Kitambi kwa mwanamke noma sana!

Wanawake hasa wa ushwahilini wanapenda sana kunywa bia ovyo ovyo. Na kula nyama choma, chips...nk na hawafanyi mazoezi zaidi ya kukatika viuno. Hivyo lazima wafuge matumbo.
Wenyewe wanasema mazoezi ya kitandani yanawatosha utawasikia wakisema hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…