Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 735
Mwehu mwenyewe
Hahahaha nadhani mkuu una kitambi, hahahaha fanya mazoezi bana ukiondoe.
Ila kitambi dah! Kuja mwilini rahisi kukiondoa sasa!, uite waandishi habari, uite wanawake waliokimbiwa na waume zao kulea watoto dah!!...mpaka kije kipotee unaweza shtukia umeita Dsm nzima.
Kama juhudi za kukipunguza za kusua sua watu wanaweza kuitikia wito wakaondoka na kukuacha na kitambi chako.