Kitanda cha mtoto mtarajiwa wa Diamond ni Madini tupu


Ahsante!
 

Duuuuh JAMIIFORUMS imevamiwa na Watu wenyewe mawazo ya Facebook pages.. Sasa Diamond entertainment personnel aje afundishe Watoto wako Mambo ya Uchumi na Utamaduni...... Acha Mihemko kujitoa Akili kuziweka Kwenye Sahani halafu unaanza kushka SIMU Kukomment..

Mbona Hao watoto hawajaenda Kwa ROMA mkatoliki wakajifunze siasa si anaimba Siasa.. Si waende kwa Makirikiri si wanadumisha Utamaduni...

Muwe na Akili Siku Nyingine
 
Hahahahhahahahahahahhaha...duh mtoto wa taifa???
 
kufanya maandalizi si jambo baya....lakini pia angesubilia mana kuna mambo ya bahati mbaya......
 
hii pic its like av seen it before on Google or something. way back before the platnum-zari saga when I was doing an online course on interior design
 

nimekupenda katika hili...a little conversation with some one can give u a lot of information about him...so let's wait n see that " mtoto wa taifa"
 
nimekupenda katika hili...a little conversation with some one can give u a lot of information about him...so let's wait n see that " mtoto wa taifa"

Yes, let's wait

Juzi nilimsikia shamsa akihojiwa na Millard kuhusu mahusiano yake na ney, shamsa akasema hawana mahusiano wanacheza movie tu, alipomuuliza kama ney akimtongoza atamkubalia akajibu kuwa kwa mwanamke anayemjua ney kiundani zaidi hawezi kukataa kuwa nae,kama mtu una akili timamu huwezi kumuuliza tena . Katoa maelezo machache ila yameleta ujumbe mkubwa.
 
Hahhahahahahahha Wengine walizichomoa na kumsema Diamond hazai.. Nahisi sasa hivi wanajuta kukosa Bahati hivi..

Be a Boss Date a Boss Build an Empire..

Unajuaje kama wake?
 
Tushangae wote, huyo ridhiwan mwenyewe hajawahi kujiita hvyo huo uchafu wa tandale division ten atakuwa anaota

Hahahahaha...wanawake wanatuharibu sana mkuu!!nadhani umenielewa.
 

Hahaaaaa!! Hapo kwenye "Nna dictionary hapa" ndo uliponimaliza! You made my day Mkuu!!
 
hii pic its like av seen it before on Google or something. way back before the platnum-zari saga when I was doing an online course on interior design
Umeandika kingereza wengi hawaja kuelewa lakini we nimuongo kujikuta kila picha unaijua hehehehe eti google kabla ya zari na diamond usichekeshe watu sio kila kitu ni editing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…