kitanda chEtu kinapiga kelele wakati wa shuguli

kitanda chEtu kinapiga kelele wakati wa shuguli

Pengine mimi ni matatizo ya kiswahili sielewi vema Carmel,Kuchanga sikatai ila nilidhani the best way ni mipango ya pamoja.Namaanisha kuwa wanandoa lazima wawe na mipango yao short-term,long -term hata ermegencies.Na kwa vile hiyo Mipango mingi mara nyingi solution yake ni pesa basi ni muhimu kuwa na Akaunti maalumu ya familia kwa masuala kama hayo.mwisho wa mwezipengine mtasema,mama unapata 1m na baba laki2,basi katika ile akaunti mama atatoa laki 9 na baba laki moja,then zikichanganywa ndo mnanunua hiko kitanda.
Vinginevyo kwa mawazo yangu lakini ,kama mnasubiri hitaji lije ndio mnaanza kuchangishana ni tatizo na linaondoa ule umoja wenu.
Kuwa na akaunti ya familia si lazima, na wala si kigezo pekee cha kuonyesha umoja. kama mimi sina akaunti ya familia, na ikitokea kuna ishu inatakata pesa na mcnango wangu unahitajika (coz si mara zote lazima nichangie) tunaongea tunakubaliana natakiwa nitoe ngapi na baba ngapi tunaimaliza and life goes on. But all in all it depends mnavyotaka kuishi, and whatever suits your sirtuation lakini hakuna general rule as you put it my dear Zd.
 
nunueni kinginge. Kitanda cha kawaida kabisa mnaweza kupata kwa laki moja, so for the sake of your starehe and peace of others, changeni 5o kila mmoja. All the best.
Ila maswali mengine are not worth asking!

unaninyanyapaa na hiyo avata yako
 
wakati wa shuguli mi na mkewangu tunapofanza mapenzi mara nyingi huhofia kelele kwa watu wengine wanaweza kutususikia kitanda hupiga kelele sana mke wangu huwa hajali hilo..lakini mie inanitia wasiwasi jee huu ni uzembe, starehe???

Mkuu shusha godoro chini au pale pale kwenye kitanda shusha chaga za kitanda chini then unakuja godoro litakuwa juu za chaga mbona hapo mkuu utabinjuka style zote kwa ss wazee wa kujikunja unakuwa mdogo kama nyani ukijiachia balaa.
 
Mkuu shusha godoro chini au pale pale kwenye kitanda shusha chaga za kitanda chini then unakuja godoro litakuwa juu za chaga mbona hapo mkuu utabinjuka style zote kwa ss wazee wa kujikunja unakuwa mdogo kama nyani ukijiachia balaa.

Safi ulijuaje???? na kama unanafasi kubwa chumbani ongezea na kochi mmoja ambalo ni la mtu mmoja na kiti kimmoja cha mezani hapo style zote mtazimalizia mkishindwa sasa sijui itakuwaje labda miili yenu ni mizito sana sasa

 
Safi ulijuaje????

Huu utundu ni wa kuzaliwa nao hata nikienda mjengo nikikuta bed linaweza nivurugie mikiki mikiki yangu nafanya hivyo hivyo nashusha godoro chini mziki unaendelea watu watakuwa wanasikia miguno ya utamu tu toka room.
 
nunueni kinginge. Kitanda cha kawaida kabisa mnaweza kupata kwa laki moja, so for the sake of your starehe and peace of others, changeni 5o kila mmoja. All the best.
Ila maswali mengine are not worth asking!


Nimeguswa na nilipo bold! Kama kweli starehe ni ya wawili wanatakiwa kuchanga lakini kwa wanawake wa tanga na kondoa hilo halipo hata siku moja. Mwanamke hachangii kitu chochote, wenyewe wanaamini kufanya mapenzi ni kumfurahisha mwanaume basi na hivyo ni jukumu la mwanaume kuligaramia tendo hilo!!
 
Mkuu shusha godoro chini au pale pale kwenye kitanda shusha chaga za kitanda chini then unakuja godoro litakuwa juu za chaga mbona hapo mkuu utabinjuka style zote kwa ss wazee wa kujikunja unakuwa mdogo kama nyani ukijiachia balaa.

Na wenye yale magodoro mazito inakuwaje. Nina godoro hata wanaume watatu wenye nguvu hawanyanyui!!

By the time unamaliza kushusha godoro, hata hamu ya kunaniii inakuwa ishaisha!!
 
Na wenye yale magodoro mazito inakuwaje. Nina godoro hata wanaume watatu wenye nguvu hawanyanyui!!

By the time unamaliza kushusha godoro, hata hamu ya kunaniii inakuwa ishaisha!!
mnhhh, hilo godoro la zege nini??
 
Weka CCTV kamera ndani uweze kugundua anaekiregeza.

Kama hajawa na uwezo kung'amua kuwa kitanda kinahitaji kubadilishwa kwa maana ya kununua kingine, itakuwa CCTV?
MASWALI MENGINE yanafanya mtu aanze kujiuliza hivi muulizaji zimo sawasawa au?
 
wakati wa shuguli mi na mkewangu tunapofanza mapenzi mara nyingi huhofia kelele kwa watu wengine wanaweza kutususikia kitanda hupiga kelele sana mke wangu huwa hajali hilo..lakini mie inanitia wasiwasi jee huu ni uzembe, starehe???
Both Sir. Siwashangai kuna wenzenu kila siku wakati wa majambozi kitanda lazima kidondoke chini. Can you imagine lakini hawajawahi kukibadilisha
 
Lakini nimekumbuka kitu kimoja majambozi yananoga kitanda kikipiga makelele kama vile kwichi kwichi kwichi kwichi. Mzuka babake, hamjui tu nyie, eti mnaona kuwa wamekosa pesa za kununua kitanda, who told you

Kiacheni hivyo hivyo nyie wandoa
 
Lakini nimekumbuka kitu kimoja majambozi yananoga kitanda kikipiga makelele kama vile kwichi kwichi kwichi kwichi. Mzuka babake, hamjui tu nyie, eti mnaona kuwa wamekosa pesa za kununua kitanda, who told you

Kiacheni hivyo hivyo nyie wandoa


hahah hiyo inahamisha hisia kutoka mlipo na kuelekea kwingine haifai
 
wakati wa shuguli mi na mkewangu tunapofanza mapenzi mara nyingi huhofia kelele kwa watu wengine wanaweza kutususikia kitanda hupiga kelele sana mke wangu huwa hajali hilo..lakini mie inanitia wasiwasi jee huu ni uzembe, starehe???
Maswali mengine jamani, mweh! Tutasikia mengi....mmhh!....haya bwana!
Manyakanga kaeni tayari kufunda.
 
Back
Top Bottom