miaka mitano hakuna ajira vijana tunateseka mtaani,kura ni kwa lisuuuMagufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka
Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…Nataman kujua taarifa unayotamani kunipa ni ipi hata sijui.
Cha ajabu kuanzia babu yako baba yako wote hawajawahi kuchangia chochote katika hayo mabadiliko wewe ndo unajaribu alafu unajaribu kuwapa lawama watafuta mkate kama unayemtumikia.Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka
Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Abadani haiwezekani nilazima nitafute uhuru haki na maendeleo yawatuKumchagua ni sawa na kumkabidhi shetani maisha yako.Au sawa na kumkopesha tena unaemdai
Labda watanzania wa chato ambao wamehengewa uwanja ili zitue ndege zao za kishirikina air lupalu. Watumishi, wanachinga,wakulima wa korosho,kahawa,wananchi walio bomolewa nyumba zao ni ovyo kabisaMagufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka
Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kwahiyo umejisahaulisha kuwa HAPA KAZI TUU, naongezea MAJUNGU BAADAE.Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama
Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.
CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.
Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,
Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.
Mwinyi alikuja na Ruksa
Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango
Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania
Pia kilimo kwanza
Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .
Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Tatizo ana u Mobutu seseko. Jamaa ni mshamba na mbabe.Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama
Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.
CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.
Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,
Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.
Mwinyi alikuja na Ruksa
Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango
Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania
Pia kilimo kwanza
Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .
Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Naona Robert anakuchanganya sana, bila kumtaja hupati usingiziMagufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka
Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Ni kweli mkuu tangible kama mauwaji ya kibiti, Ben saanane na Azory GwandaMsimfariji tu mzee wa watu bure ! Mwambieni tu ukweli hawezi kupata hata asilimia kumi za kura za watanzania. Baaada ya 28 oct mtamuona anarudi kwao ubelgiji ! Unasema JPM hana slogan nikuambie tu labda hujui! Slogan ya JPM ni hii " Tumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja!" .. Yaani kuna kuna mgombea ana ahadi hewa! Na mwingine ana vitu tangible/Reality .. Tumechagua kwenda na reality ,tarehe 28 Oct!.
28october ndo atajua jpm nani 30october kesi alizofunguliwa lisu zitaanza zitachukua miaka 5 baada ya hapo atanyooka tu huu ndo wakati wake mwacheni aropokeMsimfariji tu mzee wa watu bure ! Mwambieni tu ukweli hawezi kupata hata asilimia kumi za kura za watanzania. Baaada ya 28 oct mtamuona anarudi kwao ubelgiji ! Unasema JPM hana slogan nikuambie tu labda hujui! Slogan ya JPM ni hii " Tumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja!" .. Yaani kuna kuna mgombea ana ahadi hewa! Na mwingine ana vitu tangible/Reality .. Tumechagua kwenda na reality ,tarehe 28 Oct!.
Mimi piaBinafsi siwezi kumchagua kiongozi dhalimu type ya Meko.
Lissu atosha sana.
Mwaka 2015 watu waliichoka ccm na sio mgombea yaani mgombea ndie aliyeibeba ccm, 2020 vyote vimechokwa baada ya mgombea kulewa pombe ya madaraka na kuanza kufanya asivyotumwa na wananchi mfano kutumia Kodi zetu kupambana na upinzani badala ya umasikini wetu. Kubomoa utaifa wetu, kuumiza watu, kubambika kesi, kuuwa uchumi, diplomasia, kuzima bunge live ili watu wasijue upigaji, kuzuia vyombo vya habari ili kulinda ufisadi usijulikane, kuwasomesha watz namba ili kuwakomoa, kuwabomolea watu nyumba zao.