johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tume ya uchaguzi si iwaumbue kina MBOWE?Kina Mdee hawawezi kughushi barua,!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Mwisho wa ubaya aibuKina Mdee hawawezi kughushi barua,!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Kwa yale aliyomfanyia askofu Gwajima kule Kawe wakati wa uchaguzi Halima Mdee anaweza kufanya "chochote" chini ya hili jua.Kina Mdee hawawezi kughushi barua,!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Mungu siyo amsterdamTusimung'unye maneno, Magufuli kaharibu sana nchi hii.
Na kwa kilio tulicholia Mungu akarusikia, tutalia Tena kwa ajili ya Job Ndugai, mpaka haki ipatikane.
Hahahaaaa! Kwa sasa malkia wa Chadema ni Husna Said wa Chato!Hahahahahahahaha
Kweli wazee wa Dar wabalikiwe.
Ameeeeeeen, from your comment to God's ears.Tusimung'unye maneno, Magufuli kaharibu sana nchi hii.
Na kwa kilio tulicholia Mungu akarusikia, tutalia Tena kwa ajili ya Job Ndugai, mpaka haki ipatikane.
Kwanini tume haitaki kujibu barua ya chadema?Kina Mdee hawawezi kughushi barua,!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Njaa inaponza makalio broHahahahahahahaha
Kweli wazee wa Dar wabalikiwe.
Mm ninachokiona hapo,hao akina mdee wameshanunuliwa hivyo Mnyika na mwenyekiti wake wajipange kisaikoloji.
Lasivyo usikute ndio wameshaihama chadema hivyo.
Hao wamama wangekua wazalendo na chama wangeshajitoa kitaambo huko bungeni.
Na nakumbuka walionywa kabla hawajaenda ,sasa ikawaje wakaenda,walipata wapi ujasili wa kukaa bungeni kinyume na sheria!!
Hapo kama waliamini mdee ndio mama shujaa chadema waanze kuzoe kua anaweza asiwe wa kwao tena chadema.
Sasa mnalumbana CCM kwa CCMUwepo wa Halima Mdee na wenzake bungeni msingi wake ni barua ambayo Chadema wameikana kuiandika wao yenye majina ya wanawake 19 waliopelekwa bungeni.
Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge mh Job Ndugai.
Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza Bungeni basi akina mama hawa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu na haya mambo baba wa taifa aliyakemea sana.
Suala la mihtasari kwenye kosa lililo wazi ni mambo ya kijima.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
CCM endeleeni kulumbana wachawi wakubwa nyinyiKina Mdee hawawezi kughushi barua!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Mungu alijibu kwa kifo cha hawara yenu jiweMungu siyo amsterdam
Kwa hiyo unataka kusema Nusrat akiwa jela na kutolewa usiku lilifuata utaratibu wa Mbowe mwenyewe mpaka na kupeleka barua usiku wa manane NEC ili kesho yake spika amuapishe?Kina Mdee hawawezi kughushi barua!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi