Kitakachompa urais Trump mwaka huu ni sakata la wahamiaji haramu

Kitakachompa urais Trump mwaka huu ni sakata la wahamiaji haramu

Tea Party

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2019
Posts
658
Reaction score
1,133
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?

Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.

Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.

Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.

Screenshot_20240902-161948.jpg


Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.

But why?

Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.

Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.

Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.

Screenshot_20240902-162046.jpg


Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.

Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.

Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.

Nawasilisha.

We can't wait!
 
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?

Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.

Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.

Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.

View attachment 3085079

Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.

But why?

Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.

Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.

Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.

View attachment 3085080

Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.

Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.

Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.

Nawasilisha.

We can't wait!
US wote ni wahamiaji wenyeji hawapo tena, ila Trump atspita sababu kuu ni kwamba wa marekani hawawezi ku-trust a female predident.
 
Mpinzani wake wa kwanza alikuwa H. Clinton a female candidate akampiga chini
Democratic hawajifunzi wamletea mpishi tena Camara Harith hatoboi

..kwanza inabidi tuuelewe MFUMO wa uchaguzi wa Marekani ili tuwe ktk nafasi nzuri ya kutoa maoni.

..Marekani haina mfumo wa kura-moja-mtu mmoja kama ilivyo ktk nchi nyingi duniani.

..Ukiangalia idadi ya kura alizopigiwa kila mgombea utaona kwamba Hilary Clinton alipigiwa kura na watu wengi kuzidi Donald Trump.

..Marekani imeundwa na Majimbo. Na ktk mfumo wao wa Uchaguzi kila jimbo limepewa "pointi" fulani.

..Mkakati wa kila mgombea Uraisi sio kushinda kura nyingi, bali kushinda mchanganyiko wa majimbo yenye "pointi" nyingi.

..Sasa Trump alifanikiwa kushinda mchanganyiko wa majimbo yenye "pointi" nyingi kuliko Hillary Clinton.

..Hillary Clinton mkakati wake ulibuma akaishia kushinda idadi nyingi ya kura, huku akishindwa kupata combination ya majimbo yenye "pointi" nyingi.

..Wamarekani wengi zaidi walimpigia kura mgombea Uraisi mwanamke ktk uchaguzi wa mwaka 2016.

..Nadhani Hillary Clinton alivunja rekodi ya kuwa mgombea aliyepigwa kura nyingi za Uraisi ktk uchaguzi wa Marekani.

..Kwa msingi huo, sio sahihi kusema Wamarekani hawako tayari kuongozwa na Amiri Jeshi Mkuu mwanamke.

Cc Covax, dudus
 
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?

Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.

Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.

Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.

View attachment 3085079

Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.

But why?

Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.

Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.

Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.

View attachment 3085080

Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.

Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.

Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.

Nawasilisha.

We can't wait!
Weka kwanza source ya hii habari yako. Usipende kubandika tu as if ni maandishi yako. Weka source tafadhali.
 
jmushi1, Mag3, JokaKuu waione kwenye jalada.
Mkuu kwanza aweke source ya hii habari yake.

Kwamba waliotabiri Trump atasında ni NBC, Politico, Economic Times n.k
Siwezi kujadili habari ya uongo kama hii na afadhali angeweka source tuone.

Polls zote muhimu anongoza Kamala Harris. Pamoja na kwamba ni “within margin of errors” ambapo anaongoza kwa asilimia 2-3. Na hivyo kwa asilimia hizo huwezi kusema kuwa Harris atashinda. Lakini sijaona source ya habari kwamba hivyo vyombo vya habari nyeti kabisa vikitabiri kwamba Trump atashinda. Na tuone kama ni kweli walisema hivyo na kuweka kigezo kwamba ni tatizo la uhamiaji haram ndo litamponza Harris.

Hizo habari za kutaka kumuangushia hilo zigo lilikuwepo. Kwamba limefanikiwa bado sijaona.

Source ni muhimu hapa. Na habari kama hızı huku ikiwa hazina source huwa nazipita. Maana nilishawahi kulalamika lakini Moderator akapotezea. Nikaona maybe it’s a norm around here.
 
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?

Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.

Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.

Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa Donald Trump anaenda kushinda uchaguzi huu.

View attachment 3085079

Kuanzia NBC, Politico, Economic Times n.k wote wanatabiri kuwa huenda Baba Ivanka ifikapo Januari 6 2025 atakuwa amekunja nne pale Oval Office, White House.

But why?

Tangu Biden aingie madarakani inakadiriwa kuwa kuna wahamiaji haramu takriban Milioni 8 wameingia nchini Marekani na kati yao Milioni 6.7 wameingia kupitia mpaka wa Southwest.

Hiyo population ni sawa na mji wa Dar Es Salaam pamoja na Mwanza ukijumlisha pamoja na hiyo imefanyika ndani ya miaka minne tu wa utawala wa Biden na Harris.

Wahamiaji hawa wamekuwa ni mwiba mkali mno kwa wamarekani ambao wamekuwa wakilalamika kuwa wahamiaji hao wengi ni majambazi, wauwaji and most of all wanachukua ajira zao kwani wanalipwa ujira mdogo mno.

View attachment 3085080

Trump analitambua hilo na ndio maana kwenye kila speech yake amekuwa akilizugumza suala la uhamiaji kwa wivu mkubwa kwani most Americans hasa wa vijijini wamechoka kuishi kwa hofu ya kuvamiwa na wahamiaji hao.

Kamala kwa upande yeye ni pro migration, the reason being wapiga kura wake wengi ni wahamiaji.

Novemba 5 inakaribia na bila shaka wamarekani wengi watamuunga mkono bwana Trump ambaye ameahidi kuwarudisha wahamiaji wote kwenye nchi zao.

Nawasilisha.

We can't wait!
Mfano mzuri tuangalie German na France wanasiasa wanaopinga uhamihaji haramu ndio wanaoshinda kwa kiasi kikubwa,

Trump hii ndio kete yake ya ushindi na Kamala hilo analijua wazi
 
Mfano mzuri tuangalie German na France wanasiasa wanaopinga uhamihaji haramu ndio wanaoshinda kwa kiasi kikubwa,

Trump hii ndio kete yake ya ushindi na Kamala hilo analijua wazi
Ni kete yake lakini siyo lazima iwe ya ushindi.

Hizo source zote alizotaja mleta mada, zinaonyesha anayeongoza ni Kamala Harris. “Within margin of errors”

Naweza kuweka hizo habari hapa kutoka hivyo vyanzo alivyo taja mleta mada na ukaona uongo wake wa mchana kweupe.
 
Sijui kwanini Democrats wanaweka pembeni watu wa maana.

Haiingii akilini chama chenye watu kama Bernie Sanders au Tulsi Gabbard kimpitishe akili ndogo kama Kamala tena bila kupingwa.

..Wamarekani wana vigezo vyao wanavyovitaka ambavyo sio rahisi Watanzania kuvielewa au kukubaliana nao.

..Ben Sanders ambaye umemtaja anapenda sera za kijamaa-jamaa. Wamarekani ktk ujumla wao wanachukia na kubeza Ujamaa. Kwa hiyo Ben Sanders anaungwa mkono na watu wachache sio rahisi kushinda uchaguzi wa Marekani nzima.
 
..kwanza inabidi uuelewe MFUMO wa uchaguzi wa Marekani kabla haujatoa maoni yako.

..Marekani haina mfumo wa kura-moja-mtu mmoja kama ilivyo ktk nchi nyingi duniani.

..Ukiangalia idadi ya kura alizopigiwa kila mgombea utaona kwamba Hilary Clinton alipigiwa kura na watu wengi kuzidi Donald Trump.

..Marekani imeundwa na Majimbo. Na ktk mfumo wao wa Uchaguzi kila jimbo limepewa "pointi" fulani.

..Mkakati wa kila mgombea Uraisi sio kushinda kura nyingi, bali kushinda mchanganyiko wa majimbo yenye "pointi" nyingi.

..Sasa Trump alifanikiwa kushinda mchanganyiko wa majimbo yenye "pointi" nyingi kuliko Hillary Clinton.

..Hillary Clinton mkakati wake ulibuma akaishia kushinda idadi nyingi ya kura, huku akishindwa kupata combination ya majimbo yenye "pointi" nyingi.

..Wamarekani wengi zaidi walimpigia kura mgombea Uraisi mwanamke ktk uchaguzi wa mwaka 2016.

..Nadhani Hillary Clinton alivunja rekodi ya kuwa mgombea aliyepigwa kura nyingi za Uraisi ktk uchaguzi wa Marekani.

..Kwa msingi huo, sio sahihi kusema Wamarekani hawako tayari kuongozwa na Amiri Jeshi Mkuu mwanamke.

Cc Covax, dudus
Hakika wewe unajua vyema siasa na chaguzi za USA. Natamani wanaJF wote wanaozungumzia uchaguzi wa USA at least wawe na uelewa wa aina hii.

Yaani huwa nashangaa mnoo kuona mwanaJF anakuja na post eti wamerekani hawako tayari kuongozwa na mwanamke! Huku akisahau kabisa kuwa ndani ya USA hiyo hiyo uanamke na harakati za mwanamke (feminist) ni kubwa kuliko harakati zozote zenye kuwaunganisha wanaume.
 
Hakika wewe unajua vyema siasa na chaguzi za USA. Natamani wanaJF wote wanaozungumzia uchaguzi wa USA at least wawe na uelewa wa aina hii.

Yaani huwa nashangaa mnoo kuona mwanaJF anakuja na post eti wamerekani hawako tayari kuongozwa na mwanamke! Huku akisahau kabisa kuwa ndani ya USA hiyo hiyo uanamke na harakati za mwanamke (feminist) ni kubwa kuliko harakati zozote zenye kuwaunganisha wanaume.

..asante.

..inabidi kwanza kuelewa kitu Wamarekani wanaita electoral college.

..halafu kufahamu kila jimbo la Marekani limepewa electoral college votes au pointi ngapi.

..baada ya hapo uangalie jimbo gani linaelekea upande wa Trump[ republican / red ], na lipi linaelekea kwa Kamala [ democrats / blue].

..ninaweza kuwa sijapatia details zote, lakini ukielewa hicho nilichoandika utaweza kuufuatilia uchaguzi wa Raisi wa USA.

..kwa mfano, utaweza kuelewa kwanini mgombea husika anawekeza nguvu nyingi ktk jimbo fulani, na kuacha mengine.
 
Back
Top Bottom