Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
KITANDA CHA SEMADARI
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.
Picha hiyo hapo chini ni picha ya kitanda ambacho nimeamka leo asubuhi.
Jana usiku nilipopanda kulala sikukiangalia vizuri kwa mchoko wa safari.
Kitanda cha semadari nimekilalia miaka 70 iliyopita Mtaa wa Kipata katika nyumba ya makuti juu na chini hakuna sakafu ila ni ardhi yenyewe.
Sihitaji kukueleza zaidi kwani naamini umenielewa.
Kitanda cha semadari kikapotea kwa miaka mingi.
Hakuna mtu anaelalia kitanda hiki siku hizi.
Naambiwa hivi sasa kitanda hiki Semadari kimekuwa kitanda cha thamani kubwa kinachowekwa katika mahoteli makubwa kuvutia wateja.