Tea Party
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 658
- 1,133
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?
Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.
Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.
Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.
Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.
But why?
Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.
Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.
Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.
Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.
Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.
Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.
Nawasilisha.
We can't wait!
Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.
Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.
Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.
Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.
But why?
Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.
Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.
Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.
Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.
Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.
Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.
Nawasilisha.
We can't wait!