Kitambi kinanifanya niione dunia chungu

Kitambi kinanifanya niione dunia chungu

Watu wanene ni vigumu sana kutekwa, hawatoshi kwenye buti.
 
Usile chochote usiku zaidi ya kunywa maji lita moja,mpk kesho yake tena! Na mchana ule kiasi kidogo itakusaidia,fanya ivyo huku ukiangalia uzito unavyopungua km motisha kwako jiwekee target utaweza
 
Wamekushauri vizur, lkn wamesau kitu kimoja uhame huo mkoa njoo huku kijjn maana wanaume wa uko ni shigda
 
Back
Top Bottom