Kitambi ni ugonjwa wa akili

Kitambi ni ugonjwa wa akili

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Unapokuwa na kitambi maana yake ni kwamba unawaambia watu kwamba wewe huwa unakula kula kula hovyo bila kufuata mpangilio. Kwamba wewe huwa unalewa hovyo hovyo bila kuwa na kiasi. Kwamba wewe huwa hufanyi mazoezi na wala huoni umuhimu wa kufanya mazoezi.

Na kama huwa unakula kula hovyo maana yake ni kwamba kichwa chako hakipo vizuri kwa sababu kichwa chako kingekuwa vizuri ungepaswa kujua kwamba kula kula hovyo kunaweza kukuletea kitambi na unene uliopitiliza na hivyo kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa hatarishi kama vile kisukari,maradhi ya moyo n.k.

Wakati mwehu yeye anakula jalalani, mwenye kitambi yeye ameligeuza tumbo lake kuwa jalala la kuhifadhi takataka zitokanazo na kula hovyo bila mpangilio. Binafsi huwa siamini kabisa uwezo wa kufikiri wa MTU anaekula hovyo.

Imani hiyo hupungua zaidi pindi mtu huyo anapokuwa graduate.
Hata kama nilikuwa nataka kumpa deal basi Nita cancell. Kwa mfano labda Nina ishu yangu inayohitaji mwanasheria halafu kwenye appointment akawa anakula let's say coca na chips yai mix na tomato. Nita cancel deal yangu hapo hapo kwa sababu siamini kama MTU anaeingiza uchafu tumboni mwake anafaa kuaminika kiasi hicho.

Angalia hata kwa wanawake.
Wanawake slim wako more smart than fat girl.

Do a very simple research. Tongoza slim girl mwenye tumbo flat halafu tongoza na mdada mnene mwenye kitambi uone nani utampata kwa urahisi.

Wanawake wenye vitambi are so easy, ukimkuta mgumu ni wale wanaojifanyaga kuplay hard to get. Slim girls kuwapata ni full gospel
 
Tafakari uliyoyaandika kisha kesho tupatie revised version.
 
Unapokuwa na kitambi maana yake ni kwamba unawaambia watu kwamba wewe huwa unakula kula kula hovyo bila kufuata mpangilio.Kwamba wewe huwa unalewa hovyo hovyo bila kuwa na kiasi.Kwamba wewe huwa hufanyi mazoezi na wala huoni umuhimu wa kufanya mazoezi.Na kama huwa unakula kula hovyo maana yake ni kwamba kichwa chako hakipo vizuri kwa sababu kichwa chako kingekuwa vizuri ungepaswa kujua kwamba kula kula hovyo kunaweza kukuletea kitambi na unene uliopitiliza na hivyo kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa hatarishi kama vile kisukari,maradhi ya moyo n.k. Tofauti kati ya mwehu na mtu mwenye kitambi ni sifuri kwa sababu wote wanakula vitu vichafu.Wakati mwehu yeye anakula jalalani, mwenye kitambi yeye ameligeuza tumbo lake kuwa jalala la kuhifadhi takataka zitokanazo na kula hovyo bila mpangilio.Binafsi huwa siamini kabisa uwezo wa kufikiri wa MTU anaekula hovyo. Imani hiyo hupungua zaidi Lindi MTU huyo anapokuwa graduate. Hata kama nilikuwa nataka kumpa deal basi Nita cancell...Kwa mfano labda Nina ishu yangu unayo hitaji mwanasheria halafu kwenye appointment akawa anakula let's say coca na chips yai amix na tomato. Nita cancel deal yangu hapo hapo kwa sababu siamini kama MTU anae ingiza uchafu tumboni mwake anafaa kuaminika kiasi hicho
Ukitulia vizuri kiakili una uwezo wa kutoa hoja muhimu. Tatizo mpangilio wa mawazo upo chini.
 
Hayo ni maisha binafsi ya mtu, kama wewe yanakukera fanya yako... Wewe si Bakhresa
 
Unapoandika Uzi mrefu usiokuwa na koma, vituo, wala aya sasa sijui Kati yako na mtu mwenye kitambi nani ataonekana ni nani makini na mwenye akili.

Hii ndiyo ya nyani kucheka Kundule....
 
Unapokuwa na kitambi maana yake ni kwamba unawaambia watu kwamba wewe huwa unakula kula kula hovyo bila kufuata mpangilio.Kwamba wewe huwa unalewa hovyo hovyo bila kuwa na kiasi.

Kwamba wewe huwa hufanyi mazoezi na wala huoni umuhimu wa kufanya mazoezi.Na kama huwa unakula kula hovyo maana yake ni kwamba kichwa chako hakipo vizuri kwa sababu kichwa chako kingekuwa vizuri ungepaswa kujua kwamba kula kula hovyo kunaweza kukuletea kitambi na unene uliopitiliza na hivyo kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa hatarishi kama vile kisukari,maradhi ya moyo n.k.

Tofauti kati ya mwehu na mtu mwenye kitambi ni sifuri kwa sababu wote wanakula vitu vichafu. Wakati mwehu yeye anakula jalalani, mwenye kitambi yeye ameligeuza tumbo lake kuwa jalala la kuhifadhi takataka zitokanazo na kula hovyo bila mpangilio.Binafsi huwa siamini kabisa uwezo wa kufikiri wa MTU anaekula hovyo. Imani hiyo hupungua zaidi Lindi MTU huyo anapokuwa graduate.

Hata kama nilikuwa nataka kumpa deal basi Nita cancell...Kwa mfano labda Nina ishu yangu unayo hitaji mwanasheria halafu kwenye appointment akawa anakula let's say coca na chips yai amix na tomato. Nita cancel deal yangu hapo hapo kwa sababu siamini kama MTU anae ingiza uchafu tumboni mwake anafaa kuaminika kiasi hicho
Hata inzi akiacha uchafu anaweza kutengeneza asali
 
Unapoandika Uzi mrefu usiokuwa na koma, vituo, wala aya sasa sijui Kati yako na mtu mwenye kitambi nani ataonekana ni nani makini na mwenye akili.

Hii ndiyo ya nyani kucheka Kundule....
Acha kula hovyo
 
Nipo napambana na kakitambi king'ang'anizi lakini wapi!, Kwani skuati,pushapu,mbio na msosi wa kawaida vyote vyangu ila wapi sema nasubiria ila one day yes.
 
Kuna mwenye kitambi kamfanya kitu kibaya huyu wala sio bure
 
Andiko lako lina ujumbe mzuri sana ndugu LIKUD ingawa lugha uliyoitumia kuiwasilishia ni kali sana na haina staha......

Kusema kweli changamoto na pirika pirika za kuhangaikia mkate wa kila siku inawafanya baadhi ya ndugu zetu wajisahau na kujikuta wakiwa na hali hiyo......natumaini kwa andiko utakuwa umewakumbusha na watalifanyia kazi......

NB
Kitambi ni dalili ya kuporomoka kwa afya yako na sio kuimarika kwa afya yako.......

Word is enough for the wise
 
Andiko lako lina ujumbe mzuri sana ndugu LIKUD ingawa lugha uliyoitumia kuiwasilishia ni kali sana na haina staha......

Kusema kweli changamoto na pirika pirika za kuhangaikia mkate wa kila siku inawafanya baadhi ya ndugu zetu wajisahau na kujikuta wakiwa na hali hiyo......natumaini kwa andiko utakuwa umewakumbusha na watalifanyia kazi......

NB
Kitambi ni dalili ya kuporomoka kwa afya yako na sio kuimarika kwa afya yako.......

Word is enough for the wise
Asante sana mkuu.U have spoken my mind
 
N
Unapokuwa na kitambi maana yake ni kwamba unawaambia watu kwamba wewe huwa unakula kula kula hovyo bila kufuata mpangilio.Kwamba wewe huwa unalewa hovyo hovyo bila kuwa na kiasi.

Kwamba wewe huwa hufanyi mazoezi na wala huoni umuhimu wa kufanya mazoezi.Na kama huwa unakula kula hovyo maana yake ni kwamba kichwa chako hakipo vizuri kwa sababu kichwa chako kingekuwa vizuri ungepaswa kujua kwamba kula kula hovyo kunaweza kukuletea kitambi na unene uliopitiliza na hivyo kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa hatarishi kama vile kisukari,maradhi ya moyo n.k.

Tofauti kati ya mwehu na mtu mwenye kitambi ni sifuri kwa sababu wote wanakula vitu vichafu. Wakati mwehu yeye anakula jalalani, mwenye kitambi yeye ameligeuza tumbo lake kuwa jalala la kuhifadhi takataka zitokanazo na kula hovyo bila mpangilio.

Ndiyo maana wamarekani walimchagua Trump!
 
Aiseee watu wakali vibaya mno

Fanyeni mazoezi aseeeh
Hili jiwe limetupwa kwa ustadi
 
Back
Top Bottom