mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Asubuhi nashindwa kuamka kwa ajili ya mazoezi, nikiamka nashindwa kuvaa viatu naishia kuvaa open shoes. Nikiamka nasikia njaa inabidi nilijaze tumbo, nikilijaza nashindwa kutembea. Bodaboda hawanikimbilii nikifika kazini. Nasinzia sana
Weekend siwezi kuinjoy kucheza muziki nabakia observer, nikienda kwa wife napiga kimoja hoi nalala nakoroma. Kufanya mazoezi ni mvivu, kufanya diet nako ni kuumia na kuidhulumu nafsi.
Ndugu zangu viepe nyama Choma na bia ni noma, najilaumu na natamani afya za watu hasa wembamba wenye kula sana wenye matumbo ya kubana.
Uzito mkubwa ni noma, kula kwa step. Sina mvuto hata wa kupiga selfie maana najaa peke yangu.
Weekend siwezi kuinjoy kucheza muziki nabakia observer, nikienda kwa wife napiga kimoja hoi nalala nakoroma. Kufanya mazoezi ni mvivu, kufanya diet nako ni kuumia na kuidhulumu nafsi.
Ndugu zangu viepe nyama Choma na bia ni noma, najilaumu na natamani afya za watu hasa wembamba wenye kula sana wenye matumbo ya kubana.
Uzito mkubwa ni noma, kula kwa step. Sina mvuto hata wa kupiga selfie maana najaa peke yangu.