McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,070
- 12,596
Leeeee Financeee Seviceee,,,,,,,,,,naona unaupiga mwingi kwenye makabati ya annual repoteee sio kwa mikiki hiyoAah usijali mkuu yameshaisha hayo na wala usihesabie kama ulikua ni ugomvi, nisamehe pia kama nimekuudhi. Usiku mwema
Mcheza Mieleka Nakuona.Kizuri ila kinahimili mikiki mkuu?
Si mchezo😂😂😂Leeeee Financeee Seviceee,,,,,,,,,,naona unaupiga mwingi kwenye makabati ya annual repoteee sio kwa mikiki hiyo
Ukinuna Najikuta Navutiwa Kukutongoza Tena.Sitaki unielekeze wakati umetanguliza kejeli, ilifaa unielekeze hivo kabla hujaniita mchwa aka si binadamu. So futa hii reply yako ibakishe ya kejeli tu. Sihitaji kupongezwa kwa mikiki mikiki Niache mkuu
Hi baby Kichafu, i haven't seen you in a long time, how are you?happy new yearUkinuna Najikuta Navutiwa Kukutongoza Tena.
5×6Mbona Kama 4 kwa 6
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hamna mtu pale ic[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nimecheka mimi, nimecheka mimi…. nimecheka sana.
[emoji16][emoji16]We nae utadhani sio binadamu si chuma hiyo au macho yangu hayaoni vizuri Kama ni chuma na una wasiwasi na ufanisi wake WEWE utakuwa sio binadamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hio dunia hii ngumu sanaWe nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.
hapo show show zile za ki heavy weight[emoji23][emoji23]Kizuri ila kinahimili mikiki mkuu?
Uimara, guaranteedHeavy duty?????
[emoji23][emoji23][emoji23]umekosa wewe, umekosa sanaBasi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!
[emoji23][emoji23] this's a free world bro 300k kubwa tembea siuzii shidaAisee hyo laki tatu na godoro lake....???
Acha wizi!
Hii picha ni ya mtandaoni. Kuna dalili watu kupigwa muda si mrefu. Mtoa mada weka picha 5 kutoka angle tofauti ndio tutaelewanaIko airport, Dar. ni kipya. inakua hivo na kistuli chake.
Price: 300K
Contacts: 0689015394View attachment 2072213
endelea kukariri. aliekiona akawa interested kapiga sim keshakuja kukichukua[emoji4]Hii picha ni ya mtandaoni. Kuna dalili watu kupigwa muda si mrefu. Mtoa mada weka picha 5 kutoka angle tofauti ndio tutaelewana
Funga uzi basi ndugu tapeliendelea kukariri. aliekiona akawa interested kapiga sim keshakuja kukichukua[emoji4]
Msamehe Sana, msamehe yeye na msamehe bure kaka tapeli.Funga uzi basi ndugu tapeli
Thanks, Am doing good.Hi baby Kichafu, i haven't seen you in a long time, how are you?happy new year
Mkuu usitegemee Sana kuuza bidhaa yako JF humu siasa ndo mahala pake uwe unaweka matangazo JIJI na ZOOM me uwa nauza Sana huko hapa utaambulia disappointment tuu...!!!endelea kukariri. aliekiona akawa interested kapiga sim keshakuja kukichukua[emoji4]