Kitambi kwa mwanamke


Nashukuru sana kwa ushauri wako.... Stay blessed!!!
 
Ukitaka upungue kwa haraka zaidi utatakiwa ufanye vitu viwili kwa wakati M1 kwanza mazoezi ambapo unaweza ukaanza hata kwa kutumia muda hata wa dk 15iv kila siku katika mazoezi na mazoezi sio lazima uende uwanjani unaweza fanyia hata chumbani kwako kwakuruka ruka na mazoezi mengine ila chumba lazima kiwe na hewa yakutosha,cha pili ni kiasi na aina ya vyakula unavyokula kama wanajamvi wenzangu walivyokushauri pia kama unatabia zakulala mchana au kulala hadi saa4 asubuhi uache.ukifanya haya ndani ya mwezi na nusu utaona mabadiliko makubwa.
 
Kwanza nikupe hongera kujistukia kitambi kwa mwanamke noouma!Pili nimeona wanajamii wamekushauri nini wengine naona wao ni watu wa masihara kila wakati,Mimi ningekuomba upunguze breakfast kwani kinadada wengi kwa uzoefu wa ukikuta anapata hiyo kitu asubuhi ni balaa utafikir mchana hali,kunywa chai kawaida bila hayo masupu ,mayai nk pia chakula ,hzi kuku poa nazo kwenye chips ka unatumia hebu acha,Mwisho wa yote kuondoa hicho kitambi ni KUFANYA MAZOEZI TU YA TUMBO TU!(SIT UPS) NINA CD YA BILLY BLANKS INAITWA TAE BO,NI PM UKIHITAJI ,INA MAZOEZ MEPESI SANA WAWEZA FANYA HATA CHUMBANI! NAFIKIRI UMENIELEWA.
 
Hi all

Mie ni mwanamke, ninawezaje kupunguza kitambi (tumbo kubwa) bila kufanya mazoezi?

Labda kwa kula vyakula n.k

Asanteni

Acha kuvaa suruali. Utafiti umonyesha uvaaji wa suruali kwa wanawake ni miongoni mea sababu kubwa zinazoleta hali hiyo. Ipo post humu jf wataalam walisha zungumzia hiyo hali.

Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2
 
Hi all

Mie ni mwanamke, ninawezaje kupunguza kitambi (tumbo kubwa) bila kufanya mazoezi?

Labda kwa kula vyakula n.k

Asanteni

Body toning kit + garcinia.,inachofanya inayeyusha mafuta yaliyoko tumboni nje na ndani ya mwili.kwa njia ya asili bila kutumia kemikali. More info nicheki nikuelekeze, siwezi andika with phone maelezo yote.0713297066
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…