Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira sana sijui ni stres au umasikini,!Mungu alijibu kwa kifo cha hawara yenu jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira sana sijui ni stres au umasikini,!Mungu alijibu kwa kifo cha hawara yenu jiwe
Dadi Faki Dadi.
Unaumwa wewe, wewe na wenzio mna akili za kijinga sana, soma hii barua kesha mwambie huyo Job ajibu kwanza hii jinaiKina Mdee hawawezi kughushi barua!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Kuyawazua hayo lazima ujue kwamba hili suala Mbowe, Mnyika na Nduagi wanajuaanaKwa hiyo unataka kusema Nusrat akiwa jela na kutolewa usiku lilifuata utaratibu wa Mbowe mwenyewe mpaka na kupeleka barua usiku wa manane NEC ili kesho yake spika amuapishe?
Sina stress na sio maskini ila nakuonea huruma sana unakubali kunajisiwa na kujitoa ufahamu kisa malipo ya buku saba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira sana sijui ni stres au umasikini,!
Mkuu ngoja niishie hapa, kuna mengi nyuma ya Pazia. Na vituko vingi mno.. Unajua huko tuendako hili suala litamuweka Ndugai pabaya sana.. Sio leo wala kesho.. Tuombe uzimaKuyawazua hayo lazima ujue kwamba hili suala Mbowe, Mnyika na Nduagi wanajuaana
Mbowe alishasema form zinazotakiwa kujazwa na wabunge viti maalum zipo ofisini, hizi kelele zako rudisha lumumba.Kina Mdee hawawezi kughushi barua!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Samia alisema bado kuna wengine watafuatia nyayo za Nyalandu, naamini watakuwa wao.Hahahahahahahaha........
Kweli wazee wa Dar wabalikiwe.
Mimi ninachokiona hapo,hao akina mdee wameshanunuliwa hivyo Mnyika na mwenyekiti wake wajipange kisaikoloji.
Lasivyo usikute ndio wameshaihama chadema hivyo.
Hao wamama wangekua wazalendo na chama wangeshajitoa kitaambo huko bungeni.
Na nakumbuka walionywa kabla hawajaenda ,sasa ikawaje wakaenda,walipata wapi ujasili wa kukaa bungeni kinyume na sheria!!
Hapo kama waliamini mdee ndio mama shujaa chadema waanze kuzoe kua anaweza asiwe wa kwao tena chadema.
You are stupid eti wameikanaUwepo wa Halima Mdee na wenzake bungeni msingi wake ni barua ambayo Chadema wameikana kuiandika wao yenye majina ya wanawake 19 waliopelekwa bungeni.
Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge mh Job Ndugai.
Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza Bungeni basi akina mama hawa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu na haya mambo baba wa taifa aliyakemea sana.
Suala la mihtasari kwenye kosa lililo wazi ni mambo ya kijima.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
Muache apumzike kwa amani deal na walio haiTusimung'unye maneno, Magufuli kaharibu sana nchi hii.
Na kwa kilio tulicholia Mungu akarusikia, tutalia Tena kwa ajili ya Job Ndugai, mpaka haki ipatikane.
Wewe endelea kunywa mbege!You are stupid eti wameikana
Asante rafiki yangu mwema. Umeniuddhi wakati namuaminia katika Lumumba. Usiwe unakengeukaWewe endelea kunywa mbege!
Kabila gani?Yule mzee kaijage ndo wakufunga jela
Walipata wapi barua za kuchaguliea akina mdee
Mzee na kipara chake amaonekana mstarabu Kumbe hamna kitu.
Mhaya mwenzakoKabila gani?
Wakina Halima Tume Bunge Chini ya HAYATI wametengeneza huo Mpango yule Mwanachama aliyekuwa Mahabusu na kutolewa usiku na kwenda kuapishwa Nani katengeneza hayo Mazingira?Kina Mdee hawawezi kughushi barua!
Hilo suala lilifuata taratibu zote na kina Mbowe!
Kinachotokea ni wafuasi kindaki ndaki wa chadema kuzugwa zugwa tu basi
Anayetakuwa kubeba lawama zote,ni Mwendazake,picha lite alilifanya yeye ili kuzihadaa jumuia za kimataifa,Uwepo wa Halima Mdee na wenzake bungeni msingi wake ni barua ambayo Chadema wameikana kuiandika wao yenye majina ya wanawake 19 waliopelekwa bungeni.
Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge mh Job Ndugai.
Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza Bungeni basi akina mama hawa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu na haya mambo baba wa taifa aliyakemea sana.
Suala la mihtasari kwenye kosa lililo wazi ni mambo ya kijima.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
Nani alisaini fomu zake namba 8d zinazotakiwa kujazwa na Katibu Mkuu wa chama wakati yeye alikuwa gerezaniKwa hiyo unataka kusema Nusrat akiwa jela na kutolewa usiku lilifuata utaratibu wa Mbowe mwenyewe mpaka na kupeleka barua usiku wa manane NEC ili kesho yake spika amuapishe?