwa kifua chako kinatokota kwa chuki na chuki huondoa umakini.



Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
kbosho;

Sasa hapo wapi anahalalisha chochote kile?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Wewe tueleze Waarabu walikuja lini pwani ya Afrka Mashariki badala ya kuleta porojo. Ukimaliza, utueleze kuhusu wa Iraqw.
shule za wagalatia waliofanya hisani kwa watu km mudi?
labda mudi uje umjib kikongwe mwezako!
 
ajabu yake utashangaa anayeandika kitabu na yeye ndio mdini. ukishaona mtu anatoka hapo msikiri wa mtoro, sijui magomeni, na ndiko address zake na maeneo ya kwenda kupata vitabu, hata uprofesa wake ni wa kutia mashaka kabisa. labda akafundishe kile chuo cha morogoro, manake wale wakimuona tu wataamini kila anachosema.
 
Back
Top Bottom