Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wengine huwa wanashindwia mbali..!! Anashindwa au anajishindwishwa wakati keshakunyandua. Sasa utanyanduliwa na wangapi hadi ufike yule ambaye hashindwi?Kuna usajili unaendelea mkuu akishindwa ntakucheck
miaka mitatu unauvumilivu ndugu yanguMtoto Nimetongoza Miaka Mitatu Nanilia Buyu Ngoja Tuone Naweza Tangaza Ndoa Na Huyu Mrembo Mwaka Huu.
nifundishe hapahapa mambo hadharaniNjoo nkufundishe na ww
Ili ndoa yako au mahusiano yako yawe mazuri kama utakavyo, basi olewa au husiana na mmoja kati ya hawa wafuatao;
1. Wewe mwenyewe
2. Mungu
Nje ya hao, ni yale yale tu
Wengine huwa wanashindwia mbali..!! Anashindwa au anajishindwishwa wakati keshakunyandua. Sasa utanyanduliwa na wangapi hadi ufike yule ambaye hashindwi?
miaka mitatu unauvumilivu ndugu yangu
nifundishe hapahapa mambo hadharani
Napenda unavyoandika mi nimeshakupenda siwezi kuishi bila weweUmekariri tatizo[emoji23][emoji23][emoji23]. Ungekuwa mfatiliaj wang ungefuta hii
If this is what is in your mind, then utafanikiwa, na personally nakutakia yote mema kwenye kufanikisha jambo lakoUnawaona had wanafunga ndoa hawajanyanduliwa na mmoja. Kunyanduliwa kuko pale pale mpaka mtu sahihi apatikane. Labda ukutane na anayetaka kusubiri had ndoa. Ukwel utabak pale pale
kwani majuzi pia hukuwepo..?Mbona makasiriko hujaingiza hela nn leo nkuboost?
Sawa Hongera, nilijua bado hujapata ili tujaribu kuwa wote. Anyways, hope sasa umeshajifunza ulichokosea katika mahusiano yaliyopita na hutorudia tena makosa yaleyale.Nna mengine[emoji7]
Napenda unavyoandika mi nimeshakupenda siwezi kuishi bila wewe
If this is what is in your mind, then utafanikiwa, na personally nakutakia yote mema kwenye kufanikisha jambo lako
kwani majuzi pia hukuwepo..?
Karibu tena.
Sawa Hongera, nilijua bado hujapata ili tujaribu kuwa wote. Anyways, hope sasa umeshajifunza ulichokosea katika mahusiano yaliyopita na hutorudia tena makosa yaleyale.
miaka mitatu unauvumilivu ndugu yangu