SOLD: Kitanda cha mninga na Godoro lake Tsh. 230,000/=

SOLD: Kitanda cha mninga na Godoro lake Tsh. 230,000/=

Status
Not open for further replies.

J23

Senior Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
151
Reaction score
193
Wadau habari za majukumu.
Nauza kitanda cha mninga 6*6 na godoro lake.
Vyote ni vizima kabisa na kitanda uzito wake ni 120 kg cha mbao nene.
Godoro nch 6 zima kabisa lina miezi 9 tu tangu nilinunue na pamoja na kitanda.
Nipo Mtongani TMK.
Karibuni wadau
20170528_081542.jpg

20170504_203343.jpg


20170504_203815.jpg
 
Punguza kidogo,c unajua usawa huu wa magu,kama upo tayari ni PM
 
Punguza kidogo,c unajua usawa huu wa magu,kama upo tayari ni PM
Mkuu mbona bei nzuri tu mkuu, nafikiri kama ukikiona live hata pesa utaniongezea kabisa.
 
Jamani sisi wote ni wa tz kwa hiyo ni ndugu.
Mwacheni ndugu yetu afanye business msimuharibie hamjui ana shida gani.
Sio fair hivyo wakuu tena bei hiyo ni sawa na bure kwa wanaojua bei halisi ya hivyo vitu.
Kwa bahati mbaya naishi Mbeya lakini huo mzigo ningebeba leoleo.
 
Jamani sisi wote ni wa tz kwa hiyo ni ndugu.
Mwacheni ndugu yetu afanye business msimuharibie hamjui ana shida gani.
Sio fair hivyo wakuu tena bei hiyo ni sawa na bure kwa wanaojua bei halisi ya hivyo vitu.
Kwa bahati mbaya naishi Mbeya lakini huo mzigo ningebeba leoleo.
Safi mkuu!
Ahsante sana mkuu
 
kitanda uzito wake ni 120 kg??
Yaah kitanda cha mninga cha mbao lazima uzito wake ni kuanzia 100+kg. Other wise ujue ni mabanzi hayo kama vitanda vingi vinavyotengenezwa dar ni mabanzi matupu na miti laini.
 
Yaah kitanda cha mninga cha mbao lazima uzito wake ni kuanzia 100+kg. Other wise ujue ni mabanzi hayo kama vitanda vingi vinavyotengenezwa dar ni mabanzi matupu na miti laini.


Weeee! Sasa mbona bei haiendani na kilo au ndio ukata
 
Yaah kitanda cha mninga cha mbao lazima uzito wake ni kuanzia 100+kg. Other wise ujue ni mabanzi hayo kama vitanda vingi vinavyotengenezwa dar ni mabanzi matupu na miti laini.
Tinaweza kukipima kabka ya mauziano?
 
Mkuu me nimsafi!
Na huwa sinunui mavitu ya hovyo hovyo ili kujaza chumba.
Sijawahi kuwa na hao tigo na pia ni kigumu sana huwezi sikia kelele zozote hata kama kilo 300 zina shake juu ya bedi.
Kina shock absorber nn mkuu
 
Yaah kitanda cha mninga cha mbao lazima uzito wake ni kuanzia 100+kg. Other wise ujue ni mabanzi hayo kama vitanda vingi vinavyotengenezwa dar ni mabanzi matupu na miti laini.
Unaelewa maana ya kilo 120??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom