Sijaamua kivipiHujaamua tu
Wewe si mdogo tu jamani, vitambi tuachieni sie wazee tupambane navyo.Ninacho yaani nakipunguza wapi
Nimeamua nibaki nacho hivyo [emoji23][emoji23]
Yaani na udogo huu bado kinanifuata nifanyajeWewe si mdogo tu jamani, vitambi tuachieni sie wazee tupambane navyo.
aaah! vina raha yake bwanaa weeeAsante sana kwa taarifa
Hakika Mkuu. Japo mie changu niko kwenye hatua za mwisho za kukisambaratisha. 😀Hebu tuwe proud na vitambi yetu [emoji122]
Ulaji wa hovyo ndio hupelekea kupata vitambiWanawake wafanye mazoezi and not otherwise, haya mavitambi hovyo kabisa, period!!!View attachment 2060421
Mazoezi na nature ya chakula . Mazoezi pekee yake sio solutions.epukani ulaji ovyo wa vyakula vya mafuta na wanga Kwa vingi Ila kuleni matunda, mbogamboga, proteins. Excess energy kutoka kwenye wanga ikishachukuliwa na mwili iliyobaki inaenda kuwa stored mwilini kama Fats . Ndio matokeo yake Ila protein ikishatimika excess protein yote inatolewa mwilini inform of ureaKwa wale tusiovipenda tufanye mazoezi kwa kweli japo inakuwaga mtihani kuondoa hiyo kitu ila tujitahidi na pia tujipangilie upande wa msosi mana hapo napo panachangamoto kidogo.
Tunashukuru KWA mwongozo huuTumia chumamboga
Hongera sanaHakika Mkuu. Japo mie changu niko kwenye hatua za mwisho za kukisambaratisha. [emoji3]
Hahahahaaa. Ahsante.Hongera sana
mie mvivu wa mazoezi hivyo kipo tu hapa [emoji1787]