Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siasa ndugu....na sisi tunapokea kwa nderemo na vifijo tele pasipo ya kutafakali vilivyoHata leo ukienda benki kuchukua mkopo kuna masharti yake.
Kitambulisho cha Mjasiriamali hakina:
1. Picha ya mmiliki,
2. Hakina Majina kamili ya mmiliki,
3. Hakina saini ya mmiliki
4. Hakina sehem yoyote kwamba kikiwekwa kwenye mashine kitatoa details zote za mtu.
Sasa tukisema kina msaidia mtu kupata mkopo ni sahihi kweli?
Huyo meko kumuelewa lazima uwe umevaa nguo za ccm huku umelewa kitonko,jamaa ni muongo kuwahi kutokea toka dunia imeumbwaHata leo ukienda benki kuchukua mkopo kuna masharti yake.
Kitambulisho cha Mjasiriamali hakina:
1. Picha ya mmiliki,
2. Hakina Majina kamili ya mmiliki,
3. Hakina saini ya mmiliki
4. Hakina sehem yoyote kwamba kikiwekwa kwenye mashine kitatoa details zote za mtu.
Sasa tukisema kina msaidia mtu kupata mkopo ni sahihi kweli?
Hata leo ukienda benki kuchukua mkopo kuna masharti yake.
Kitambulisho cha Mjasiriamali hakina:
1. Picha ya mmiliki,
2. Hakina Majina kamili ya mmiliki,
3. Hakina saini ya mmiliki
4. Hakina sehem yoyote kwamba kikiwekwa kwenye mashine kitatoa details zote za mtu.
Sasa tukisema kina msaidia mtu kupata mkopo ni sahihi kweli?
Mkopo wa benki wa kufanya biashara hizoooTusividharau, siku za usoni vitaborehswa ili kutuwezesha kupata mikopo midogo midogo iyakayotuwezesha kuimarisha biashara zetu. Msisikilize ndile za watu.
Magufuli ukimuuliza alichoongea wili mbili zilizopita hata yeye unaweza kukuta amesahau. In short jamaa hawakujiandaa kwa uchaguziHata leo ukienda benki kuchukua mkopo kuna masharti yake.
Kitambulisho cha Mjasiriamali hakina:
1. Picha ya mmiliki,
2. Hakina Majina kamili ya mmiliki,
3. Hakina saini ya mmiliki
4. Hakina sehem yoyote kwamba kikiwekwa kwenye mashine kitatoa details zote za mtu.
Sasa tukisema kina msaidia mtu kupata mkopo ni sahihi kweli?