SOLD: Kitanda cha mninga na Godoro lake Tsh. 230,000/=

SOLD: Kitanda cha mninga na Godoro lake Tsh. 230,000/=

Status
Not open for further replies.
Wadau kitanda nimeuza kwa member wa humu jf na nashukuru kwa ushirikiano wenu.
Hongera.. wanunuaji huwaga hawana makeke... wanachukua namba wanakutafuta kimyakimya mnamalizana.
Wana wengi niliowahi kuwauzia mali zangu sijawahi kuziona comment zao kwenye uzi wowote.. na wengi hawako registered.
 
Hongera.. wanunuaji huwaga hawana makeke... wanachukua namba wanakutafuta kimyakimya mnamalizana.
Wana wengi niliowahi kuwauzia mali zangu sijawahi kuziona comment zao kwenye uzi wowote.. na wengi hawako registered.
Kweli mkuu yaani jamaa kanipigia cm kachukua mzigo faster.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom