Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Walikua wanaishi sikama sasa haijulikani vijana wanataka niniWazee mmekula maisha nyie, ajira njenje, elimu Bure completely, Ardhi ya kujitwalia, vitanda vya semadari pure mninga, mke unaozeshwa na nyumba unajengewa, aseee
Samadari siyo 'Semadari' bhana!KITANDA CHA SEMADARI
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
We mzeee hichoo kitandaaa umesahau kusema kiligunduliwa na waislam...... hata hata selemara ni muislamu..... pia sema kitanda hii akilala mtu sio muislam kina mtupa chini....... maaana ww mzee tushakuzoea kila kitu waislamKITANDA CHA SEMADARI
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
Saka...Samadari siyo 'Semadari' bhana!
Hiki nacho pia ni mfano wake tu.Kimechongwa na miti ya karibuni.KITANDA CHA SEMADARI
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
Hao waliokwambia walikuelezea ni mahoteli gani hayo makubwa yenye hivi vitanda....Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
Logikos,Hao waliokwambia walikuelezea ni mahoteli gani hayo makubwa yenye hivi vitanda....
Ashampoo...We mzeee hichoo kitandaaa umesahau kusema kiligunduliwa na waislam...... hata hata selemara ni muislamu..... pia sema kitanda hii akilala mtu sio muislam kina mtupa chini....... maaana ww mzee tushakuzoea kila kitu waislam
Samahani, niwie radhi mkuu.Saka...
Ahsante yawezekana nimekosea.
Yawezekana pia matamshi ya jina hilo kupishana.
Nakushukuru.
Ila ingependeza kama ungeandika kwa adabu.
Uko sahihi kabisa vile halisi kabisa vina picha ya tausi ndege kule Tanga kwenye jamii za wadigo wale wa ndani ndani bado wanavyo vileHiki nacho pia ni mfano wake tu.Kimechongwa na miti ya karibuni.
Semadari nilichokiona kwa bibi yangu kinakuwa na picha za tausi au mauwa kwenye kioo
Mzee Mohamed Said, nimevutiwa sana na kitanda hiki. Natamani kusikia mnakiuza, my bid is 5m. Nakuja inbox.KITANDA CHA SEMADARI
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
Basi ukitoka Mombasa upitie kwa jamaa zako wadigo hapo utavikuta sana hapo kwao TangaHiki kitanda si changu nimekikuta kwenye nyumba niliyopanga Mombasa.