muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
ila simba anaweza pita kule championship,?ukijibu ndio, wewe mkia1. Nabi ndiyo mechi yake ya mwisho kuifundisha Yanga kesho.
2. Yanga haina uwezo wa kuifunga Tunisia bao 2 - 0, au 3 - 0, wakishinda sana sana bao 1 au 2 - 1.
3. Wachezaji wa Yanga watalaumiwa sana, sana, sana.
4. Ukweli ni mchungu sana, Yanga haiwezi kuiondosha Club Africain, tusipeane matumaini ya kijinga.
5. Tusubiri mambo yetu yale ya kupeana penati katikati ya uwanja basi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app