Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana

Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana

Kuna usajili unaendelea mkuu akishindwa ntakucheck
Wengine huwa wanashindwia mbali..!! Anashindwa au anajishindwishwa wakati keshakunyandua. Sasa utanyanduliwa na wangapi hadi ufike yule ambaye hashindwi?
 
Wengine huwa wanashindwia mbali..!! Anashindwa au anajishindwishwa wakati keshakunyandua. Sasa utanyanduliwa na wangapi hadi ufike yule ambaye hashindwi?

Unawaona had wanafunga ndoa hawajanyanduliwa na mmoja. Kunyanduliwa kuko pale pale mpaka mtu sahihi apatikane. Labda ukutane na anayetaka kusubiri had ndoa. Ukwel utabak pale pale
 
Unawaona had wanafunga ndoa hawajanyanduliwa na mmoja. Kunyanduliwa kuko pale pale mpaka mtu sahihi apatikane. Labda ukutane na anayetaka kusubiri had ndoa. Ukwel utabak pale pale
If this is what is in your mind, then utafanikiwa, na personally nakutakia yote mema kwenye kufanikisha jambo lako
 
Nna mengine[emoji7]
Sawa Hongera, nilijua bado hujapata ili tujaribu kuwa wote. Anyways, hope sasa umeshajifunza ulichokosea katika mahusiano yaliyopita na hutorudia tena makosa yaleyale.
 
Back
Top Bottom