INAUZWA Kitanda 5×6 kinauzwa

INAUZWA Kitanda 5×6 kinauzwa

We nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hio dunia hii ngumu sana
 
Basi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!
[emoji23][emoji23][emoji23]umekosa wewe, umekosa sana
 
Aisee hyo laki tatu na godoro lake....???

Acha wizi!
 
Hii picha ni ya mtandaoni. Kuna dalili watu kupigwa muda si mrefu. Mtoa mada weka picha 5 kutoka angle tofauti ndio tutaelewana
endelea kukariri. aliekiona akawa interested kapiga sim keshakuja kukichukua[emoji4]
 
endelea kukariri. aliekiona akawa interested kapiga sim keshakuja kukichukua[emoji4]
Mkuu usitegemee Sana kuuza bidhaa yako JF humu siasa ndo mahala pake uwe unaweka matangazo JIJI na ZOOM me uwa nauza Sana huko hapa utaambulia disappointment tuu...!!!
 
Back
Top Bottom