mtoto wa taifa???? ina maana diamond anataka kujiita baba wa taifa??? huwez kuwa bb au mtoto wa taifa coz hauna jambo la muhim la kitaifa alilofanya diamond zaid ya kutuharibia vijana na watoto kuvaa ovyo na kuwa na fikra nyepesi za mapenzi badala ya kuwafundisha mashabiki wake kujitambua kisiasa, kiuchumi,kiutamaduni na kijamii.
Hahahaaa haaaaaahaaahaa, Umenifurahisha. Kuna watu sijui akili wameziacha wapi!
Hayo masuala ya kisiasa, kiuchumi ni kazi ya kina zitto kabwe, lowassa , mbowe na wengineo....kazi ya diamond ni kutoa burudani ....
nasikitika sana ww n sawa na huyo bb ako wa taifa kichwani hamna kitu.kwa kusaidia kma hukwenda shule kasome vitabu.kma hujui kusoma jua kwamba kaz ya sanaa ni kuelimisha na kuburudisha.ukiona msanii anaelemea upande mmoja huyo co msanii.UNAWEZA KUWA UNAJUA LAKINI HAUFAHAMU.
Unastahili hata likes 500... Kuna watu humu washaanza kumlinganisha Dai na Nyerere eti mtu anauliza kati ya Dai na nyerere nani anastahili kuwa na mtoto wa kitaifa!!!!!
Yaani inaonekana kabisa wamekosa msanii wa kumlinganisha na Diamond hapa bongo wanaanza kumlinganisha na waliopigania uhuru,,, leo wameanza na Nyerere, kesho utaskia wanamlinganisha Diamond na mandela, keshokutwa utaskia Diamond na ghadaffi ili mradi wapate kufanya mlinganyo ambao utakona mioyo yao
Hahaha.... Kama hujaifahamu elimu , burudani zinazopatikana katika miziki ya diamond basi hatuna haja ya kubishana hapa... Na kujisifu kote hko unashindwa hata kuchambua kipi ni kipi... Na uproffessa mavi uliijivisha hauoni hata aibu kutwa kushinda humu kumdiss chibbu
Basi awe Kaka wa Taifa...!
mmojawapo wa hao anayesema Dimond hana uwezo si keshakiri kuwa hazai? Mlitaka Dimond aingize mimba kwa mikono? Na wengine alishasema kuwa wamechomoa mimba zake. Na sasa kasema Zari ana mimba yake. Mbona Zari hajakana? Hawa wadada wa kibongo waache wale ujana ndugu yangu, mwisho wa siku wataoga maji yaliyopoa, na wengine yameshapoa kitambo. Mwacheni Dimond achekelee zao lake lijalo maana ana kila kitu isipokuwa mrithi wake tu, na dada wa kiganda kaona isiwe shida.Diamond sio mwanaume wa kwanza kuzaa, kama kweli atabahatika kuwa na mtoto. Muda mrefu amekua akijitapa kuwapa wanawake mimba, ila wanawake wenyewe kwa nyakati tofauti wamekana tena wengine kufika mbali na kusema kuwa msanii huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba, mimi na wewe hayo hatuyajui
ndo mana nakwambia you are lk empty box.yani ww mapenzi nayo umeona elimu ya kujivunia kutoka mzik wa diamond!! zats y u hv simple thoughts coz u hv overwhelmed by Mapenzi.ila ww endelea tu kumshabikia tu wakt mwenzio anapiga hela kwa ujinga wako.UJINGA WAKO NDO MTAJI WAKE.
Ungekuwa haumshabikii usingepost kuhusu yeye..... Kama kupiga kwake hela kuna kuuma sanaaaa unaruhusiwa kufwa kwa hasira
Hongera kwa kuandika ngeli leo,ung'eng'e
Dada wengine umaarufu tangia wako tumbon.....
Mtoto wa taifa huh? So so whole state fucckedddd ur wife??
hhaahaaha daah kwel wivu mbaya hahaaahaaa bwabwabwaaabwaaaah tatizo nyota na anawatesa wengi huyu kijana mdogo..
lazima uumie lakini...anamiliki jumba la kifahari lenye kila kitu cha thamani ndani ambacho wewe hujawahi hata kuota...
anajulikana kama hela mpka nchi za watu yaan hadi inakera ( naimani hata babu yako kijijini anamjua)... nchi ambazo umeishia kuzisoma kwenye ramani darasa la Saba... anamiliki mwanamke mrembo,maarufu,tajiri yaan boss plus a boss ...ambayo wewe umeishia kwa wacheza vigodoro yombo buza...
utaachaje kuchukia kwa mfano?!, hahaahaa una haki pasuka tu...ongea mwaya kidogo nguvu ya hasira na wivu ipungue. ...