Kitakachotokea Yanga vs Club Africain

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
1. Nabi ndiyo mechi yake ya mwisho kuifundisha Yanga kesho.

2. Yanga haina uwezo wa kuifunga Tunisia bao 2 - 0, au 3 - 0, wakishinda sana sana bao 1 au 2 - 1.

3. Wachezaji wa Yanga watalaumiwa sana, sana, sana.

4. Ukweli ni mchungu sana, Yanga haiwezi kuiondosha Club Africain, tusipeane matumaini ya kijinga.

5. Tusubiri mambo yetu yale ya kupeana penati katikati ya uwanja basi.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Nabi bado yupo sana kuwakanda, Jiandaeni kisaikolojia.
 
Wapiga ramli basivibuyu vitembee.. Propaganda inapigwa kwa sababu Nabi anawaumiza wameshindwa uwanjani wanataka wamuondoe kwa fitna. Ataendelea kuwakanda wewe na wa Tunisia wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa simba muda wote mnaiwazia tu Yanga! Kwani shida ni nini hasa!!
 
Hata kazini leo nimeshangaa sana,washkaji muda wote ni habari za yanga, yani hii game mikia wameitolea macho kwelikweli.
Wakati mashabiki wenu wanaenda airport kupokea wageni mlikaa kimyaa sasa nyie utani wa kawaida tu mna panic mashabiki wa simba hawana hela za mchezo kupokea wageni airport mshukuru kwa hlo.
 

Km Kuna ka uhalisia flani iv [emoji16]
 
Tunamchukua sisi Simba
 
Wakati mashabiki wenu wanaenda airport kupokea wageni mlikaa kimyaa sasa nyie utani wa kawaida tu mna panic mashabiki wa simba hawana hela za mchezo kupokea wageni airport mshukuru kwa hlo.
Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu! Mnapoteza muda mwingi kuijadili Yanga, kuliko hata timu yenu!

Imefikia wakati wenye timu yetu, tunawashangaa! Halafu cha kushangaza itokee timu yenu imefungwa, siyo kelele hizo, na matusi kwa wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi!

Ikishinda, mnasahau muda huo huo, na kuhamia tena kuijadili Yanga!! Watu wa ajabu kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…